Wakuu yaani nimevurugwa asee!
Nilikuwa najua kuripoti ni tarehe 27 nikajipanga nikakata tiketi tarehe 23 niondoke tarh 26 alafu wanaleta habari ya kubadili muda wa kuripoti. Ndio hivyo kesho nakuwa dar alafu sina ndugu. Aaah! Nafanyaje sasa. Naombeni mnishauri.
aa nilijua ni ke .. ningekupa malazi ungekaa na wife mimi nimesafiri.. ila me nenda kalale kwenye vituo vya BRT.Dume la mbegu
Hahaha....hkuna mkuu .. Hakuna...sio Kwa miaka hii...in kick tuu tujue kaenda udsmKwani kuna Mtanzania nchi hii ambaye hana ndugu Dar??? Really??