Udini ulianza kipindi cha Mwinyi - CCT

Status
Not open for further replies.
- You know what, hawa viongozi wa dini kama huyu Askofu Kitula mimi ningekua Rais wa taifa hili ningeanza kumuweka Detention kwa kuhatarisha Usalama Wa Taifa, na ningemuacha huko kwa muda mrefu sana kwa sababu his act here ndio udini wenyewe hasa, I mean ameongea maneno mengi lakini hakuna substance wala common sense, na for sure uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana,
William.
You could make a good malevolent dictator!
Lete data za kukanusha la sivyo na wewe ndio walewale unaowatuhumu!
 
ndio maana kwenye Constitution kunatakiwa kuwepo na kipengele cha Separation of Church and power
Nope! Separation of religion and state!

kwa sababu huyu Askofu has no clue what is politics!, so somebody needs to tell this man to shut up!

William.
Hahaha! mbona mkali hivyo? Just substantiate your claims kwamba hajui politics then tutajua you thing great!
 
icon1.png
Re: Udini ulianza kipindi cha Mwinyi - CCT


You could make a good malevolent dictator!
Lete data za kukanusha la sivyo na wewe ndio walewale unaowatuhumu!

- ??????????
 
Nenda kasome Deuteronomy 17:12 ,mnaouwa vibibi vikongwe ndio nyinyi bible inawambia hivyo ,embu kasome Exodus 22:17 NAB na huyo aliesema eti tusilete mambo ya kuuwana na kupiga mawe aende akasome Leviticus 20:13 NAB ,naona hadi leo hamjamuuwa Shee Yaaya si mnaambiwa muwauwe embu kasome Leviticus 20:27 NAB ,wakiristo kibao wanawapiga baba zao ,hao mmeambiwa muwauwe Exodus 21:15 NAB kama haitoshi ,nikiongezea All who curse their father or mother must be put to death. They are guilty of a capital offense. (Leviticus 20:9 NLT.

Na nyie msioijua dini yenu inasema hukumu gani fumbeni midomo yenu mkae kimya If a man commits adultery with another man's wife, both the man and the woman must be put to death. (Leviticus 20:10 NLT) ,Hapa Uislamu unakosa gani ukitekeleza hukumu hiyo ??? Mkiambiwa mnaburuzwa na mahubiri ya uongo mnapiga makelele ,ni wapi katika dunia hii hukumu hiyo Wakirsto mmeitekeleza >Mnaona kosa Waislamu wakitekeleza ?

Kubwa zaidi ni hili ambalo halimo katika dini yetu tukufu ya Uislamu pale msemamo kuwa wengine wote wasio sisi wanafaa kuuliwa embu soma uone ukatili ulio ndani yenu (Exodus 22:19 NAB)

