UDSM hawa UDSM Hawa aaaaaah!

UDSM hawa UDSM Hawa aaaaaah!

buffalo44

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2016
Posts
5,129
Reaction score
13,110
Wakuu yaani nimevurugwa asee!

Nilikuwa najua kuripoti ni tarehe 27 nikajipanga nikakata tiketi tarehe 23 niondoke tarh 26 alafu wanaleta habari ya kubadili muda wa kuripoti. Ndio hivyo kesho nakuwa dar alafu sina ndugu. Aaah! Nafanyaje sasa. Naombeni mnishauri.



UPDATE.







Nimefanikiwa kubadili tiketi. Nawashukuru wote mliochangia.
 
Tarehe ambayo wamesema mkaripoti sasa n lini? Na kama ukienda itachukua mda gan mpk kufikia io siku ya kuripoti
 
Ukija UDSM, nenda Mabibo Hostel au Magufuli Hostel ukiwa na documents zako then mwambie Warden wa Block lolote lile kuwa wewe ni first year umetokea mkoani na huna ndugu Dar, utapewa room. Kama utakuwa mwoga wa kuongea nao unitafute, nitakusaidia bure kabisa. Me npo hapa UDSM
 
Ukija UDSM, nenda Mabibo Hostel au Magufuli Hostel ukiwa na documents zako then mwambie Warden wa Block lolote lile kuwa wewe ni first year umetokea mkoani na huna ndugu Dar, utapewa room. Kama utakuwa mwoga wa kuongea nao unitafute, nitakusaidia bure kabisa. Me npo hapa UDSM


Ahsante mkuu nakushukuru sana.
 
Ukija UDSM, nenda Mabibo Hostel au Magufuli Hostel ukiwa na documents zako then mwambie Warden wa Block lolote lile kuwa wewe ni first year umetokea mkoani na huna ndugu Dar, utapewa room. Kama utakuwa mwoga wa kuongea nao unitafute, nitakusaidia bure kabisa. Me npo hapa UDSM
. Nadhani umefunga mjadala mkuu..
 
Watu wengine mna sifa sana, yaani ulipanga ufike hiyohiyo tarehe 27 hahah me ntakukuta december nendeni mkaitwe kwanza njuka.
 
Watu wengine mna sifa sana, yaani ulipanga ufike hiyohiyo tarehe 27 hahah me ntakukuta december nendeni mkaitwe kwanza njuka.


Sio sifa mkuu ni kuwa mkopo hatukubarikiwa hivyo tunawahi kuomba kulipa nusu.
 
Back
Top Bottom