Udini ulianza kipindi cha Mwinyi - CCT

Udini ulianza kipindi cha Mwinyi - CCT

Status
Not open for further replies.
Huwezi kupenda kwa vile umeguswa pabaya,kwenye tumbo! we acha tu njaa mbaya
Sio kweli. Linapokuja suala la nchi ni maslahi ya watanzania bila kujali imani zao. Nchi ni ya wote hata wasio wakristo wala waislam. Unasema wahindu na wapagani waelekee wapi? Acha hizo bwana. Tanzania ni ya wote, kama hukubaliani na hilo hama mwenyewe tuachie nchi yetu!
 
Sio kweli. Linapokuja suala la nchi ni maslahi ya watanzania bila kujali imani zao. Nchi ni ya wote hata wasio wakristo wala waislam. Unasema wahindu na wapagani waelekee wapi? Acha hizo bwana. Tanzania ni ya wote, kama hukubaliani na hilo hama mwenyewe tuachie nchi yetu!

Kama hivo ndivo mbona ni wakristu tu kwa asilimia 95 ndio wamejaa kwenye utumishi wa umma? kama unabisha nenda TRA kwa mfano tu ujionee hali. Sasa kwa sababu unanufaika na hali hiyo lazima mjadala wa kuibadilisha uuzime.Huna point zaid ya kusema studpid
 
kusema ukweli, udini umeletwa na mambo kama hayo. kuruhusu mihadhara isiyokuwa na maana, ya kutumia kuran kukashifu biblia kila kona...pia mahakama ya kadhi inayoletwa na kikwete. kama Tanzania haijawahi kuwa na udini, basi itaanza baada ya mahakama ya kadhi kuingizwa tanzania. hapo ndo udini utakuwa umepkwa na kupikika. na kuiva.
 
J.K. anapiga sana kelele za udini lakini ki ukweli yeye ni Mdini No. 1. Jamani angalieni majina ya walioteuliwa kuwa Ma- RAS. Jibu mtalipata
 
Mwenyekiti wa CCT, Askofu Peter Kitula amesema tatizo la udini lilianza mwaka 1986 na hakuna kiongozi wa serikali aliyejitokeza kulikemea badala yake Chama Cha Mapinduzi (CCM) ilizidi kufanya makosa kwa kuingiza suala hilo katika Ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2005.

“Kuanzia miaka ya 1986 kulianza kujitokeza mihadhara ya kidini na kidhehebu katika jamii ambayo hatukuwa tumeizoea lakini jambo hili halikukemewa wala kuchukuliwa hatua za kisheria".

Ilani ya uchaguzi ya CCM 2005 ilitamka bayana kuwa suala la Mahakama ya Kadhi litashughulikiwa na kupatiwa ufumbuzi, ikumbukwe kuwa mahakama ya kadhi ni jambo la kidini na kiibada katika dini ya kisilamu, jambo hili ni kinyume cha Katiba ya nchi na sheria ya vyama vya siasa hakuna aliyeona hatari yake na kwamba litakuwa chanzo cha udini ndani ya siasa za Tanzania, “alisema.

Kwa maneno ya Kitula umefika wakati sasa tuache unafiki tuanze kuwataja kwa majina yao wote wanaohusika kulipeleka taifa kusiko bila kumng'unya maneno, kwa kuanzia nitaanza na Mwenyekiti wa NEC anakotupeleka siko. Ni ukweli mchungu.

SIKU IMEANZA VIZURI. BADALA YA KUJADILI KATIBA NA MAMBO MENGINE YA KUIKOMBOA TANZANIA ANGALAU KUTOKA KATIKA MAWAZO MGANDO TUMEANZA NA DINI...Aaaaaagggggrrrrrhhhhh!
 
Hembu tuangalie kwa sasa elimu,afya,ajira ni kundi lipi lipi lipo katika hali bora ukilinganisha na jingine?ni wazi kuwa waislam wapo nyuma katika mambo yote yaliyotajwa,mpaka mkapa kuwaonea huruma kuwa chuo walau kimoja morogoro.Hivyo udini kanisa unaolalamikia ni kejeli,kebehi,kuwasanifu waislam wajione wanafaidi na matunda ya uhuru walioupigania toka kwa muingereza na kumkaribisha nyerere kuongoza na baadae kuachwa solemba kwa kuundiwa chombo kisicho na tija kwao bakwata.

