UDINI ni kitu kibaya sana

UDINI ni kitu kibaya sana

Lighton

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
1,904
Reaction score
3,100
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
 
Umetengwa kisa dini? haha 😄 FaizaFoxy alinikataa siku ya Eid.

smiling-businessman-looking-into-camera.jpg
 
Mmechokozana huko kwenye mambo yenu ya kipuuzi halafu unawaita Waislamu wadini? Kwanza udini ni nini? Isije ikawa mtu anasimamia Imani yake wewe unamuita mdini kisa tu kakataa kufanya unavyotaka wewe.

Kuna muda mwingine baadhi ya wajinga wanahisi Uislam ni swala la kujiamulia tu. Mfano mtu mnaweza mkawa mmekaa mnafanya jambo, ukienda kuswali mjinga anakuona mdini kwasababu anahisi swala ni kujiamulia muda kumbe swala ina nyakati zake.

Ukiona mtu analalamikia udini uje huyo ni fuska fulani anayetaka watu waishi vile anataka yeye. Muislam amekatazwa kufanya ubaguzi, ila amekatazwa pia kujadiliana linapokuja swala la Imani, yaani hakuna kujificha kwenye kutekeleza Imani yake. Nyinyi udini mnaoita ni pale Muislam anapokuwa committed na Imani yake.

Kuna baadhi yenu hata mkikaribishwa majumbani kwa Waislamu ukifika muda wa swala wakatoka kwenda kuswali au wakijitenga sehemu waswali mnawaita wabaguzi. Mtaendelea kuwaona Waislamu ni wadini kwakuwa mnaamini dini ni mjadala wa kirafiki ufanye au usifanye.

Imeandikwa; hawatakuwa radhi na nyinyi mpaka mtakapofata mila zao.
 
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
Waislam wangekuwa wanatenga watu, hii nchi isingekuwa na dini zingine za kiajabu ajabu.

Kumbuka kuwa dini zingine zote ziliukuta Uislam tayari upo ardhi i hii inayoitwa Tanzania leo.
 
-Udini
-Ukabila
-Ubaguzi wa rangi
-Ubaguzi wa maimbo demu mwembamba unamnyanyapaa unataka wanene wenye mizigo
-Wanaume wafupi hamuwataki mnawataka warefu wembamba weusi

Hivyo vyote vitu vibaya mkuu sio udini peke yake
Ni kweli kabisa Waafrika sio tu wanabaguzi Kwenye Dini Bali mambo mengi ambayo wameyakuta tu Kwa kuletewa au Kuiga au kuumbiwa nayo tu.

MTU akizaliwa akiwa mweupe au mweusi au Mrefu au mfupi au mwenye makalio na manyonyo makubwa SIO juhudi yake Hivyo hapaswi kabisa kumbagua mwingine .

MTU amezaliwa kwenye kabila au familia au Jamii ya Dini Fulani hapaswi kabisa kumbagua mwenzake kwani ameikuta tu hiyo Dini kwanye Jamii yake Kama itampeleka Mbinguni au peponi Basi amshukuru Mungu Kwa kupata neema ya kuzaliwa kwenye Dini hiyo Huku akitenda matendo mema lakini SIO kuwabagua wenzake .

Mara nyingi Wenye Tabia hizo za ubaguzi Kwa kutumia vitu walivyojaliwa tu kuvikuta wengi ni Waafrika wenye akili ndogo na tamaa na ubinafsi.

Watu Siku Hizi wanasahau kuwa Dunia hii ni mapito tu na SIO makazi ya kudumu.

Watu Wote wanakufa na kuoza na kubaki mamifupafipa na Wote wanaliwa na wadudu na kuoza na kunuka bila kujali uzuri Wa sura Wala dini . Anachoenda nacho kitakachomsaidia Huko kwenye asili ya binadamu ni matendo mema . Na Kuna MTU akiona MTU anakubali kupokea Kila kitu chake Hata kama ni kibaya Kama ushabiki tu. Basi tu ni Tabia ya MTU mbaguzi . MTU anafungua biashara eneo lenye Watu Wa kabila Fulani watu wanambagua Kwa sababu ya kabila lake.

Kuna MTU akimuona tu MTU Mweusi au mfupi anamchukia bila sababu yoyote.

Vitabu Vya Dini vililetwa Ili kuondoa ubaguzi na Chuki lakini vinatumika vibaya na kujikuta vinaleta ubaguzi Mbaya zaidi na unaojengeka kuanzia moyoni .

Vitabu Vya Dini vinaruhusu watu kupigania Haki Kwa namna yoyote.
Ndio Maana Kuna wakati Dini zingine zinaruhusu mpaka vita . Lengo ni kuondoa dhulma.

Hiví Kwa Mfano Kwa dhulma za Wazungu kama asingetokea Osama Leo Waarabu wangeruhusiwa kutawala ULAYA mpaka Kununua majumba na kuoa wanawake Wa Kizungu ndoa za mitaala? Jibu ni Hapana? Dhulma ya wazungu ilimuibua Osama. Wazungu wangesimama kama Wakristo Wa kweli na kuhubiri matendo mema Kwa vitendo bila shaka Hata Uislam usingetokea Karne ya Sita.

Waafrika tulitawaliwa Kwa sababu ya Kubaguana wenyewe Kwa wenyewe kimakabila ndio Maana Kuna makabila mengi sana Afrika na Kila kabila linajiona ni Bora kuliko kabila lingine. Mpaka Leo Mfano Wachaga, Wamasai, Wahaya , Wanyiramba, Waha, Wanyakyusa, Wamakonde, Wangoni, Waman'gati ndiyo makabila yenye ukabila mkubwa sana kuliko makabila mengine. Hali inayowafanya kuwa Wabaguzi ,wabinafsi na wasiojali Ustawi wa watu wengine kijamii, kisiasa na kiuchumi.
 
Waislam qangekua wanatenga watu, hii nchi isingekuwa na dini zingine za kiajabu ajabu.

Kumbuka kuwa dini zingine zote ziliukuta Uislam tayari upo ardhi i hii inayoitwa Tanzania leo.
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya udini ,ubaguzi na Kupinga dhulma.

Ninachojua ni kwamba uislam haupendi dhulma . Ni dini inayopigania haki muda wote. Tatizo ni kuwa Kuna watu wenye tamaa zao wamejiingiza kwenye siasa wakijifanya ni Waislam lakini malengo yao sio dini Bali maslahi na umaarufu wao na familia zao.
 
Mkenya mbona unaleta fitna za kidini kwa ku quote Qur'an out of context? Soma ambacho umekikata:

190. And fight in the cause of God those who fight you, but do not commit aggression; God does not love the aggressors.

191. And kill them wherever you overtake them, and expel them from where they had expelled you. Oppression is more serious than murder. But do not fight them at the Sacred Mosque, unless they fight you there. If they fight you, then kill them. Such is the retribution of the disbelievers.

192. But if they cease, then God is Forgiving and Merciful.

193. And fight them until there is no oppression, and worship becomes devoted to God alone. But if they cease, then let there be no hostility except against the oppressors.

Nime-quote quran, sijaongeza neno wala kupunguza....mnaojilipua mabomu mnafuata haya maneno

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Magaidi ndio yanauishi uislamu,mana kurwani imesema muislam ndugu yake muislamu,makristo na mayahudi na maadui namba moja,dini ya mudi ina shida mahali
Ndivyo kitabu kinavyosema ? soma vizuri.hizo nitafsiri za baadhi ya waislamu ambao hawana elimu ya kutosha ya dini. tusitoe majibu ya vitu tusivyovijua
 
Nime-quote quran, sijaongeza neno wala kupunguza....mnaojilipua mabomu mnafuata haya maneno

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Mbona wewe hujauwawa.? Au hapa Tanzania Kuna mtu kafa sababu ya dini tusikuze vitu. Ingawa ni kweli upo ubaguzi lakini niwa watu wachache,Tena dini zote mfano wakatoliki na wasio wakatoliki , au wasabato na walokole .Mwisho wa siku tunapigana vijembe maisha yanaendelea
 
Back
Top Bottom