Omega.Omega
Member
- Jun 29, 2009
- 60
- 0
Poleni wasomi wetu.
Safi mkuu, hongera kwa hilo
Mkuu wa COET sasa hivi sio Prof. MWAMILA, ni Prof. KATIMA. Prof. Mwamila muda wake uliisha na sasa amekuwa appointed kuwa VC chuo kikuu cha Mandela Tz.
Safi mkuu, hongera kwa hilo
Mkuu wa COET sasa hivi sio Prof. MWAMILA, ni Prof. KATIMA. Prof. Mwamila muda wake uliisha na sasa amekuwa appointed kuwa VC chuo kikuu cha Mandela Tz.
Iendeleze basi
Ndo nakisikia leo. Kiko wapi hiki Chuo? Najua kuna Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, kilichopo Port Elizaberth, SA
Hivi hiki chuo cha mandela kiko wapi?? Msaada tutani , wengine hatujakisikia!!
Kuhusu uchangiaji, mimi siungi mkono hilo suala, serikali kazi yake ni nini?? Watueleze wamechukua hatua gani ku-convice serikali ya CCM kutoa kitu kidogo halafu ikasema imeshindwa. Sasa sisi ambao tulisoma chini ya serikali masikini ya ujamaa na kujitegemea halafu tukapata kila kitu unafikiri itakuwa rahisi kuamini kuwa serikali tajiri ya sasa haiwezi!!! thinking of EPA, Kangoda etc.
Sasa kila tulikopitia from primary school mpaka chuo kikuu wakianza kuomba misaada ya michango kama hivi tutafika kweli???
Kama serikali yetu imeshindwa kazi watuambie, au sisi wenyewe tufumbue macho na tutafute majibu!!!!!! Dalili za mvua............!!!!!!!!!!!
Kibaya Companero hana mwingine zaidi ya Mpemba wakati mimi ninayo mizungu ya kumwaga. Ukimbana sana anaanza kukutajia akina Ibn Battuta na Tippu Tip
.
Unayo mizungu ya kumwaga, ebo, yako?
Unayo mizungu ya kumwaga, ebo, yako?
Mbona ulishajibu hii posti. Au unapenda kuendeleza ligi ya vitu vilivyo wazi.
Not all trained engineers in the country go abroad.Even if that is the case, the well being of the college is the matter for all of us. I dont agree with the idea that government should not be involved in this. Tanzania is not USA or a European country.If government does not sponsor these institutions, where would they get competent people to grow the economy? Or as usual it could be for the benefit of Mafisadi because of illiteracy amongst the members of the society?It's bad economics for the government to fund FOE. There is no guarantee when FOE students graduate they will not seek greener pastures abroad. So why should the Tanzanian government pay to educate people who go to build other countries? Carry your own cross and pay your own way. Let the government invest the money in better projects not educate future American and European tax payers.
Ever heard of 'upon second reading'? Jiafrika limeng'ang'ania mizungu utadhani yake! Hii kasumba inanikumbusha kilio hiki cha Frantz Fanon:
I am a man, and what I have to recapture is the whole past of the world. I am not responsible solely for the revolt in Santo Domingo...In no way should I derive my basic purpose from the past of the people of colour. In no way should I dedicate myself to the revival of an unjustly unrecognized Negro civilization...The black man wants to be like the white man...Long ago the black man admitted the unarguable superiority of the white man, and all his efforts are aimed at achieving a white existence" - Black Skin White Masks pages 161 -162
Not all trained engineers in the country go abroad.Even if that is the case, the well being of the college is the matter for all of us. I dont agree with the idea that government should not be involved in this. Tanzania is not USA or a European country.If government does not sponsor these institutions, where would they get competent people to grow the economy? Or as usual it could be for the benefit of Mafisadi because of illiteracy amongst the members of the society?
We have enough competent people. Instead of the government educating future American and European tax payers we can use the money to market our country for tourism and foreign investment. The benefits to the country are immediate. The multiplier effect of increased tourism and foreign investment to our nation is larger than expecting engineering graduates to grow the economy. Carry your own cross.