Bongolala, Unaweza kutuambia ni sehemu gani Tanzania ambako huduma za afya zinatolewa kwa Wakristo na watu wa imani nyingine kasoro Waislamu tu? Unaweza kutoa mifano ya shule ambazo zinabagua watu kwa dini? Unahitaji kupata taarifa sahihi kabla hujapandikiza mbegu za chuki kwa watu wengine dhidi ya ukristo.

Ajira zinategemeana na taaluma ya mtu. Mtu hawezi kuajiriwa kuwa pilot ama daktari kama hana taaluma hiyo. Taaluma hizo zinafundishwa vyuoni baada ya mtu kuwa na msingi wa elimu husika katika shule. Historia inatuambia elimu hizo zililetwa na wageni hapa kwetu. Walikuja waMissionary ambao ni waasisi wa dini unayoionea wivu ya Kikristo wakaeneza elimu ya dini pamoja na kujenga shule nyingi za mission ambazo zilikaribisha watu wa dini zote bila ubaguzi. Ndiyo maana utaona viongozi wengi wazee sasa waislamu watakuambia walisoma shule za mission.

Wakaja waarabu kufanya uchuuzi wa mali na binadamu (binadamu hao weusi walipofikishwa huko uarabuni inasemekana walikuwa wakihasiwa na baada ya utumwa kwisha waliuliwa maana hawakuwa na faida tena kwa mwarabu). Walichokifanya ni kile ambacho kilikuwa katika upeo wao wa kufikiri na kuelewa. Walianzisha madrasa (sijui yanaitwa hivyo) maalumu kwa elimu kwa waislamu. Wanachosomesha huko wewe unakielewa. Sasa wewe umesoma hadi mlango wa tatu kwenye shule hizo, ukagraduate, halafu leo unataka tukuajiri kama mchumi wa taifa! Inawezekana kweli? Acheni propaganda hizo na malalamiko yanayozidi kuwaonyesha ninyi ni watu wa aina gani. Wekezeni katika elimu sahihi ndipo mdai equality katika employment.

Unasema et waislamu wako nyuma kielimu. Kutokusoma kwenu ni tatizo la Wakristo? Kuna shule zenye ubaguzi wa kidini hapa zaidi ya shule za kiislamu? Ama unataka Wakrito wapite nyumba kwa nyumba wakiwafunga kamba waislamu na kuwakokota hadi shuleni? Badilisheni mtazamo. Msilaumu wa Kristo kwa mambo ambayo mmeyajenga wenyewe kwa imani yenu potofu ya kujibagua na kubagua wengine.

Hapa habari ni kwamba udini ulianza wakati wa Ally Hassan Mwinyi kwa sababu aliruhusu waislamu kutafuta equality kwa kuhujumu Ukristo. Ndiyo hoja. Na hadi sasa JK anataka kuingiza nchi katika vurugu za kidini kwa sababu hana uwezo wa KUADRESS MATATIZO HALISI YA WATZ.

WATANZANIA, TUKATAE CCM KUTUGAWA KWA MISINGI YA DINI. TUUNGANE PAMOJA NA KUDAI HAKI ZETU IKIWA NI PAMOJA NA KUWAJIBISHWA KWA MAFISADI, KATIBA MPYA, KUDHIBITI UBADHILIFU WA RASRIMALI ZETU. KATU TUSIKUBALI KUZUBAISHWA NA HILA ZA ANGENDA YA UDINI. UDINI AMBAO JK NA CCM YAO NDIO WAASISI WAKE . TUSIKUBALI KUGOMBANA KWA MISINGI YA UDINI PROPAGANDA ZA CCM NA KIKWETE.

