UDOM Pitia hapa, Neema Hizi

UDOM Pitia hapa, Neema Hizi

hicho kitu kipo udsm main compaS jpo kinafanykaga semista yz pili kipo na
nmeshawahi kukitumia mara mbli ila sio mnavyoonza ivi no haijawah kutokea
 
UDSM tulita nipige tafu, ilikoa sana maisha ya watu wa mlimani. asante UDOM kukopy and paste
 
huyu mtu anaebisha kuwa hakuna nipige tafu UDSM atakuwa siyo wa MAIN CAMPUS, hii issue imetusaidia sana mpaka tumemaliza chuo mwaka jana.
 
Acha uongo ww umesoma udsm gan ww watu tupo hapa udsm mwaka wa tatu huu hakunaga hicho kiyu ebhaana much lov saaana kwenu udom mmewasaidia watt wa masikin wanaojilipiaga wenyewe

Waulize wenzako wanaijua hii kitu ...
 
Japokua iki chuo ni cha Kata lakn kumbe viongoz wa aka kachuo wanajielewa sana.
Tofaut na mavyuo mengne ya ovyo
 
UDSM tulita nipige tafu, ilikoa sana maisha ya watu wa mlimani. asante UDOM kukopy and paste
hawa n wakucopy tu alaf wanasema wameanzisha wao.
Hakuna jipya chin ya jua
Viongoz wao wa chuo wanajifanya kina Archimedes et nao wamegundua
 
Jamani sioni haja ya kuanza kubishana sijui udsm sijui udom. Kwan kwenye post kuna sehemu nimeihusisha UDSM? Na sijui hichi kitu kimetokea wapi. Mm nilikuwa nawapa taarifa wale wa UDOM. Sasa UDSM sijui mnaihusishaje hapa? Kama UDSM na vyuo vingine vinafanya hivi basi ni kivyao. Ila mm nilitoa hii kwasababu ndio inaanzishwa kwa UDOM. Mnabishana tuu weee... sijui mmetokea wapi?
 
Jamani sioni haja ya kuanza kubishana sijui udsm sijui udom. Kwan kwenye post kuna sehemu nimeihusisha UDSM? Na sijui hichi kitu kimetokea wapi. Mm nilikuwa nawapa taarifa wale wa UDOM. Sasa UDSM sijui mnaihusishaje hapa? Kama UDSM na vyuo vingine vinafanya hivi basi ni kivyao. Ila mm nilitoa hii kwasababu ndio inaanzishwa kwa UDOM. Mnabishana tuu weee... sijui mmetokea wapi?
kuna jamaa alisema udsm hiyo program ipo wakat mm nmefaiti saana udsm ila imeshindikana kusaidiwa hata peke yangu ndyo maana nnamshangaa bt hongera kwao UDOM
 
kuna jamaa alisema udsm hiyo program ipo wakat mm nmefaiti saana udsm ila imeshindikana kusaidiwa hata peke yangu ndyo maana nnamshangaa bt hongera kwao UDOM
Cha ajabu ni yeye kuizungumzia UDSM ktk thread ya UDOM. Yani kajistukia tu na kuanza kuizungumzia UDSM akat haihusiki hapa. Thread inazungumzia UDOM. Na wanaosoma UDOM wamesoma na wameelewa na wengine wamefurahi. Sasa yeye inamuhusu nini...? Kwani thread hii ni kupambanisha UDOM na UDSM? Watu wengine wanakera jamani dah!
 
Acha umbea bwana expenses gani za UDOM. Za ada laki 8 na direct cost isiyozidi laki 3. Unajua kuna majitu yanaboa sana Tanzania hii kukurupuka tu kila kitu kujifanya unajua. Eti watakata boom lote.
unajua hesabu vizuri.
laki nane uplus laki tatu 1100000
alafu boom 710000 kwa first sem
mbona naona boom lote linakatwa na deni linabaki.
mwenye uelewa asaidie
 
unajua hesabu vizuri.
laki nane uplus laki tatu 1100000
alafu boom 710000 kwa first sem
mbona naona boom lote linakatwa na deni linabaki.
mwenye uelewa asaidie
Ndugu, nani kakwambia kuwa lazima ada ulipe yote ya mwaka mzima? Mi ninachokijua unaruhusiwa kulipa nusu kwa semester moja. Hata hivyo kama una mkopo ambao sio 0% au asilimia ndogo mbona ni kiasi kidogo sana unalipa. UDOM kuna watu pia wanalipa ada laki saba kwa mwaka mzima.
 
unajua hesabu vizuri.
laki nane uplus laki tatu 1100000
alafu boom 710000 kwa first sem
mbona naona boom lote linakatwa na deni linabaki.
mwenye uelewa asaidie
ada unalipa nusu me nna mdogo wangu yupo udom anasoma bsc Statistics analipa 220000 kwa mwaka yaan 110000 kw semist.........na pia 710000 ya boom cyo kwa semister ila ni kwa miez miwil wakat semist moja ina miez mi4
 
ada unalipa nusu me nna mdogo wangu yupo udom anasoma bsc Statistics analipa 220000 kwa mwaka yaan 110000 kw semist.........na pia 710000 ya boom cyo kwa semister ila ni kwa miez miwil wakat semist moja ina miez mi4
Huyu katibu mkoa sijui katibu wa mkoa gani huyu.
 
Mkuu nawashukuruni sana mjomba wangu alituambia kuwa ada ni laki nane na direct costs ni laki mbili na kadhaa na lzma ilipwe yote,daah kumbe ni kwamba ada atalipa laki nne plus direct costs.daah nimeangaika sana humu kama mwanachuo.
 
Mkuu nawashukuruni sana mjomba wangu alituambia kuwa ada ni laki nane na direct costs ni laki mbili na kadhaa na lzma ilipwe yote,daah kumbe ni kwamba ada atalipa laki nne plus direct costs.daah nimeangaika sana humu kama mwanachuo.
Ila hukatazwi pia kulipa yote.
 
mbona UDSM ..hii kitu ipo tokea kitambo ...... ulizia waliopita udsm .wameikopi na kupest.
Ww huna chuo au spy kabisa..kila chuo unakijua umesoma, Mara mipango,Mara ifm ,not etc kila chuo unakijua duuu balaa
 
Mm pia nimesoma UDSM japo ni tawini lkn najua wanafanya mambo sawa. Mbona tulimuomba sana Mukandala aligoma kabisa kufanya hio kitu? Anyway nisikubishie sana labda ipo main campus tu.
Umesema kweli mkuuu hio tunasikia tu ilikuwepo ila tangu tuanze mpka namalizia now mwaka wangu wamwisho sijawahi iona hii..nasikia waliiiondoa
 
Back
Top Bottom