Mkuu hivi vyuo ni vya umma. Duniani kote vyuo vya umma vifaa vya maabara na karakana ni first priority.viko well equiped.kwasababu ndo tanuru la kuzalisha watu wa kuendeleza nchi. China pamoja na kuwa na wanafunzi graduate>20mil na hakuna ada, maabara zinakilakitu.wamewekeza hapo kuliko kitu chochote. wanaamini ili washindane na ulaya na America lazima waandae wataalam waliopikika wakutosha.Hapa nyumbani ishu muhimu kama hiki cha Chuo kikuu tena ni ndo jicho la umma hakina vifaa Watu hawaoni ni Tatizo wao wanaingiza siasa tu ni aibu.watoto wanaosoma karibia 99% ni maskini wanaolipiwa na bodi hawachangii garama za karakana wala vifaa vya maabara.Safari zipi zilizoifanya FoE na sasa CoET idumae kwa miongo karibu minne tangu ianzishwe. Tusitafute majibu mepesi kwa maswali magumu. Hii ni issue siyo kwa serikali tu, hata kwa hivi vyuo vyenyewe. Kama tukiwategemea wanasiasa ndiyo watufanyie kila kitu, nakuhakikishia hatutafika popote. Ni lazima tufike mahali tuonyeshe kwamba bila wao tunaweza kujisimamia wenyewe ... na ninalazimika kuamini kwamba FoE (CoET) walizembea sana kuliona hili likitokea kwa sababu ya kutegemea misaada ya wafadhili kama Ujerumani, Sweden, Denmark, n.k. na hawakuwa na agenda ya je, hawa wafadhili wakisitisha huduma zao itakuwaje?
Ni lini serikali ilizuia vyuo kuwa na miradi ya kujiendesha kama siyo kukosa maarifa kwa waliopewa dhamana ya kusimamia na kuviongoza vyuo hivyo?
Wakati umefika sasa wa kubadilika kifikra ... tusiweke siasa katika kila kitu. Hizi siasa ndizo zinadumaza akili zetu. Kama tumelogwa vile!!
Serikali chonde chonde kuwanyima watanzania elimu na hiyo EAC ni kuwafanya watumwa.vifaa vya karakana na maabara ni mabilioni serikali ndo inayoweza.