Hebu angalia haya za Biblia anazoquote huyu ndugu. Eti wakristo hawajui dini yao wao ndio wanajua ndio maana wanayafanya hayo kwa kupiga watu mawe nk. Ukweli ni kuwa ndugu zetu hawa kuanzia kwa mwenzao aliyejitangazia utume kwa kuingizwa mkenge na Shetani. Mohamad hakujua kusoma wala kuandika, hakujua malaika wa Shetani na wa Mungu wanatofautiana vipi.
Alivokuwa akisomewa Biblia na mkristo Waraka Noufel na yeye akawa anazipeleka hivohivo kwa waarabua wajinga bila kuelewa athari yake kwa ulimwengu. Wanasayansi waliofanya utafiti kujua aliyemtokea Muhamad ni Malaika Gabriel (Jibril) anayetajwa kuwatokea mitume kama Daniel na wengineo walikuta hao malaika walikuwa tofauti. Aliyemtokea Muhamad pangoni ndiye aliyemtokea Yesu jangwani na kwa kuwa Yesu huyo alikuwa na elimu ya kila kitu akamkwepa. Alipomtokea Muhamad asingekuwa na ujanja wowote kumkwepa kwa kuwa hakuwa na elimu ya kiroho na hata kujua fungu moja la msahafu. Kumbuka majibu ya Yesu yote yalitoka kwenye Biblia na maswali ya huyo shetani pia yalitoka kwenye Biblia. Hapo linakuja swala kuwa unaweza kuitumia Biblia kupotosha au kujenga.
Sasa wenzetu hawa kwa kuwa waliingizwa mkenge toka mwanzo wanamwelekeo wa kuitumia Biblia vibaya na si vizuri kama Yesu alivocounter ghilba za shetani.
Hii ndio maana hawa wenzetu utawaonea huruma lakini ni vigumu sana kuwasaidia make wanaamini kuwa wao ndio wanajua huku hawajui. Wanajiita watu wa dini lakini wanazidiwa maarifa na morals hata na wale wasiokuwa na dini kama wachina na wajapani.
Hebu angalia ukweli huu hawa wenzetu tokea wameanzisha dini yao lengo lao ni kuutawala ulimwengu make ndiyo ahadi aliyoahidiwa mtume wao lakini mpaka sasa hawako hawajafanikiwa. Lengo ni kuuweka ulimwengu kuwa wa kiislamu na kuitawala kwa sheria hizo mbovu walizokopi kwenye Biblia ambako zilipitwa na wakati. Hivi kama huyo alliyemtokea mtume ambaye hakujua kusoma wala kuandika a hakuwaingiza mkenge kwanini hata Kaisrael kanawashinda? Wayahudi wako Mil14 tu duniani lakini wamewashinda waislamu Bil1.4 kwa idadi. Hivi kwa akili ya kawaida hii si sawa na Daudi kumshinda Goliath kwa nguvu za Mungu?
Tunapoweka mambo ya dini kichwani na kufikiria kuwa ndio mwongozo ni vizuri tukaenda mbali zaidi. Tukikaa tunawaza hayohayo tutapitwa. Kama watanzania tujali utanzania dini zetu ziwe kando zibaki misikitini na makanisani. Dini zimeletwa na watu walioagizwa na Mungu, waliorubuniwa na Shetani, waliotaka umaarufu na utawala na waliokuwa maamuma wasielewe shimo wanakoingia. Cha muhimu utanzania kwanza.
Hapo nimeongelea Uislamu ukija kwenye ukristo nako kuna madudu yake hivo wakristo sina muda kuwapa vidonge vyenu kwa leo. Dini ikae kama dini unapoikaribisha na maisha ya kisiasa ni sumu kubwa ndio maana kwa Waislamu hii inakula kwao duniani na popote wamebaki watu wa nyuma kimaendeleo ila mbele sana kwa kulalamika huku hawajui tatizo ni wao wenyewe kujifunga kamba ya dini mguuni huku watu wako mashidano ya mbio.
 
- You know what, hawa viongozi wa dini kama huyu Askofu Kitula mimi ningekua Rais wa taifa hili ningeanza kumuweka Detention kwa kuhatarisha Usalama Wa Taifa, na ningemuacha huko kwa muda mrefu sana kwa sababu his act here ndio udini wenyewe hasa, I mean ameongea maneno mengi lakini hakuna substance wala common sense, na for sure uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana,

- Ungekuwa mkubwa angeelewa kwamba hakuna kesi ya Murder au Rape itakayosikilizwa huko kwenye Kadhi, sasa why waste his time even mentioning it? Mhakama ya Kadhi itapunguza au kuongeza nini kwenye hili taifa? Sasa badala ya kuonyesha nini madhara ya kuwa na Mahakama ya Kadhi as far as udini is concerned kwa hili taifa, yeye anaweka hoja ya Mahakama ya Kadhi halafu anaiacha hewani halafu some of us Great Thinkers bila hata kufikiri wala kutfakari tunarukia right on it bila hata kuchambua kilichosemwa na ambacho hakikusemwa, it is simply PATHETIC!

- Ya Kaizeri wangemuachia Kaizeri, wao waendelee na ya Imani! ndio maana kwenye Constitution kunatakiwa kuwepo na kipengele cha Separation of Church and power, kwa sababu huyu Askofu has no clue what is politics!, so somebody needs to tell this man to shut up!

William.

Kuna wakati najikuta nashindwa kuamini kwamba Tanzania niliyoiishi kwa zaidi ya miaka ishirini ndiyo ile ile au?
 
- You know what, hawa viongozi wa dini kama huyu Askofu Kitula mimi ningekua Rais wa taifa hili ningeanza kumuweka Detention kwa kuhatarisha Usalama Wa Taifa, na ningemuacha huko kwa muda mrefu sana kwa sababu his act here ndio udini wenyewe hasa, I mean ameongea maneno mengi lakini hakuna substance wala common sense, na for sure uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana,

- Ungekuwa mkubwa angeelewa kwamba hakuna kesi ya Murder au Rape itakayosikilizwa huko kwenye Kadhi, sasa why waste his time even mentioning it? Mhakama ya Kadhi itapunguza au kuongeza nini kwenye hili taifa? Sasa badala ya kuonyesha nini madhara ya kuwa na Mahakama ya Kadhi as far as udini is concerned kwa hili taifa, yeye anaweka hoja ya Mahakama ya Kadhi halafu anaiacha hewani halafu some of us Great Thinkers bila hata kufikiri wala kutfakari tunarukia right on it bila hata kuchambua kilichosemwa na ambacho hakikusemwa, it is simply PATHETIC!

