Mla Mbivu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 224
- 48
huna maana ww unayesoma jangwani what iz udom kwanza umeshasikia mhadhiri yeyote wa udom kaulizwa kuhusu maoni ya uchaguzi?
Pumba ya mwaka....!!!!!!
unauliza what is UDOM???
Sidhani hata kama umemaliza la saba wewe, kuulizwa kuhusu uchaguzi ili nini, kwani hao unaowaona huwa wanafuatwa au wanaenda wenyewe kwenye vyombo vya habari kuzungumza?? By the way UDOM ipo juu na itaendelea kuwa juu, kama huamini kufa..