Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 56
kwani nyerere alitokea wapi?
mie namkumbuka nyerere aLIJIFANYA muislam naye na kutoa salm aleikum
historia fupi alikuja kusoma na kutoka kwao na baadaye alipopata wenyeji alisilim na kuwa muislam na baadaye akarudi ukatoloki.
watoto watabishana hapo lakini wakawaulize babu zao
kwani historia sio kitabu cha zenj karume kazaliwa mwera.
hata yesu basi baba hajulikani lakini mama anajulikana maryam
ndio akaitwa issa bin maryam.
lakini namsif baba wa t. aliwaleta wazee wake wote. akawanunulia shamba.
kama viongozi wa smz waliponunua mashamba wakasema hapa ni asili yao wakati wakiwa hawana wazee.
hata mukiwaona waislam wamewekwa basi hao ni watumwa wa wawakiristo
lakini jamaa zetu wamejawa na kasumba ndio kukawa na makundi tele. lakini wote wakiristo
hata mzee wa ruhsa naye mkiristo
Mkuu,
Mimi ninaomba kukuuliza,
Wewe una miaka mingapi?
Umezaliwa wapi?
Je, unaijua asili yako? (hapa tunajua kuwa watu waliopo zanzibar walitoka Congo, Malawi, Msumbiji, Burundi, Tanganyika, nk)
Mwisho, je wewe ni muislam? (kama ni muislam kwa nini unajitambulisha hivyo?)