Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Pale Arusha Technical College, pamoja na wanafunzi kujifunza ufundi, workshop zao hutumika vilevile kuingizia mapato chuo hicho.
Unachozungumza ni 10% ya ukweli. Sehemu kubwa ya mapato inakwenda kwa waalimu na wafanyakazi kwenye workshop hizo. Na ndio sababu wako tayari kufanya kazi kwa kipato kidogo.
Likewise, bakuli linalopitishwa hapa ni kufanya workshop zifanye kazi na waajiriwa wawe wanachangisha kipato cha ziada kutokana na project mbuzimbuzi.