- Ya Kaizeri wangemuachia Kaizeri, wao waendelee na ya Imani! ndio maana kwenye Constitution kunatakiwa kuwepo na kipengele cha Separation of Church and power, kwa sababu huyu Askofu has no clue what is politics!, so somebody needs to tell this man to shut up!

William.

ETi umuweke detention..ndio maana wewe na ukoo wako hamuezi kuwa marais. Abadan.

Huyo askofu anayo haki kikatiba kuelezea hisia zake, na wenye masikio watamsikiliza. Hapa kwene hii thread amenukuliwa kuelezea mambo mawili:-

1) Mihadhara ya kashfa esp. wasilamu
2) Mahkama ya Kadhi kuekwa ktk Ilani

Kuhusu swala la kwanza mimi binafsi sikubaliani naye maana naamini kwa kupitia mihadhara na makongamano watu wanapata ufahamu wa mambo mbalimbali bila chenga. Hiyo ndio demokrasia kwamba hakuna kisichojadilika chini ya jua, equally hatuezi kuzipa free ride concepts za miungu, imani za dini, na madhehebu. Cha msingi ni kuepo kwa udhibiti tu kuhakikisha hakuna vurugu, lakini ukweli shurti usemwe, majadiliano na mihadhara lazima iwepo na mwisho ukweli will be the last man standing. Hivyo ndio mwanadamu anavyo-evolve, haezi ku-evolve bila ya kujiuliza maswali magumu na hoja controversial.

Kuhusu suala la Mahakam ya Kadhi kuekwa kwene ilani ya uchaguzi , hapa nakubaliana naye 100%. Hatuezi kuendesha nchi yetu kama sokoni, we need to follow KATIBA. Katiba inasema wazi kazi ya serikali sio kueneza au kusimamia shughuli za dini yeyote, sasa ni wazi nyie majiniaz wa CCM mnajua sana katiba kuliko sisi wengine. Hapa hatutokubaliana nanyi, kodi yetu hatutoruhusu muitumie kuendeleza dini mnayoichagua nyinyi kwa maslahi yenu ya kichama.
 
ETi umuweke detention..ndio maana wewe na ukoo wako hamuezi kuwa marais. Abadan..
He can make a good malevolent dictator!

Huyo askofu anayo haki kikatiba kuelezea hisia zake, na wenye masikio watamsikiliza. Hapa kwene hii thread amenukuliwa kuelezea mambo mawili:-

1) Mihadhara ya kashfa esp. wasilamu
2) Mahkama ya Kadhi kuekwa ktk Ilani

Kuhusu swala la kwanza mimi binafsi sikubaliani naye maana naamini kwa kupitia mihadhara na makongamano watu wanapata ufahamu wa mambo mbalimbali bila chenga. Hiyo ndio demokrasia kwamba hakuna kisichojadilika chini ya jua, equally hatuezi kuzipa free ride concepts za miungu, imani za dini, na madhehebu. Cha msingi ni kuepo kwa udhibiti tu kuhakikisha hakuna vurugu, lakini ukweli shurti usemwe, majadiliano na mihadhara lazima iwepo na mwisho ukweli will be the last man standing. Hivyo ndio mwanadamu anavyo-evolve, haezi ku-evolve bila ya kujiuliza maswali magumu na hoja controversial.

Kuhusu suala la Mahakam ya Kadhi kuekwa kwene ilani ya uchaguzi , hapa nakubaliana naye 100%. Hatuezi kuendesha nchi yetu kama sokoni, we need to follow KATIBA. Katiba inasema wazi kazi ya serikali sio kueneza au kusimamia shughuli za dini yeyote, sasa ni wazi nyie majiniaz wa CCM mnajua sana katiba kuliko sisi wengine. Hapa hatutokubaliana nanyi, kodi yetu hatutoruhusu muitumie kuendeleza dini mnayoichagua nyinyi kwa maslahi yenu ya kichama.
Agree!
Lazima tujadili imani zote lakini kwa utulivu na bila kulazimishana!
You have said it well!
 
