Udom kama Barcelona

Udom kama Barcelona

DOMA

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2011
Posts
944
Reaction score
367
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
update
kuna watu wanadharau majengo hv chuo gani usomee chini ya mti? Au mnataka vyuo ambavyo majengo hata st mary's hayafikii? Chuo kikuu pia majengo yanahusika. Udom sasa hv lectures wapo asikudanganye mtu na mwonekano wake kweli ni chuo kikuu
 
DAH ITAKUJA NYINGINE MZUMBE KAMA REAL MADRID,IFM KAMA MANCHESTERCITY,SAUT KAMA LIVERPOOL, TUMAINI KAMA TOTe, nHAM, TEKU KAMA BAYERNMUNICH, dit KAMA BAYERNLIVERKUSEN,
 
Na kuna baadhi ya vyuo vitafananishwa na ashantifc, mtibwa, prisonz,simba,yanga, n.k,hivii uhusiano wa chuo na timu upo wapi? Huu sio mwenendo mzuri wakuu
 
Kwa kuuza k enh

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwani Barcelona pia kuna machangudoa wasomi wanajiuza mpaka kwa shilingi Elfu mmoja?

unauhakika unacho zugumza njoo nunua ww hujui wa2 wote wanaoish dom wanajiita wana udom jrb kuw critical thinger
 
Pamoja na hayo kuna uhusiano gani kati ya uzuri wa chuo na ubora wa elimu.UNAPOSEMA UBORA WA MAJENGO UHUSIANISHA NA UBORA WA ELIMU.

MBONA KWENYE ENTERVIEW ZA KUOMBA KAZI HAMFUI DAFU??????????????
 
acheni mambo ya kitoto kusifia vyou hebu tulieni huko msome mje mlitumikie taifa... mtu mzima kuongea jambo la kitoto ni upuuzi....
 
Anae tongozwa na anae tongoza utasikia natoka udom, kila kizuri hakikosi kasoro. Ukweli ni kwamba nauli ya kutoka hapo udom na kurudi ni Tsh700/-! Iweje mtu akajiuze kwa Tsh 500? Si kila habari ni ya kushabikia.
 
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u

Kweli alieanzisha hii thread ni msomi seriously?
Tanzania tuna safari ndefu sana
 
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u

vipi seminar room flo ya juu imesharekebishwa na yake mabomba yenu yanayovuja?ile harufu pale block5 imeisha?
 
Pamoja na hayo kuna uhusiano gani kati ya uzuri wa chuo na ubora wa elimu.UNAPOSEMA UBORA WA MAJENGO UHUSIANISHA NA UBORA WA ELIMU.

MBONA KWENYE ENTERVIEW ZA KUOMBA KAZI HAMFUI DAFU??????????????

Kwamfano Enterview ya wapi?
 
mtoto yake nepi! afu tunailaumu serikali, wakati sisi wenyewe ndo tunazaa matoto box kama hili
 
Kwamfano Enterview ya wapi?

hawjui udom huyo! interview za mwaka huu karibia zote vija wa udo wamejaa kwenye selected new employees kwa org mbali mbali ikiwemo TRA,NSSF nhif gepf akiba bank barcleys ndo interns kibao nenda tigo, nk
 
Anae tongozwa na anae tongoza utasikia natoka udom, kila kizuri hakikosi kasoro. Ukweli ni kwamba nauli ya kutoka hapo udom na kurudi ni Tsh700/-! Iweje mtu akajiuze kwa Tsh 500? Si kila habari ni ya kushabikia.
Mkuu biashara ni uwekezaji na ubunifu.

Hivi kama huduma ya chapchap inaanzia jero au buku na akapigwa na wanaume kama 10 kwa night atashindwa vipi kulipa hiyo nauli?
 
Back
Top Bottom