Siku nyingine lini? Hujui mkopo unasaidia kwa chakula pia? Basi kama ni muungwana na una busara kiasi hicho ongea na njaa za hao vijana ili zisiume leo, ziahirishe zije ziwaume hiyo siku nyingine unayoitakaAcheni utoto nyie,tafuteni siku nyingine ndo mfanye hayo maandamano,mbona mnataka kujiaibisha!
sidhani km ni utoto.Acheni utoto nyie,tafuteni siku nyingine ndo mfanye hayo maandamano,mbona mnataka kujiaibisha!
Acheni utoto nyie,tafuteni siku nyingine ndo mfanye hayo maandamano,mbona mnataka kujiaibisha!
Tumeshaaibishwa sana na Fisadi Wako Kikwete pamoja na Washikaji zake, sasa hao wanafunzi wanadai haki ndio kujiaibisha? Mbona unajiaibisha wewe mwenyewe sasa
hivi hao wageni kutoka nje ya nchi mnataka kuwaonyesha nini,wkt sio muafaka kufanya hivyo
Hee kwani vipi tena, hao vijana wana madai gani?????????Kuna maandamano yanafanyika hapa main cumpus-udsm,watu wana mabango yanayoonyesha kunyimwa mikopo wanaelekea nkuruma hall ambapo kikwete na museven wapo.ffu wametanda kila kona kuimarisha ulinzi.