He can make a good malevolent dictator!


Agree!
Lazima tujadili imani zote lakini kwa utulivu na bila kulazimishana!
You have said it well!

Huyo William huwa nashindwa kabisa kumuelewa katika hoja zake. Naamini ni msomi mzuri ila usomi wake haujamsaidia kumpa fikra huru. Yeye hana tofauti na Dr Bana , yaani yeye ukweli anauona ila anaandika/anasema tofauti kwa vile anajua kuna wakubwa wa serikali wanamuona. Ni kama vile yule Konstebo Sabella kwenye filamu ya Sarafina alivyokuwa anaona sifa kumsulubu ''Gitaa'' mbele ya polisi makaburu yaani alikuwa anaona sifa makaburu walivyokuwa wanatikisa vichwa na kucheka. William naye anaandika vile kwa vile anajua wakubwa wa serikali wanasoma kile anachoandika na wanatikisa kichwa
 
Msaada tutani wakuu, naomba kuuliza tu, hivi kule somalia kuna kanisa vile? zile mahakama za kiislamu pale mogadishu wanachofanya unakijuwa, wanayofanya al qaeda, al shabab, islamic Jihad, je tuwafungamanishe waislamu wote kwenye kazia hiyo? au je ni haki conclude na tuiite dini ya kiislamu ni dini ya kigaidi? yaani exis of envil.
Ni lini uliwahi kusikia Christian Jihad? kule Darful Sudan ninani anaewauwa waafrika weusi wenzetu?
umaskini wa mawazo ndio umaskini mbaya zaidi kuliko ule umaskini wa mali, nadhani inabidi tuanze kwanza kupiga vita umaskini huu wa mawazo hapo ndipo tutafanikiwa kuuwondoa umaskini wa mali.

Northern Ireland, Guatemala, North Korea, Philipine, DRC, Namibia, nk. kuna misikiti mingapi? Yanayotokea huko kwa asilimia kubwa hayana tofauti na Somalia na Dafur. Hakuna cha Uislam wala Ukristo, ni tamaa ya utajiri tu. Tanzania ina madini mengi ikiwemo uranium. Mkiendekeza ushabiki mtaishia kuchinjana, wenzenu wanazoa madini wanatajirika kwao.
 
Tuzungumze vyoote, lakini tufuatilie nii kwa nini hata nchi kama AFGHANISTAN wanamatatizo na kupigana. Wote ni waislam hawa. tatizo ni serikali iliruhusu mahakama ya kadhi iliyoombwa na watu walioitaka ili hali kukiwa na mahakama nyingine tofauti na ile na hivyo kusababisha kukinzana. Mtu akitokea kakosea mahakama inatoa hukumu kulingana na sheria ya nchi na katiba yao but upande wa kadhi wanapinga na kutoa hukumu tofauti. ndo yaliyotokea kule. sipingi KADHI ila isihusishe serikali. later italeta mchanganyiko kwa kuwa kutakuwa na vyombo viwili tofauti vya utoaji wa haki. hukumu itakuwaje kama muislam kaoa mkristu au the opposite yake? waweza kwenda wapi kupata haki kati ya vyombo hivi ambavyo vitakuwa viwili sasa?
 
Hakuna asiyejua kuwa kikwete ndiye anatupeleka kusikojulikana kwa kung'ang'ania dini ya kiislamu badala ya kuhangaika namna ya kulikomboa taifa......inaonesha kikwete hana mipango yoyote mizuri na nchi hii zaidi ya kuliingiza taifa ktk machafuko ya kidini na nasikia ameambiwa na waislamu wenzake kuwa lazima afanye hivyo na kwa gharama yoyote ikiwemo kumwaga damu.......kwa hiyo kikwete amekuwa kam shekh yahaya wa waislamu kwa kushabikia zaidi uislamu na ndiyo maana watz kwa kutambua hayo waliamua kutokumpa kura japo amepita kwa chakachua...............
Kikwete ajue watz hawataki udini alioamua kufa nao na hasa kwa kuendeleza mijadala ya kijinga km ya mahakama ya kadhi na oic wakati ni mambo ya kiislamu...........kuna nchi nyingi mi nadhani waislamu wakitaka kuishi kwa ukafiri wao wa kiislamu basi wahamie kwenye nchi za kiislamu lakini hatutaki uchafu huo hapa kwetu tz

Afadhali umelisema mwenyewe neneo KAFIRI maana lingesemwa na muislam wakristu wangelalamika kuwa amewakashifu.
Hivi katika nchi hii ni wapi wenyeji zaidi kati ya waislam na wakristu? Uilsam uliingia nchini tangia karne ya 7 wakati ukristu uliingia karne ya 19,mi nadhani kama ni kuhama wale waliokuja badae ndio wanapaswa kuhama. Hasa Roman catholic wote wangerudi kwao roma ili wale wanaotaka kuanzisha dini nyingine ya ukristu wasiite roman catholc bali iitwe Tanzania catholic ndo wabakie tz
 
- You know what, hawa viongozi wa dini kama huyu Askofu Kitula mimi ningekua Rais wa taifa hili ningeanza kumuweka Detention kwa kuhatarisha Usalama Wa Taifa, na ningemuacha huko kwa muda mrefu sana kwa sababu his act here ndio udini wenyewe hasa, I mean ameongea maneno mengi lakini hakuna substance wala common sense, na for sure uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana,

- Ungekuwa mkubwa angeelewa kwamba hakuna kesi ya Murder au Rape itakayosikilizwa huko kwenye Kadhi, sasa why waste his time even mentioning it? Mhakama ya Kadhi itapunguza au kuongeza nini kwenye hili taifa? Sasa badala ya kuonyesha nini madhara ya kuwa na Mahakama ya Kadhi as far as udini is concerned kwa hili taifa, yeye anaweka hoja ya Mahakama ya Kadhi halafu anaiacha hewani halafu some of us Great Thinkers bila hata kufikiri wala kutfakari tunarukia right on it bila hata kuchambua kilichosemwa na ambacho hakikusemwa, it is simply PATHETIC!

- Ya Kaizeri wangemuachia Kaizeri, wao waendelee na ya Imani! ndio maana kwenye Constitution kunatakiwa kuwepo na kipengele cha Separation of Church and power, kwa sababu huyu Askofu has no clue what is politics!, so somebody needs to tell this man to shut up!

William.

kumbuka hadithi ya ngamia. aliomba hifadhi ya kichwa na mwishowe mwili wote na kulazimisha mwenye banda kutoka nje na kunyeshewa. safari huanza na moja. ukoloni usituzidi that way na usomi wetu wote.
 
haya ni majungu tu ambayo hayana mpango! mna maumivu makali baada ya JK kumbwaga padre aliyetimuliwa kwa kuiba pesa za vipofu mwaka 1992??
 
Msaada tutani wakuu, naomba kuuliza tu, hivi kule somalia kuna kanisa vile? zile mahakama za kiislamu pale mogadishu wanachofanya unakijuwa, wanayofanya al qaeda, al shabab, islamic Jihad, je tuwafungamanishe waislamu wote kwenye kazia hiyo? au je ni haki conclude na tuiite dini ya kiislamu ni dini ya kigaidi? yaani exis of envil.
Ni lini uliwahi kusikia Christian Jihad? kule Darful Sudan ninani anaewauwa waafrika weusi wenzetu?
umaskini wa mawazo ndio umaskini mbaya zaidi kuliko ule umaskini wa mali, nadhani inabidi tuanze kwanza kupiga vita umaskini huu wa mawazo hapo ndipo tutafanikiwa kuuwondoa umaskini wa mali.

Mahla popote kwenye vita iwe Somalia,Afghanistan,Iraq nk Kuna shetani mkubwa marekani ndie anachochea vita,kumbuka Bush alitangaza Crusade dhidi ya waislam duniani,sasa unataka kanisa gani liwepo somalia zaidi ya marekani?
 
Watu bwana!
Topic:Udini ulianza kipindi cha Mwinyi - CCT
Kama huna cha kuchangia kaa kimya na kama una dukuduku jingine anzisha thread Jukwaa husika!
Back to the topic please!
 
Israel inaua wapalestina kwa mabomu yaliyopigwa marufuku ya white phosphorus, marekani kaivamia iraq bila ya kosa na kutumia silaha za hatari kwa binadamu, alie vamia somalia na kuondoa amani ni huyohuyo mmarekani, marekani ndio nchi ya mwanza duniani kutumia mabomu ya atomic kule japan ingawa ni makafiri pia.

