Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
ndiyo maana serikali ya jamaa haijawa stable, hii ni kutokana kuwa na wana madrasa wengi mno kuliko wana sande skuu, maana uwezo wa mwana madrasa huwa ni kukariri zaidi kuliko
kusoma alama za nyakati na kitoa ufumbuzi wa tatizo,
Wewe mshabiki sio mjadili mada nenda kacheze bao,tuache humu.
 
Acha bias wewe, intelligence capacity ya mtu haipimwi kwa kua dini fulani,dini pia haihusiani na uwezo wa mtu kutawala,hivi mbona una mawazo ya kibaguzi namna hiyo?jee unataka kutuambia wana sande skul ndio wenye uwezo wa kutawala na wale wa madrasa ni mbumbumbu, watu wa kukariri na vilaza???unapotosha maana ya jamvi hili kuitwa home of great thinker..............
Mwambie huyo ana fikra potofu sana atoke humu,hao anawasema vipanga wengine tuliwagalagaza kinoma uliza
 
I don't think so. When Ben was a President, kulikuwa na fujo za mwembe chai, who caused it? MUSLEMS. When Ali was a President, there were issues with him, to the point ya kuwafanya Waislamu walete mtafaruki, akina Shehe Yahya Whosain na MaShehe 20 wakaswekwa rumande pale Central Police. Who are those? MUSLEMS.

Wanao taka OIC na Sharia ni WAISLAMU. Hivi kuna hata baya moja lilifanywa na Wakristo? Mbona sijasikia Wakristo wakiandamana kama ninyi? Anyway, the issue here is still the same, CCM inawakumbatia WAISLAM na kupigia debe udini. HIVI umesha sikia kuwa Chama kinacho ongoza nchi kusema na kutumia Mnajimu wa Kiislamu WHOSAIN, kutishia maisha ya watu, eti, mtu akigombea tu, atakufa? Hivi siku hizi Shehe-twain amesha kuwa Mungu?

Tukirudi nyuma zaidi kwenye awamu ya kwanza, Dr. Nyerere hakuwadekeza Waislamu, walipewa vidonge vyao sawa sawa na ndio maana walikuwa kimya kama maji ya mtunguni. Alipo kuja Ali, basi, vurumai na mijadala ya kidini ilianza. Wadini ndio WAISLAMU.
Siko zote sikijua kama mbinafisi,unamatatizo makubwa sana,na ni selfish,funga domo lako unapumba nyingi
 
Rev Kishoka.
What you are saying in this post is a great insult not only to Moslems But to Tanzanians at large.

You just call the leadership chosen By the people on basis of their own party principles a MASJID LEADERSHIP!. what a distortation of facts!!!.

according to you The one who signed the buzwagi contract is From Masjid leadership, and according to you has no skills, he cant deliver,and so on!

according to your statement, the one who did illegal bussines and authorized heavy-burden Radar deal while in the state house is From Masjid leadership and according to you he has no skills, he cant deliver and so on!

Look mr Rev.The problem in our country is not how many people of which religion or tribe are in which posts. the real problem is accountability, adhereing to rule of law, ability to lead and the desire to put national interests before personal interests.

To be a christian doesnot make you a born-good leader,a born-efficient ,a born-able to deliver, etcetra.

This kind of comment is an insult, and i hope you as a rev you will play a role to mend and not to devide.
Gamba la Nyoka! Mi'nadhani hukumuelewa Rev. Alichoandika sio ulichajibu, naamini umeghafilika. Plz sooma btn line utaona alichokuwa akimaanisha. Alichomaanisha ni kuwa haijalishi kama wote ni waenda Masjid bali wanafanyanini kwa faida ya ya WADANGANYIKA wote. Rev yupo sahihi. Plz usisome kwa jazba unapoteza points muhimu
 
Chama kinaongozwa kwa katiba hivyo kitu muhimu ni kuhakikisha wanaoongoza wanaongoza kwa mujibu wa katiba wawe wakristu wote au waislamu wote. Kwani mbona unapopanda bus huulizi kama linaendeshwa na muislamu au mkristu? Si unaangalia umakini wa dereva kama anaendesha hovyo unamkemea? Hivyo hivyo kwa CCM tuangalia wanaongoza chama kama wanaongoza hovyo tuwakemee au kuwaondoa bila kujali ni dini gani. Hata wapagani wanaweza kuongoza ili mradi wawe wanachama.
 
