Mama sidhani kama hii ni factor, unless kama tunataka kuleta yale ya Kenya ambako wakikuyu wanadai haki ya kutawala Kenya kwa vile maumau mengi walikuwa wakikuyu.
si unaona mwenyewe wakikuyu walivyodominate siasa za kenya?
Mama sidhani kama hii ni factor, unless kama tunataka kuleta yale ya Kenya ambako wakikuyu wanadai haki ya kutawala Kenya kwa vile maumau mengi walikuwa wakikuyu.
mwafrika.. hilo somo watu wakilielewa watajua kwamba sumu ya ubaguzi huwa haikomi. Ukishawabagua watu kwa kuangalia ukabila, utataka kuangalia kanda,ukitoka kanda utaangalia nasaba zao, utaangalia dini zao, utaangalia kama wanakwenda msikiti/kanisa lile lile.
Mtu mwingine si anaweza kudai katika kuthibitisha madai ya udinni kuwa katika vyama vyote ni CCM peke yake (kwa kadiri ninavyojua) iliyoahidi kwenye Ilani yake kuanzisha mahakama ya kidini kwa ajili ya kundi moja, kundi ambalo wao ndio wengi kwenye uongozi wa chama hicho.
ha hah hah,
Naona wewe una matatizo ya kubatiza watu majina, umwemwita mpaka kieleweke kuwa ni Mbowe na sasa unataka kusema mimi ni MWK? Kweli umeshikwa pabaya hadi kudhania kila mtu hapa ni Mbowe au MWK? Inaonekana unamwogopa sana Mbowe na MWK?
Ni heshima kubwa sana kwa mimi kudhaniwa kuwa ni MWK, inaonekana CCM mnakimbia kivuli chake kila sehemu. ha ha h ah haha.
Mshauri mwenyekiti wako atoe udini kwenye chama labda utapata nafuu kidogo.
Acha kutwist point, hii nchi imepiganiwa uhuru na waislamu?je wengi waliokuwa na mwamko na siasa na kugombea uhuru ni waislamu? sijui nauliza tu?
si unaona mwenyewe wakikuyu walivyodominate siasa za kenya?
kwa hiyo wewe unapendekeza yale yanayotokea Kenya yatokee Tanzania?
Unauliza swali au unasema fact? mimi sidhani kama nchi hii imepiganiwa uhuru na watu wa dini yoyote ile. Kama wewe unaamini kuwa waliopigania uhuru ni waislam basi elewa kuwa mimi naamini tofauti na wewe kwenye hili.
wewe unapendekezaje baada ya kuona ccm na serikali yake ni ya kidini?
Unauliza swali au unasema fact? mimi sidhani kama nchi hii imepiganiwa uhuru na watu wa dini yoyote ile. Kama wewe unaamini kuwa waliopigania uhuru ni waislam basi elewa kuwa mimi naamini tofauti na wewe kwenye hili.
Mimi mambo ya udini siyajui na historia sijasoma; nimeuliza swali na nimekuuliza wewe.
Mama,
ukisoma kichwa cha topic kinashauri Kikwete kuondoa udini CCM.
Na mimi nimekujibu tayari kuwa waliopigania uhuru hawakuwa na dini yoyote ya kigeni au influence ya dini za kigeni - uislam au ukristo. Walipigania uhuru kama waafrika wenye uchungu na ardhi na malighafi zao.
kwa hiyo hicho kichwa cha topic ni cha kukurupuka tu hakina base?
naomba supporting facts za jibu lako.
Haya yaweza kuwa maoni yako na una kila haki ya kutoa maoni yako kwa kadri yoyote unayotaka. Suala la kuwa na viongozi wengi wa kiislam ndani ya ccm kuliko wakristo ni suala ambalo Kikwete ninamshauri hapa kuliangalia.
Unaweza kwenda maktaba ukazipata.
kama hakuna facts hii habari yako ni ya UDAKU!
Kichwa cha hii topic hazina base? uliota hilo suala na kuja kufungua thread?
Kikwete atalingaliaje wakati wale ni viongozi wa kuchaguliwa? au unataka aitishe kikao awafukuze?
Haya yote bado ni maoni yako binafsi.
kuwa habari yako niya UDAKU unakubali?