Mr Global
Senior Member
- Nov 9, 2013
- 150
- 125
udsm na udom ni walewale tu..tofauti yao ni majina...Mie sijafanya comparison ..nimesema hiyo idea wameikopi na kupest kutoka Udsm ......acha kuninukuu vibaya ..bythe way unajistukia na udom yako ..punguza presha utakatwa
wote tunaclaim at the end tupate chet
ila kiuharisia ud mnaombaga sana misaada kwenye maeneo ya field kias kwamba tunabaki midomo waz haiwezeian chuo kikongwe km hicho alaf wanafunz wake wana vitu vichache ubongoni mwao