Siko zote sikijua kama mbinafisi,unamatatizo makubwa sana,na ni selfish,funga domo lako unapumba nyingi


Umeshaanza lugha chafu kama kawaida yenu,

Uislam bana, akh, ni kaazi kwer kwer

Ukisha maliza kutokwa povu, kasafishe mdomo wako na sabuni.
 
Lini raisi wa Zanzibar atakuwa Mkristo?, CCM ina watu kama, John Chiligati, John malecela, Williams, Antony Dialo, John Shibuda, na wengine wengine ,mbona hakuna hata mmoja aliyewahi kugombea kiti cha uraisi Zanzibar?... Sielewi mambo mengi naomba msaada... Dini na Chama au familia au ukoo na Chama, kama wanavyosema CUF na Chadema imetokana na nini? je kuna chuki za Ukabila Tanzania zilizojificha kwenye mioyo ya watanzania? au kuna Chuki za Koo au familia zinazofukuta kwenye mioyo ya Watanzania? kwa upande wangu, Kiongozi awe Mwislaam, Mkristo au mpagan sawa tu ili mradi wawe na uchungu wa maendeleo ya nchi yetu. Tanzania tuiombee ipate viongozi wasio na tamaa ya kujilimbikizia mali au kulinda maslahi yao tu. Ningependa tupata viongozi wabunifu watakaoleta mabadiliko kidogo ili hata wao wenyewe waweze hata kutibiwa Tanzania wakiugua. Hii itakuwa faraja kwa kizazi changu kijacho.
 
Maxshimba tumechoka na propaganda zako za kidini, hii siyo forum ya kueneza ulokole, ni vizuri ukaungana na wenzako Kenya kufanya kazi ya kufufua maiti. siku ukifanikiwa bila shaka utapata wafuasi wengi. Lakini kwa mtaji wako wa sasa sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anataka kuendeleza malumbano ya kidini.PLEASE STOP IT
 
Maxshimba tumechoka na propaganda zako za kidini, hii siyo forum ya kueneza ulokole, ni vizuri ukaungana na wenzako Kenya kufanya kazi ya kufufua maiti. siku ukifanikiwa bila shaka utapata wafuasi wengi. Lakini kwa mtaji wako wa sasa sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anataka kuendeleza malumbano ya kidini.PLEASE STOP IT

Mmemchoka wewe na nani?

Kwani umelazimishwa kusoma anachoandika Maxshimba?
 
usibishane naye huyo huyo ni mtu mmoja.mtumie PM Mtanzania akueleze kuwa Mwafrika,Maxsimba ni nani? kuna thread ilikuwepo hapa ilibidi Mwafrika akimbie na kuifuta.

ha ha ha ... na hii umeitoa madrassa ipi ... mogadishu au kismayu?
 
I don't think so. When Ben was a President, kulikuwa na fujo za mwembe chai, who caused it? MUSLEMS. When Ali was a President, there were issues with him, to the point ya kuwafanya Waislamu walete mtafaruki, akina Shehe Yahya Whosain na MaShehe 20 wakaswekwa rumande pale Central Police. Who are those? MUSLEMS.

Wanao taka OIC na Sharia ni WAISLAMU. Hivi kuna hata baya moja lilifanywa na Wakristo? Mbona sijasikia Wakristo wakiandamana kama ninyi? Anyway, the issue here is still the same, CCM inawakumbatia WAISLAM na kupigia debe udini. HIVI umesha sikia kuwa Chama kinacho ongoza nchi kusema na kutumia Mnajimu wa Kiislamu WHOSAIN, kutishia maisha ya watu, eti, mtu akigombea tu, atakufa? Hivi siku hizi Shehe-twain amesha kuwa Mungu?

Tukirudi nyuma zaidi kwenye awamu ya kwanza, Dr. Nyerere hakuwadekeza Waislamu, walipewa vidonge vyao sawa sawa na ndio maana walikuwa kimya kama maji ya mtunguni. Alipo kuja Ali, basi, vurumai na mijadala ya kidini ilianza. Wadini ndio WAISLAMU.

bravo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom