Udsm in photo

Udsm in photo

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
100_0504.jpg 100_0494.jpg
 

Attachments

  • 100_0113.jpg
    100_0113.jpg
    583.4 KB · Views: 649
  • 100_0118.jpg
    100_0118.jpg
    502.4 KB · Views: 591
  • 100_0417.jpg
    100_0417.jpg
    943.2 KB · Views: 504
Hiyo Nkuruma Hall tangu wajenge miaka
hiyo hao Waisrael inaishi tu ina maana
hiyo teknolojia ingekuwa rahisi hata
Nyumba zetu zilitakiwa kuwa hivyo sasa.
 
Hiyo Nkuruma Hall tangu wajenge miaka
hiyo hao Waisrael inaishi tu ina maana
hiyo teknolojia ingekuwa rahisi hata
Nyumba zetu zilitakiwa kuwa hivyo sasa.

siku hizi unajenga nyumba baada ya mwezi kwisha habari
 
wakuu chuo gani kinafundisha jinsi ya kusafirisha sembe bila kuonwa?
 
hizi picha ni za zamani sana.. kuna major changes zimetokea you better go and retake
 
Bravo...! Something is better thn nothing .... japo sijasoma humo lakini The THINK TANK na Wtaalamu wemechipukan from
UDSM...!
 
hyo picha ta udbs na nkurumah umepiga ukiwa cass tower
 
ha ha ha..., utawajua tu watu wa udom, na majengo yao ya kichina..
UDOM receive finance assistance for two project from TCRA

TANZANIA Communications Regulatory Authority (TCRA) will finance three projects to be carried out by two universities after signing a Memorandum of Understanding (MoU).The two higher learning institutions are the University of Dar es Salaam (UDSM), which will research on the use of Information and Technology to improve management of road safety and the University of Dodoma (UDOM) which will research on cyber realm and applying mobile technology for drugs verification.Speaking during the award of the research fund ceremony in Dar es Salaam yesterday, the TCRA Director General Prof John Nkoma, said the two universities were selected out of the 22 higher learning institutions which had submitted proposals."UDOM will receive 200m/- per year for two projects while UDSM will receive 100m/- per year for one project," said Prof Nkoma. UDOM Vice-Chancellor, Prof Idris Kikula, thanked the TCRA for the support and he urged other local organs to emulate the authority.The Dean of College of the Informatics and Virtual Education at UDOM, Dr Leonard Msele, said the project would help to give a clear picture of the cyber crime. On his part, UDSM senior lecturer, Prof Nerey Mvungi, said 75 per cent of the road accidents were caused by reckless driving while the rest per cent is caused by human error, saying there was a need to introduce policy and stern measures to control road accidents.


 
Uzuri taaluma majengo mazur sana hayanisaidii,udom nacho kinakuja vizur kitaaluma miaka kumi ijayo kitakuwa mbali sana nafikiri udsm na udom huenda vikawa ktk ushndani mkubwa hasa taaluma ya ubunifu wa mambo japo sua mzumbe vinafanya vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom