Udini waingilia Rasmi kampeni Igunga

Mbona Waislam Igunga ni wachache saana, hawana effect yeyote. Mbona wanaruka mkojo wanakanyaga mavi? Kafumu wa Yesu, kashindye naye wa Yesu. Mbona hawafikiri hata kidogo?
Elimu madrasa inashida sana,hata uwezo wa kufikiri hili ni tabu sana..wao hata rangi ya chama inaweza kuwa sababu tosha ya kuchagua..
 
......sijui na ile 'mahakama yetu' itakuwa inatenda haki au nayo itakurupuka/itakurupushwa tu....
 
BAKWATA wamejidhihirisha ni wavivu wa kufikiri. Wamelalama eti uislam umeaibishwa kwa kuwa Fatuma Kimario kavuliwa kitambaa wakiamini ni Muislam. Jirani wa DC anayeishi naye mbezi kavujisha ukweli kuwa huyu mama ni mkristo kaolewa na bwana Joseph Kimario kwa ndoa ya kikatoliki tena mzee wake ni mzee wa kanisa la katoliki mbezi. Pia DC huyu na mumewe wana nyumba na shamba tegeta na ktk shamba hilo wanafuga nguruwe na mama huyu ni muuzaji maarufu wa hawa nguruwe hapo tegeta na ni mlaji mzuri tu wa hii kitu .
Picha ya shamba la DC wa igunga lililopo tegeta:
View attachment 37795
 
Kwa aina ya viongozi wanaowakilisha waislamu Tanzania, sishangai kwa nini waislamu wanaendelea kulalamika kuwa madai yao hayatekelezwi. Huwezi kuwa na mtu anayejiita kiongozi kama viongozi wa BAKWATA leo, ukategemea kupata uwakilishi wenye maana katika kutetea haki zako. Sitashangaa waislamu wakiachwa nyuma sana katika mchakato wa kuandaa katiba, kama viongozi watakaowawakilisha huko ndio hawa wa kununuliwa kwa pipi. Sitashangaa kama madai ya waislamu kupatiwa mahakama ya kadhi yatayeyuka, kama wanaotakiwa kuwasemea ndiyo wale walioitwa na Kikwete ikulu kwenda kupewa pipi.

Nitashangaa sana waislamu watakaokubali kuendelea kuburuzwa na hiki kikundi kinachojiita viongozi wa BAKWATA ambao, for sure wanaweza kupindisha chochote, kwa kupewa elfu 10.
 
......sijui na ile 'mahakama yetu' itakuwa inatenda haki au nayo itakurupuka/itakurupushwa tu....

Mahakama ipi tena mkuu wakati wale wazee waliitwa ikulu wakapewa biscuti na tende, sasa ivi wako kimyaaaaaa...
 
The only way bakwata na ccm wanaweza shinda hii kesi ni kwenda kufungua kesi mahakama za sheria! Wanaweza kushinda na sijui mshindi ni nani, kama hakuna hizi mahakama si waende Oman kupata verdict ...
 
Hakika dhambi ya ubaguzi wa dini na kuwatenga wakristo na chadema itawatafuna wao BAKWATA muda sio mrefu wote humu mtakuwa mashahidi, hawaponi kueneza chuki ya dini ni kitu kibaya sana utazua vita kati ya wazazi na watoto mke na mume patakuwa hapatoshi. wakristo msishabikie hakika mtakuwa salama hata waeneze ubaya gani mwisho wasiku watamalizana wao maana dhambi ya ubaguzi haitaishia kwa wakristo tu na chadema watajikuta na humo ndani mwao kunatofauti. Ee Mungu tusaidie tuepushie na hii roho ya udini
 
Anza kujikomboa mwenyewe kifikra ndipo utawasaidia wenzio! huo ndio ukweli, mmejirahisisha sana na kutumiwa vibaya na CCM utadhani hamuwezi kuishi bila kutumia ubongo wenu! CCM wamewekeza kwenye illiteracy ya baadhi ya Waislamu na kukubali kutumika. sasa wewe unapinga nini? hiyo inaonyesha kuwa elimu kwa baadhi yenu ni tatizo! Aliyeelimika hakubali kutumiwa!
 
Kwa style hii waislam mna kazi kubwa,mnalalamika kuwa mko nyuma kimaendeleo kumbe mchawi wenu ni bakwata,MUNGU SI MNAFIKI NA HASHIRIKIANI NA WANAFIKI KAWAWEKA HADHARANI SASA KAZI KWENU.
 

Anza kujikomboa mwenyewe kifikra ndipo utawasaidia wenzio! huo ndio ukweli, mmejirahisisha sana na kutumiwa vibaya na CCM utadhani hamuwezi kuishi bila kutumia ubongo wenu na hivyo kujidharaulisha na wala hakuna anayewadharau! CCM wamewekeza kwenye illiteracy ya baadhi ya Waislamu na kukubali kutumika. sasa wewe unapinga nini? hiyo inaonyesha kuwa elimu kwa baadhi yenu ni tatizo! Aliyeelimika hakubali kutumiwa!
 
Hahahaah mnasema yule si Muislam ? Na kwa nini Hijab pekee iweze kuwa issue sana ? Si ni vazi tu ? Huu uislam mbona unafanywa kuwa kama kitu gani sijui .Huu uislam hauwezi kujitetea wenyewe ? Poleni sana .Kazi ni kwenu sasa mlianza ukweli unaanza kuja sijui mtasemaje .Mkumbuke si kila mtu anaipenda CCM na ndiyo maana watu wameamua kuja front na nyeti hizi .Aibu kwenu .
 
Hii habari ya Dc ikiendelea kuvuma hivi kwa siku tatu zijazo, naomba itangazwe kama ni janga la taifa maana imekuwa ni kila siku.
 
Hapa ndipo hekima ya Prof. Safari inapoonekana. Alisema wao chadema hawawezi kukurupuka kuanza kubishana au kutupiana manenomaneno mpaka watakapokuwa na uhakika wa hayo mambo.
Ni vizuri waislam wakawa wanatumia hekima badala ya jaziba kutoa matamko yao, hata Kama ni kweli wanakuwa wamekosewa. Hiyo itawasaidia kuepusha fedhaha Kama hizi.
 
Kwa nyongeza idadi ya wasukuma waislam ni ndogo sana. Ukiondoa wilaya ya Sokonge, Tabora na Uyui the rest ni ngome za wakristo
 
Bakwata wakipewa nafasi tu kosa, wanasambaza kila aina ya sumu.
 
Itafika wakati kitaeleweka tu, Mungu hamfichi mnafiki, daima mfa maji haishi kutapatapa, kama ni mbinu za ccm bas huu ndio mwisho wao! Mzuri ni mzuri na atapendwa siku zote hata kama ww mmoja ukijifanya unamchukia na bahari siku zote haichafuki hata ukimwaga pipa 10 za rangi utaikuta vilevile. Tatizo binadamu huwa tunataka kuzishinda kudra za mwenyezi Mungu - chadema itasonga 2, jiulze kwanini maua mengne huchanua ilhali yamesongwa na miiba mikali, ashindae siku zote huwa kapitia vikwazo vya kutosha kama hvo chadema.
 

sasa wewe hicho kilema chako cha mguu unajiona mzima sana cuz una mikono ya ku-type crap jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…