TUSHIKAMANE KWA PAMOJA KUPINGANA NA HAWA WATAWALA NA MAMLUKI WANAOTAKA KUTUGONGANISHA KW A SUALA LA UDINI HUKU MAMBO Y A MUHIMU KAMA KUWAWAJIBISHA MAFISADI KINA LOWASA, ROSTAM, JK CHENGE NK, KUSIMAMIA MASLAHI YA WATZ KWA UAMINIFU NA UADILIFU, KUWAFICHUA WAHALIFU KAMA WAHUSIKA WA DOWANS NA DOWANS MWENYEWE ILI WAWAJIBISHWE, KUBORESHA ELIMU, KUONGEZA UZALISHAJI KATIKA SEKTA MBALIMBALI KATIKA KIPINDI HIKI CHA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI, NA MASUALA MBALI MBALI YA DEMOKRASIA NA UTAWALA BORA YAKIWA YAMEFUMBIWA MACHO.

SISI NI WATOTO WA MAMA MMOJA. TUSIKUBALI KUGOMBANA NA KUUANA ETI KWA SABABU YA DINI NA RASLIMALI. OIC WALA KADHI HATAONDOA UJINGA, UMASKINI, MARADHI NA MATATIZO TULIYONAYO WATANZANIA. TUONDOKANE NA UJINGA KWAMBA PENGINE NCHI IKIWA Y A KIISLAMU AMA IKISAJILI KADHI SHIDA ZITAISHA. HAKUNA!!.

JIBU NI KUBADILISHA MFUMO WA UNYONYAJI NA UTENDAJI MBOVU AMBAO UMEDUMU KWA MIAKA HAMSINI SASA HUKU SOTE TUKISHUHUDIA HALI YA NCHI IKIZIDI KUDIDIMIA SIKU HADI SIKU. TATIZO LA YOTE NI KUAMUA KULETA MABADILIKO HALISI. VIZAZI VYETU VITATUKUMBUKA. LA SIVYO TUTAISHIA KUUANA SISI WANYONGE NA SHIDA ZETU ZIKIONGEZEKA HUKU JK NA MAFISADI WENZAKE WANAOHUBIRI UDINI KUPOTOSHA ATTENTION, WAKILA KUKU KWA MIRIJA KATIKA MA MANSION YAO WALIOJIJENGEA NCHI ZA NJE.

NIMESEMA.
 
Hawa maskofu walijisahau wakati wa Nyerere walipokuwa wanaifilisi nchi

1. walipendelewa kiasi walidharau malalamishi ya wengi waislam nchini, wakati ule wao waliona kila kitu ni sawa

2. Walipewa ulinzi na serikali ya Nyerere kama viongozi wa nchi

3. Walichota mapesa hazina kusherehekea XMass

4. Skukuu kiserikali zilikuwa za ki Christo pekee za kiisla hazikutambuliwa

5. Walisign memorundum of understendind kati ya makanisa na serikali

6. Walipendelewa kielimu na vyeo serikalini

7. NK


Wakati ule waislam wakilalalmika wao walikuwa viziwi, walitegemea wataishi kwa ependeleo milele, things have change tunaishi dunia nyingine ya uwazi na utandawazi

You gays/guys have to change, na ndio maana wachungaji wenu wanaacha kazi za kanisa kukimbilia kwenye siasa kwa sababu mambo yamewazidi NO MORE Fovours
 
- Udini! Udini! makelele ya madebe matupu wakati tunalilia non ishus kule wanatuibia kwenye Dowans na Tanesco, I bet you they love this kind of debate with absolutely no substance at all!


William.
 
Hawa maskofu walijisahau wakati wa Nyerere walipokuwa wanaifilisi nchi

1. walipendelewa kiasi walidharau malalamishi ya wengi waislam nchini, wakati ule wao waliona kila kitu ni sawa

2. Walipewa ulinzi na serikali ya Nyerere kama viongozi wa nchi

3. Walichota mapesa hazina kusherehekea XMass

4. Skukuu kiserikali zilikuwa za ki Christo pekee za kiisla hazikutambuliwa

5. Walisign memorundum of understendind kati ya makanisa na serikali

6. Walipendelewa kielimu na vyeo serikalini

7. NK


Wakati ule waislam wakilalalmika wao walikuwa viziwi, walitegemea wataishi kwa ependeleo milele, things have change tunaishi dunia nyingine ya uwazi na utandawazi

You gays/guys have to change, na ndio maana wachungaji wenu wanaacha kazi za kanisa kukimbilia kwenye siasa kwa sababu mambo yamewazidi NO MORE Fovours

I normally don't like to get involved in religious debate, but I think what is written above is baseless and cannot be supported by any data. It can only be supported by certain unfounded and unreasonable hatred that seeks any target. Someone has to be that target, to be blamed. If not A then B if not B then C, the hatred must find a target.
 
