Inno segeret
Member
- Sep 21, 2018
- 14
- 9
Wadau mliopata majina waken PDF file ya UDOM na UDISM
UDSM badooWadau mliopata majina waken PDF file ya UDOM na UDISM
Weka ya UDOM kama unayoUDSM badoo
teyar Wamekifungia Saa 7Hivi UDOM hakijafungiwa?
Mwenyewe nmemuangalia dogo ila hawaonesh chochoteme nmeomba udom lkn nkiingia kweny profile yangu haionyeshi kam nmekubaliwa or not
nafikiri Adi Kesho Saa 3 Yatakuwa TeyarMwenyewe nmemuangalia dogo ila hawaonesh chochote
Okay hata wew Ukipataplease ambaye atapata taarifa status yake ani inform
Hii ndio Tanzania yetu,,Tcu walivyosema mwisho wa kuomba awamu ya tatu ni tarehe 26/09/2018 hawakuwasiliana na vyuo husikaOkay hata wew Ukipata
Hakiwezi kufungiwa , ni "chetu" ingawa ni cha katateyar Wamekifungia Saa 7
Mwenyewe nmemuangalia dogo ila hawaonesh chochote
Okay hata wew Ukipata
Wadau mliopata majina waken PDF file ya UDOM na UDISM
naona system ya udom iko busy japo ukiingia kwenye profile zao hakuna kimya.
Weka ya UDOM kama unayo
Bongo Bahat mbaya aseebado kuna tatizo la kimawasiliano kati ya vyuo na tcu. round ya pili hadi sasa. haijatoka ukiachia multiple selection. mbaya zaidi round ya tatu tayar imetangazwa na mwisho ni leo.
Log in kwenye account yakoMwenye PDF ya udism MSAADA tafadhal