Usumbufu wote huo na gharama walizo wapa wanafunzi analipa nani? CCM ni kichwa cha wenda wazimu kwa nini wanatutesa hivi. Mimi ninashauri kama inawezekana kutokana na matamshi ya mwanzo wa mkuu wa chuo wanafunzi wampeleke mahakamani ili haya mambo ya wanafunzi yasiwe yanaingizwa kwenye siasa wanapodai kutendewa haki katika hii jamii. Walichokuwa wanadai ni haki yao.Watafanyiwa Usajili upya utakuwa J'mosi na J'pili ijayo.
Isipokuwa watu 15 ambao majina yao yametajwa na wale wanaodaiwa ada.
Source: TBC1