YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,597
- 37
You could make a good malevolent dictator!- You know what, hawa viongozi wa dini kama huyu Askofu Kitula mimi ningekua Rais wa taifa hili ningeanza kumuweka Detention kwa kuhatarisha Usalama Wa Taifa, na ningemuacha huko kwa muda mrefu sana kwa sababu his act here ndio udini wenyewe hasa, I mean ameongea maneno mengi lakini hakuna substance wala common sense, na for sure uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana,
William.
Lete data za kukanusha la sivyo na wewe ndio walewale unaowatuhumu!