UDOM second round

UDOM second round

Goodhope078

Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
72
Reaction score
23
Habar zenu wakuu naomba kujua waolio apply second round majina yao yanatoka Lin au kama yametoka mwenye anayo bas
 
Ngoja tusubiri maana siku ndioo leoo waliosema
 
Kama majina hayatoki leo. Third round itaanza lin na majina watatoa lin. Hku bodi ya mkopo tarehe 15 nao wanatoa yao?
 
Kama majina hayatoki leo. Third round itaanza lin na majina watatoa lin. Hku bodi ya mkopo tarehe 15 nao wanatoa yao?
Mmmmh, hilo nalo neno asee, bado wiki tatu loan board watoe majina, bado wiki tano baadhi ya vyuo vifungue,, na wakati huo huo kwenye hii second round kuna mambo ya multiple selection,, daah hapo cjui itakuwaje.....,,, ila sio mbaya maana loan board nao wana round tatu za kutoa majina,, so tusiwe nashaka mi nadhani.....
 
Kwakweli how i wish wangekua specific kwakwel. Mambo yangekuwa wazi na ya kueleweka kabisa. Hata wale watakao kosa hii selection nao wajipange wanafanyaje. Multiples zitatoka codes zianze kusumbua. Wengne nadhan hata admission letters hawajapata. Kwakweli TCU waliangalie hili wengine vyuo vitafunguliwa bila kuwa na admission letter
 
TCU wapo kwenye maombolezo hadi jumanne "mkulu kasema
Maana mpaka sasa n jioni na hakuna chochote na hawwzi kuyatoa kimya kimya mpaka Waite waandishi wa habari
 
Kwakweli how i wish wangekua specific kwakwel. Mambo yangekuwa wazi na ya kueleweka kabisa. Hata wale watakao kosa hii selection nao wajipange wanafanyaje. Multiples zitatoka codes zianze kusumbua. Wengne nadhan hata admission letters hawajapata. Kwakweli TCU waliangalie hili wengine vyuo vitafunguliwa bila kuwa na admission letter
daah ndugu yangu huijui Tanzania na mambo yako Annalito
 
Wadau huwa Nasumbuk Sana kupata majina ya post kutokana na mtandao so soon tu baada ya kutoka naomba majina ya UDOM,UDISM,RUCU,UoI msaada wana Jf
 
Yakitoka mnipe update
Wadau huwa Nasumbuk Sana kupata majina ya post kutokana na mtandao so soon tu baada ya kutoka naomba majina ya UDOM,UDISM,RUCU,UoI msaada wana Jf
Kama majina hayatoki leo. Third round itaanza lin na majina watatoa lin. Hku bodi ya mkopo tarehe 15 nao wanatoa yao?
2nd round tayari yameshatoka ingieni kwenye account zenu au kama una multiple ingiakwenye tovuti ya tcu

Public Notice Orodha ya waombaji Multiple
 
Back
Top Bottom