ndechilio shoo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 998
- 363
Nawe unapaswa KUKERISHWA mwaka wa 3 na huyo ASSISTANSI LECHA et lecha
Hivi wafuasi wa bavicha mnalipwa bei gani? Na mimi nataka kuwapa ajira mda si mrefu chadema watabaki wachaga sijui mtaenda wap?ndo mana mtaani mnatuaibisha kwa sababu ya chuo chenu cha kata,lecha ndo nn?
Acha kupindisha mada kijana,kama umeshindwa kutoa mchango kwa mada hii,kweli kudisco UDSM ni haki yako pore sana
nakimbiza hapa UDSM,hasa inakuwaje nidisco,kwanza matokeo yenu mulugo kachakachua ili vijana mpate fursa chuo kikuu kusoma,lakini kuandika bado unashindwa,shukuru tcu wamekupeleka udom,ungekuja udsm ungedisco first semester
Hivi wafuasi wa bavicha mnalipwa bei gani? Na mimi nataka kuwapa ajira mda si mrefu chadema watabaki wachaga sijui mtaenda wap?
kijana bila bavicha JF kwako ingekuwa nadra sana,lazima udisco na udom kama ndo lecha tena
We dogo soma kwanza ndo uje kubishana na wakubwa zako me nilijua ni postgraduate kumbe ni andergraduate bado sana.
mimi siyo kizazi cha mulugo kama wewe,ndo mana umepelekwa udom
afu mimi siyo mwanachadema boya tu wewe,watu wote mliopelekwa udom hamjielewi kabisa,naomba usinifuatilieDogo we ni kizazi cha magret sitta nini? Kwani mulugo ndo nani hapa Tz mbona me simfaham au ni kiongozi wako wa chadema?
Masters mambo kama hayo nadra sana
We dogo soma kwanza ndo uje kubishana na wakubwa zako me nilijua ni postgraduate kumbe ni andergraduate bado sana.