Udini tanzania ulianzishwa na kafiri laanatullah nyerere ambae aliwabagua waislam ktk kila sector. Ktk uongozi, ktk masomo etc. Nyerere aka taifisha mali za waislam na akawaua waislam waliokua wakimpinga, nyerere akavunja jumuia za waislam na akaanzisha jumuia ya wanafiki kwa maslah yake(BAKWATA).

Ktk awamu ya mkapa ndio udini ukazidi. Makanisa yakapatiwa asilimia ya fedha ktk burget ya nchi, makanisa yakapewa mbunge wao ambae anawakilisha kanisa ktk bunge, makanisa yakapangiwa ruzuku kutoka serikalini, waislam wakauliwa misikitini kama vile muembe chai, imamu wa msikiti unguja akauliwa, na wapemba wakakiona kilichomtoa kanga manyoya na tanzania kwa mara ya kwanza ikazalisha wakimbizi kwa amri ya laanatullah mkapa.

Itali inawakilishwa na balozi mbili tanzania, moja ni ya serikali na nyengine ni ya kanisa.
Jee huo si udini?

Yakhe makafiri munataka kuanzisha vita ya udini kwa mtindo munaokwenda nao. Mimi nawauliza tu mushajitoolea? Maana wengine wao wanapenda kufa kama nyie mnavyopenda kuishi. Shauri yenu.


Hapo kwenye RED mkuu ndipo unajiweka uchi, nadhani shule ni muhimu zaidi kuliko kudandia hoja ambazo huna ufahamu nazo matokeo yake unakuwa kituko.
Italy ina ubalozi mmoja tu Tanzania, NA Vatican ni nchi ambayo imezungukwa na Italy, kama ilivyo Lesotho ambayo imezungukwa na South Africa.


  1. balozi za kiislamu ziko yingi Tanzania kuliko za kikristo
  2. Jamhuri ya kiislamu ya saudi Arabia
  3. Jamhuri ya kiislamu ya pakistan
  4. Jamhuri ya kiislamu ya Iran
  5. Jamhuri ya kiislamu ya sudan
  6. naomba mwenye orodha ya jamhuri za kikristo aweke hapa.
  7. shule jamani muhimu, shule jamani muhimu, pelekeni watoto shule na sio madrasat.
 
Yaani wewe umebaki nyumaa mnooo! Wakristu wanafuata Agano Jipya la Biblia sio Agano la Kale. Agano Lipya ni lile lenye Injili na Nyaraka Mbalimbali. Yesu alituambia Yeye alikuja kutoa sadaka mpya, sio sadaka za zamani! Alikuja kuleta mabadiliko. Na tazama palikuwepo na mama mmoja alidaiwa kufanya uzinzi, basi wakawa wanataka kumuua kwa kumpiga mawe. Yesu alipokaribia ule umati wenye hasira, aliwatuliza na kisha akawaambia basi kama kuna mmoja wenu asiye na hatia awe wa kwanza kutupa jiwe. Wote walikimbia. Hayo ndiyo mahubiri ya Kanisa. Htupigi, hatuhukumu, tunasemeheana!

Yesu anasema " Mimi sikuja kutengua Torati wala manabii,bali kutimiliza...Biblia" Usilete mawazo yako katika vitabu vya Mungu
 
Naomba kujuwa hivi ugaidi na uislam vina undugu?? Kila akipatikana gaidi mwenye mabomu ni mwislam, kila pirate anayeteka meli ni mwislamu.
Kuna wakati mtoto mmoja alimwuliza baba yake nifanye ni ni ili niwe gaidi? Baba akamjibu haraka uwe mwislamu.
Nauliza tena, hivi kama tuna waislamu wengi uwezekano wakuwapata magaidi ni aslimia ngapi?
Naomba mnijibu. Mwisho hatutaki kuhubiri udini wakati wengine dini zao ni hatari tupu.Ni mapango ya ugaidi.

Inawezkana kweli unayosema,maana magidi wa Lord resistance army wa uganda,hivi pia nao nio waislam? Magaid wa Eta huko hispania pia ni waislam? Magaidi wa IRA huko Irland pia ni waislam? Magidi wa Tamil tiger nao ni waislam? Nina wasiwasi na elimu yako
 
Inawezkana kweli unayosema,maana magidi wa Lord resistance army wa uganda,hivi pia nao nio waislam? Magaid wa Eta huko hispania pia ni waislam? Magaidi wa IRA huko Irland pia ni waislam? Magidi wa Tamil tiger nao ni waislam? Nina wasiwasi na elimu yako

September 11 2010
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom