Pole sana Bull.
Hivi unaelewa ulicho andika? Kwahiyo unanimbia kuwa CCM ilianzishwa na Waislam na ni haki yao kuwa chama cha kidini kama kilivyo hivi sasa!!?? Kwa usemi mwingine ni-kuwa, unakiri kuwa CCM ni chama cha Uislamu, ndio maana viongozi wote wa juu ni Waislam.
Ndio maana nilisema Uislam ni dini ya chuki na wewe Bull teyari umesha anza kuonyesha chuki na udini ulio kithiri ndani ya CCM.
Narudia tena, hakuna hata ayat moja kwenye Koran yako ya Jibril inayosema kuwa Mpende Myahudi na Mkristo adui zako tofauti na jinsi BIBLIA Neno la Mungu inavyo sema kuwa wasameheni maadui zenu saba mara sabini na waombeeni mazuri.
Waislamu mpo wachahe kwenye Sekta nyingi kwasababu mmeicha Formal Education na kung'ang'ania Mad-rasa ambayo inawaharibu akili. Ushaidi zaidi, angalia Shule zenu mlizo anzisha, Zooote zinaongoza kwa kuwapa vijana SIFURIII wafikapo Form Four, na hivyo kulazimika kurudi kwenye ile ilmu yenu ya Allah Kiumbe, mad-rasa.
Sasa, CCM mmeamua kumtumia Shehe Yahaya Whosain ili kuendeleza UDINI ulio kithiri ndani ya chama kwa kutishia kifo kwa yeyote yule atakaye mpinga Rais Kikwete. Huu ni UDINI ambao sijawahi kuusikia kwenye nchi yeyote ile zaidi ya Tanzania. lol.
Kama chama kinaendeshwa na misingi ya kidini unategemea maendeleo gani katika nchi? Badala ya kuweka watu wenye uwezo wanaweka watu kwa sababu ni wa dini yao! Cha ajabu ni kwamba hata uozo ufanyike vipi katika nchi hii hakuna atakaewachukulia hatua mwenzake kwa sababu allah kashawakataza waisilamu kutosemeana maovu yao, ndio maanda utaona kesi za ufisadi zinafukiwafukiwa na hakuna anaechukua hatua.
Ndio maana unaona hakuna anaeandamana ingawa kuna uozo mwingi unaendelea, Lakini angekua raisi mkristo ungesikia maandamano yasiyoisha
Moja ya sera/ahadi za CCM wakati wa uchaguzi ulio pita ilikuwa ni kuwapa mahakama ya kadhi. Baada ya Wakristo kuonyesha na kuwapa ngumu, jamaa wamekaa kimya. Kwanini CCM iwape ahadi ya kadhi wakati wakijuwa kuwa Tanzania si Nchi ya kidini? Hivi mahakama zetu tulizo nazo hazifai au hakuna haki huko?
Kwanini usirudi kanisani ukatolewa mapepo? Walio kuja na kauli mbiu za uchaguzi ni CCM iliyo kuwa inaongozwa na walokole, Mkapa, Malecela, Sumae, na wakiriso wengine waliokua wanaiongoza CCM walioiacha na ufisadi, Hao ndio walio ahidi kuleta mahakama ya kadhi kama ccm ikishinda.
CCM ilianzishwa na waislam ambao ndio majority hapa nchini (CIA) si chama cha dini, bali ni chama cha siasa katiba yake ni secular. kuwepo wengi waislam utakuwa mjinga kuamini kuwa ni chama cha kiislam,
je CHADEMA ni chama cha kikiristo? UN ni christian club?
tatizo nyie wenzatu hata mkisoma bado hamuelewe. Nyerere tumemuachia nchi miaka23 kaiuwa mpaka alipokuja Alhaji Mwinyi akai-rescue na mkapa akafuata foundation ya Mwinyi si ya Nyerere. na Bado mafisadi wakubwa na wlokole wenzako na tutawakamata hamana ujanja¬¬¬
Ulokole kweli kichekesho!!!!!! hoja za kijingajingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa !!!! This Mada is now closed.
tatizo ni kwamba Waislamu ni wajanja sana mara anapoingia raisi mwenye dini hiyo basi hujisahau kabisa kushughulikia maswala ya nchi na kuendekeza udini, usishangae kuona hata jk uteuzi wa viongi wengi wasaidzi wake wengi ni waislamu hadi 100% usalama walio karibu naye ni wapemba yaani waislamu hadi waarabu wamo ndani
Ulokole kweli kichekesho!!!!!! hoja za kijingajingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa !!!! This Mada is now closed.
ndugu yangu nakuunga mkono mia kwa mia ila kwa kujaza nyama kidogo inashangaza na kutia huzuni kwamba kuna mtanzania anaweza kuwa na wazo la udini ndani ya nchi yetu leo hii, he/she must be chizi naomba mjadala huu ikiwezekana ufike mwisho kwani ni ujinga mtupu. huyuu jamaa vipi hasikilizi hata kauli za mkuu, baba wa taifa katika moja ya hutuba zake aliwahi kumlaani mtu anae ufikiria udini na ukabila ndani ya nchi yetu