Hii maada ni dhaifu na yawezekana imeanzishwa na CCM au TIIS siipendi wala sioni tija yake maana hakuna kinachojadiliwa zaidi ya kututenganisha na kumtafutia Kikwete marafiki kwa lazima kuwa eti mdini sidhani kama ni kweli ni hujinga wake wala si dini inamtuma ni uwezo wake mdogo wa kupambanua mambo, waislam watafanya kosa kubwa sana kama hii hoja itawachota maana sioni chochote halichofanya heri Mzee Beni alianzisha chuo kikuu cha Kiislam; huyo hamna kitu kwani fedha wanazoiba yeye na Lowasa na Rostam wanagawa Msikini!?? Naamimi waislaam watanzania ni makini wanaweza kuchambua kama hajui amuulize mwinyi kwanini alipigwa na kiatu mskitini!!! hii hoja kwa sasa sio
 
Unaweza kutuambia ni ki vipi kanisa lilianzisha udini Tanzania, ukifananisha Tanzania na Rwanda kuna watu watakuja na mifano mingi duniani ikiwamo Afghanistan, Iran, Yemen nk kote huko kunasababishwa na kanisa?, tuzungumzie nchi yetu.
Tatizo lenu ni uelewa mdogo sana wa dunia inaendaje ama kutoutaka ukweli. (kwa Tanzania, Soma kitabu cha Padre Dr. John Sivalon anasemaje katika (Kanisa Katoliki na siasa Tanzania bara 1954 -1985) kitabu hiki hebu kisomeni kwa makini ili muone mnakoipeleka nchi. Nikirudi katika nchi mlizotaja Afghan, Iraq (ndio uliyokusudia) na Yemen na umesahau kuitaja pia Somalia. Ulichosahau ni kwamba nchi hizo zimevamiwa na kiongozi wa ugaidi duniani (USA) kwa jina alilosema Crusade labda umesahau tamko la bwana pori hapo. Na nikikupeleka mbali zaidi je umesahau kanisa limeshafanya mauaji ya halaiki mara ngapi? Je umeshamsahau Kibwetere mara hii? Je kuna viongozi wa aina hiyo wangapi? huo si ugaidi!!! Je galilei aliuawa na waislamu? haukuwa ugaidi? Ireland Kaskazini je ni waislamu wale? hawajapata kuitwa magaidi! ulichosahau zaidi ni kuitaja Lebanon, Syria na Jordan. Kama vile hukumbuki ni mambo gani yalitokea katika nchi hizo. Bado hutaki kujua ni kitu gani wakristo walikifanya katika Spain. Leo hii mmeshasahau kwamba hata Mzee Madiba alipata kuitwa gaidi!! Ila kwa sababu mmezoea kuimba nyimbo msizozifahamu endeleeni tu kuziimba huku mkijua "VITA IKO NA WENYEWE" Mkitaka tuwaletee uovu wa kanisa hapatakalika hapa, watu watakataa kuamini kinachostahili kuaminiwa!
 
UDINI ULIANZIA HAPA TANZANIA:

Katika waraka mwingine wa mawasiliano ya siri, maaskofu wamenukuliwa na Padre Sivalon kama ifuatavyo:

‘Watendaji wote katika Kanisa na jumuiya zake walielimishwa juu ya hatari za Ukomunist na Uislamu. Viongozi wa juu wa Kanisa walijaribu kutumia Utume kama mkakati wa kupambana na maadui wa Kanisa, Ukomunisti na Uislamu'., (Dr. Sivalon, uk.34).


Katika kipindi cha uhuru, utekelezaji wa mkakati wa kupambana na adui ‘Uislamu' ulianza rasmi mwaka 1963. Mwaka huo, Mwl. Julius Kambarage Nyerere – ambaye maandiko mengi ya kihistoria yanamhukumu kama ‘wakala muhimu wa kanisa ndani ya serikali' – alitumia madaraka yake makubwa kama rais wa nchi kutekeleza mpango wa kuvuruga mfumo wa Waislamu wa malezi, mirathi, ndoa, talaka, amana na wakfu. Alianza kwa kuifuta Mahakama ya Kadhi. Mwaka mmoja baadaye, yaani mwaka 1964, Nyerere alitumia kisingizio cha maasi ya jeshi kuingia katika hatua nyingine ya kuwahujumu Waislamu. Nyerere alitumia kisingizio cha tukio hilo kuwahujumu viongozi wa Kiislamu akiwemo Mufti Sheikh Hasan bin Amir (wakati huo), kwa kuwahusisha nalo. Pamoja na kwamba hakukuwa na ushahidi wowote wa kuhusika kwa Mufti Sheikh Hasan bin Amir na maasi hayo ya jeshi, dola ilimwandama na hatimaye akaondoshwa nchini.
Na mnamo mwaka 1968, Mwl. Julius Kambarage Nyerere alizindua awamu ya tatu ya vita ya kanisa dhidi ya Uislamu. Mwaka huo aliendesha vitisho vingi dhidi ya Masheikh, (akiwamo Sheikh Takadir yeye akamuita Mtakadini) na akaivunja jumuia ya Waislamu ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS) tawi la Tanzania, na kuunda taasisi ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania yaani BAKWATA. Na katika kukamilisha hujuma hiyo alihamisha umiliki wa miradi mikubwa ya elimu, uchumi na ustawi wa jamii, iliyokuwa chini ya East African Muslim Welfare Society na kuikabidhi miradi hiyo kwa BAKWATA. (kwa wenye akili wengi hapa ndipo watajua kwanini Bakwata haipatani na WAISLAMU walio wengi)

Na zaidi ya yote ni MKATABA WA MoU:

Elimu ni sekta muhimu sana ndio maana makundi mawili makuu ya kidini nchini, yaani Waislamu na Wakristo, wanajenga mashule yao. Hata hivyo wanahitajia sana msaada wa serikali. Kupitia mkataba wa Kanisa na serikali, Wakristo huwezeshwa na serikali kwa kuwasomesha wataalamu wao kwa gharama zake. Kifungu cha 11 cha MoU kinaelezea:


"Serikali itatoa nafasi za masomo katika vyuo vya ualimu kwa ajili ya kufundishia wananchi watakao hitimu kama waalimu kwa ajili ya kufundisha katika shule za Kanisa". Hakuna utaratibu kama huo kwa Waislamu.


Pamoja na kutokea mabadiliko ya kisiasa Waislamu wamenyimwa haki ya kurejeshewa shule zao wakati sehemu kubwa ya shule za Wakristo zimerejeshewa na kuhakikishiwa usalama:


"Serikali haitotaifisha shule, hospitali au taasisi yoyote ile ya elimu au afya inayomilikiwa na makanisa". (MoU, Kifungu cha 12).

Pia hebu someni kitabi hiki: Development and religion in Tanzania

Rais mstaafu wa Zanzibar, Mheshimiwa Aboud Jumbe katika kitabu chake, The Partner-Ship, ameonesha jinsi Wakristo Tanzania wanavyotumia fursa walizojipa katika elimu kuwakandamiza Waislamu. Hivyo, ni wajibu kwa Waislamu kushiriki uchaguzi kwa malengo ya kuhakikisha kuwa viongozi wanaochaguliwa ni wale wenye ujasiri na utashi wa kisiasa wa kubadilisha hali hii, na wala si vinginevyo.

Natumai mpaka hapo angalau darasa linaweza kuwa limewaingia, mkihitajia msaada zaidi wa miwani nitawasaidia mpate kuona zaidi. (Maana yangu ni kwamba tutazame Lebanon ilikokuwa na leo iko wapi)
 
Kwenu kudai haki ya uananchi mnaita udini?? Sasa kudai haki ya ya walemavu, wanawake,na wengineo nako ni dhambi?? Kwenu Muislamu ni wa kudhalilishwa na kuwa mtu wa nyuma au sivyo?? Hebu tupenitwakimu za uhakika nini kibaya kilichofanywa na Waislamu zaidi ya kudai haki zao???
KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA na kuwaondolea serikali pendwa yao ya Mwingereza!!:teeth:
 
Ah ah ahaaaaah! hivi kweli unauhakika wa unachokiandika? Usifuate bila kutafakari kila unachokisikia kwenye masjid. Anyway mtatafuta visingizio vya kila aina ili kujikosha lakini hali halisi inaonyesha kila penye uislam vurugu, fujo, mauaji ni kama kazi. Jee unajua kuwa Saudi Arabia ilikuwa nchi ya kikristo, je unajua kuwa wakristo waliokataa kulazimishwa uislam saudi arabia zama hizo waliuwawa. je unajua kuwa baada ya miaka kadhaa mifupa yao ilichukuliwa na wakristo wa misri na kwenda kuzikwa huko kwa sababu saudi arabia sasa ikiwa nchi ya kiislam ilikuwa haramu kuwa na makaburi ya wakristo? Mtaifanya Tanzania nchi ya kiislam kupitia ccm, OIC na sharia courts (mahakama ya kadhi) lakini balaa kwa vizazi vijavyo ni kubwa, litawala wote waislam kwa wakristo, of course wakristo zaidi maana wao ndo first target na baadae waislam wasiowaislam zaidi.
Huo ni uzushi na kutoijua historia. Nitakusaidia.. unataka kusema kwamba hao wakristo waliokuwa Saudia ndio walikuwa wakiabudu yale masanamu yaliyokuwapo huko? Unataka kusema babu zake nabii Muhammad SAW walikuwa wakristo? Nitakusaidia zaidi katika nchi zote za kiarabu ambayo ilikuwa na wakristo wa kuhesabu ni hiyo saudia. Ungelisema Nchi kama Kanaan (leo Lebanon na Jordan) Syria, Misri na kidogo Yemen. Na kama uongo huo ndio ungelikuwa ukweli basi leo hii katika nchi za kiarabu kusingelikuwa na mwarabu hata mmoja mkristo!!! Uongo huo ulitungwa ili kuhalalisha mauaji yaliyofanywa na kanisa katika Spain kama ilivyo kawaida ya 'ILUMINATI' lazima kuundwe hoja ya jawabu kwa tukio.

Hivi zamani kulikuwa na vitabu kama SOMENI KWA BIDII na SOMENI KWA FURAHA! siku hizi havipo eti??
 
J.K. anapiga sana kelele za udini lakini ki ukweli yeye ni Mdini No. 1. Jamani angalieni majina ya walioteuliwa kuwa Ma- RAS. Jibu mtalipata

Ndio anaowajua hao ndio maana kukawa na hoja ya kumpunguzia rais majukumu na nafasi za utezi, Jaji Warioba (1995/96). sikuzote kwa mfumo kama huu unategemea nini sio udini huo maana mfumo unamwambia achague kila cheo nchi nzima lazima achague aliocheza noa mnanda ndio anaowajua hao atatoa wapi watu atakama ni wewe ili kuepuka hayo hoja ingalikuwa juu ya mfumo uliopo wa utezi labda kidogo ingekuwa hoja ya walikomaa lakini hii ya dini haina tija haina msingi wowote ni hoja ya watoto wadogo wasiotaka ushahidi wala vigezo stahili vya kupima maada husika.

Huo ni uwezo binafsi na ubinafsi wa mtu peke yake sio dini wala imani yake hakuna sehemu ndani Quaran inamuelekeza kufanya hivyo dhidi ya wengine hata hivyo ni vyema kujua kuwa Tanzania siyo ya Waislam na Wakristo peke yao jaribuni kukomaza hoja kwanza kabla ya kuzifanya kuwa tatizo la kijamii, kunatofauti kubwa sana kati ya matatizo ya mtu binafsi na matatizo ya jamii inayomzunguka na pia kuna kusoma na kuelimika; haiwezekani mwislam A mathalani abake alafu tatizo hilo likapewa kichwa cha habari waislam wabakaji. Angalieni uwezo wa huyu bwana kama mtu sio kama mfumo wa Dini hizi ni pumba mnatoa; Mzee Mkapa alipoingia Madarakani alifanya mengi mazuri kwamfano kitu cha kwanza kabisa ofisi alichofanya nikurudisha chuo cha Malimbe Mwanza (Sasa St. Augustine University) chini ya katoliki maana kumbuka kuwa Mwl alikitaifisha na kilikuwa cha serikali lakini watu wanafikiri na kupima kwa hoja hawakusema ni udini hapana alitaka kuongeza idadi za universities Tanzania na pia haliona kama serikali hitaweza kwa haraka kukiendeleza chuo hicho compared na katoliki, pia katika kupunguza gap aliwapa Islamic missions chuo cha Morogoro kuwa chuo kikuu cha kiislam kama angekuwa si mkristo watu kama nyie mge chafua sana hali ya hewa hacheni utoto

samahani kama kuna sehemu katika aya zangu hapo juu zinaku - assault sina maana ya kuku-assault wewe bali hoja zako na hoja kama hizo zako
[/I][/I][/I]
 
It is a common complaint among some non-Muslims that Islam would not have millions of adherents all over the world, if it had not been spread by the use of force. The following points will make it clear, that far from being spread by the sword, it was the inherent force of truth, reason and logic that was responsible for the rapid spread of Islam.

1. Islam means peace.

Satanic Islam: Allah Moloch demands Human Sacrifice



'Slay the unbelievers wherever you find them' - Sura 9:5


Devil's Decade
In terms of religious awareness the noughties have certainly been Islam's decade. The cult has come from complete obscurity to domination of the world's headlines in only ten years. They started with the failed Christmas Market attack in 2000, then 9/11, Madrid, London, Bali, Beslan, Mumbai, and Fort Hood .


"There is no liquid loved by Allah more than the liquid of blood"

'I have been made victorious with terror'
These attacks, now Jihadists are able to penetrate Dar al-Harb with ease, should come as no surprise to anyone who has studied Islamic history. It's only their distance from us that has protected us since they were turned back at the Gates of Vienna in 1683.

Unfortunately, globalization has abolished distance and now jihadists are in everybody's backyard.



Skulls of victims of the Otranto Massacre
(click to enlarge)

Mohammed himself bragged that he had been made victorious with terror, and his followers are obliged to imitate Mohammed's infallible example as the perfect man and role model of behavior. This is not to suggest that all Muslims are fully observant terrorists. Recent polls suggest that only about 30% actively support terrorism.


Ritualised, ceremonial murder

Of course we've had terrorists before - ETA, IRA, Red Brigades etc going right back to the 19th century Anarchists.

But there's one thing that sets Islamic terrorism apart, and it's something that I was only half aware of until I read the following post, and that is Islamic terrorism's ritualistic nature. The dead infidels and their blood are human sacrifices: ritual offerings to Allah...

"From the videotapes of a beheading, that accompanies every kidnap of Westerners, to the mass slaughter of Muslim prisoners who are tied and bound in Iraq and Algeria, modern Islam appears to have retreated into some mirror image of an ancient bloody past, where bloodthirsty winged devils, and gory altars haunted the ancient Middle East.
You don't need to understand Arabic to get the message of those videos of a beheading, with their rituals and liturgy from the mosque. The sermon, read by a self styled imam precedes the sacrifice, when the human calf, bound and shivering with terror (apart from the brave Italian hostage), has his or her throat slit, by the "imam."

This ‘imam’ may well be the local halal butcher, as was found to be the case in Algeria, where ‘Momo le Nain’, aka Mohammed the Midget, a butchers apprentice, beheaded many prisoners. On one memorable night in 1996, in Ben-Talha, a suburb of the capital Algiers, ‘Momo’ cut off a record 86 heads in one night, that included taking the heads of more than a dozen children.
This search for victims includes not just those who oppose the spread of the faith, but pretty well anyone the Imams dislike, such as women. In Pakistan in 2007 two women were beheaded for being prostitutes. This follows the beheading of ten soldiers in the Philippines and the beheading of Christian schoolgirls in Indonesia in 2005.

We could be watching events from 4,000 years ago, not the 21st century and how long before the first western victims in Europe, Australia or the US? The terrorists may well only ‘mimic the rituals of the faith’, but for Muslim or non Muslim apologists to declare it as ‘Non Islamic’ to behead or torture, is to display an ignorance of the Quran and Hadiths, or to lie.
(Quran: Sura Al-Muhammad 47:4) “So, when you meet (in fight Jihâd in Allâh's Cause), those who disbelieve, smite at their necks till when you have killed and wounded many of them, then bind a bond firmly (on them, i.e. take them as captives). Thereafter (is the time) either for generosity (i.e. free them without ransom), or ransom (according to what benefits Islâm), until the war lays down its burden. Thus [you are ordered by Allâh to continue in carrying out Jihâd against the disbelievers till they embrace Islâm or at least come under your protection.”

Or maybe:

(Quran: Sura 47, Verse 4) “As for the captives, the amir [ruler] has the choice of taking the most beneficial action of four possibilities: the first to put them to death by cutting their necks; the second, to enslave them and apply the laws of slavery regarding their sale and manumission; the third, to ransom them in exchange for goods or prisoners; and fourth, to show favor to them and pardon them. Allah, may he be exalted, says, 'When you encounter those [infidels] who deny [the Truth=Islam] then strike [their] necks'”.

There are many more quotes of a similar nature that taken out of context, or literally, support the terrorist’s theology. In fact it’s because of these apparent Quranic endorsements of torture, that a religion, where every man with a turban can claim to be a scholar of the faith, has produced so few or no public condemnations of the ritualised beheadings being beamed almost nightly on Arab TV or the Internet.

Who would have thought that human sacrifice in the name of a world religion would once again stalk the earth in the 21st Century?"



Primitive death cult
Islam follows the bloody human sacrifices of the Aztecs and other primitive peoples by dedicating the blood, guts and gore of the victims to a bloodthirsty and vengeful tribal warrior God. The 'jihad snuff' videos of beheadings of captives shown in British Mosques are a celebration of sacrificial offerings to the brothel-keeper in the sky, in hopes of being rewarded with 72 virgins.


Dedication of the human sacrifice to the Moon God
"Then the man pulled out a long knife and cut off Bigley's head with the help of a group of masked men who shouted, "God is great!" in Arabic. This is actually incorrect. They shouted 'Allahu Akhbar!' which means 'Allah is the Greatest'.

However Allah cannot be the same as the Judeo-Christian God, because God forbade human sacrifice when Abraham tried to sacrifice Isaac. There are also warnings in the Old Testament about a moon-demon called Moloch who demands human sacrifice.

This dedication of the slaughtered kafirs to Allah occurs again and again in Islamic attacks. The Fort Hood shooter shouted 'Allahu Akbar' as he opened fire. [again 'Allah' is mistransalted as 'God']

Note also in the following videos how the congregation shout 'Allahu Akbar' as the Kafir's blood begins to flow.

Video1

Video2


Jihad Snuff Videos
These are typical of the ' jihad snuff' videos being shown in mosques referred to in the Guardian article.

As with many primitive peoples it is the shedding of blood that gets them excited. The blood is seen as a libation to Allah. To quote the eminent Islamic theologian Abu Hamza al-Masri "There is no liquid loved by Allah more than the liquid of blood" "Whether you do it by the lamb, or you do it by a Serb, you do it by a Jew, you do it by any enemies of Allah," he said. That drop of blood "is very dear."

So whereas Christians give offerings of fruit at harvest festivals and lights at Christmas and Candlemas, and Buddhists give offerings of lights, flowers, fuits and water to the enightened beings, the jihadists give offerings of human blood and shattered body parts to their stone age tribal totem.



Islamic ritual sacrifice in London:
"A mother has been arrested after a four year old girl was found stabbed to death with her heart and other organs cut out and strewn around her flat.
Muslim mother Shayna Bharuchi, 35, was allegedly sitting in a her kitchen chanting verses of the Koran as her daughter Nusayba's disembowelled corpse lay next to her.
The little girl's heart and other organs were found in different rooms around the flat in Clapton, east London.
Police suspect she she carried out the killing as a religious offering as she listened to the Muslim holy book on an MP3 player at full volume.
http://www.dailymail.co.uk/news/article-1339665/Mother-arrested-year-old-girl-stabbed-death-east-London.html



Utterly and Implacably Alien
The Jihadist's conceptions of the divine, spirituality, humanity, justice and ethics are totally irreconcilable with all civilised religions and standards of behavior.




"It is so alien that the reader will have to consider its implications for some time to grasp the full meaning of it. "
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom