Hao wanane ni wepi mbona hesabu zako zinaonekana zimechanganyika na muono wa makengeza.
.....
Haya piga hesabu halafu ubishe kama Tanzania haiuliwi na mafisadi wa kikiristo.
Hao wanane ni wepi mbona hesabu zako zinaonekana zimechanganyika na muono wa makengeza.
2. Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara) - 1
5. Capt. (mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara) - 2
8. Ndugu Mizengo Kayanza Peter Pinda - Mjumbe - 3
11. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe - 4
14. Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe - 5
15. Capt. (mst) John Zefania Chiligati - Mjumbe-6
16. Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe - 7
17. Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe - 8
19. Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe - 9
21. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe - 8
24. Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe - 10
25. Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe - 11
32. Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe - 12
36. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe -13.
38 -13 = 25
PRIME MINISTER'S OFFICE
Ministers of State in the Prime Minister's Office
Policy and Parliamentary Affairs
Minister--------- Mr. Philip Marmo ----------- Mkiristu
Regional Administration & Local Governments
Minister------------- Mrs. Celina Kombani .......Mkiristu
Deputy Minister Mr. Aggrey Mwanri ................Mkiristu
MINISTRY TITLE MINISTER
Ministry of Infrastructure Development
Minister -------------------Dr. Shukuru Kawambwa
Deputy Minister------------- Mr. Hezekiah Chibulunje
Ministry of Livestock and Fisheries
Minister--------------------Mr. John Magufuli ....Mkiristu
Deputy Minister------------- Dr. James Wanyancha...Mkiristu
Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation
Minister --------------------Mr. Bernard Membe.....Mkiristu
Deputy Minister -------------Mr. Seif Iddi ..............Muisilamu
Ministry of Health and Social Welfare
Minister------------------ Prof. David Mwakyusa ....Mkiristu
Deputy Minister................ Dr. Aisha Kigoda ..........Muisilamu
Ministry of Science, Technology and ICT
Minister------------------ Prof. Peter Msola..........Mkiristu
Deputy Minister---------- Dr. Maua Daftari
Ministry of Energy and Minerals
Minister------------------ Mr. William Ngereja.........Mkiristu
Deputy Minister------------ Mr. Adam Malima
Ministry of Agriculture and Food Security
Minister-------------------- Mr. Stephen Wassira....Mkiristu
Deputy Ministers................ Dr. David Mathayo David ..Mkiristu
Ministry of Defense and National Service
Minister-------------------- Dr. Hussein Mwinyi-------Muisilamu
Deputy Minister -------------Dr. Emmanuel Nchimbi......Mkiristu
Ministry of Labour, Employment and Youth Development
Minister--------------------- Prof. Juma Kapuya
Deputy Minister--------------Dr. Milton Makongoro Mahanga Mkiristu
Ministry of Home Affairs
Minister--------------------- Mr. Lawrence Masha......Mkiristu
Deputy Minister--------------Mr. Khamis Kagasheki
Ministry of Information, Culture and Sports
Minister--------------------- Mr. George Mkuchika
Deputy Ministers-------------Mr. Joel Bendera
Ministry of Water and Irrigation
Minister---------------------Prof. Mark Mwandosya .....Mkiristu
Deputy Minister.................. Mr. Christopher Chiza ........Mkiristu
Ministry of Finance and Economic Affairs.
Minister............................Mr. Mustapha Mkullo
Deputy Ministers Mr. Jeremiah Sumari Mr. Omar Yusuf Mzee
Ministry of Lands, Housing and human Settlement
Minister------------------- Mr. John Chiligati
Deputy Minister
Ministry of Justice and Constitutional Affairs
Minister........................... Mr. Mathias Chikawe..... Mkiristu
Deputy Minister
Ministry of Industry, Trade and Marketing
Minister............................ Dr. Mary Nagu.............Mkiristu
Deputy Minister................. Dr.Cyril Chami ..............Mkiristu
Ministry of Education and Vocational Training
Minister Prof. ..................Jumanne Maghembe
Deputy Ministers... Ms. Gaudencia Kabaka Mrs. Mwantumu Mahiza
Ministry of Natural Resources and Tourism
Minister......................... Mrs. Shamsa Mwangunga
Deputy Minister................. Mr. Ezekiel Maige ......Mkiristu
Ministry of Community Development, Gender and Children
Minister.......................... Mrs. Margaret Sitta......Mkiristu
Deputy Minister................. Dr. Lucy Nkya .............Mkiristu
Ministry of East African Cooperation
Minister.......................... Dr. Diodorus Kamala ......Mkiristu
Deputy Minister.................. Mr. Mohamed Aboud
Attorney- General............ Johnson Mwanyika ....Kiristo
Haya piga hesabu halafu ubishe kama Tanzania haiuliwi na mafisadi wa kikiristo.
Waaungwana inaonyesha hakuna cha kuandika au tumeishiwa kwa siku hizi za karibuni
hakunacha kujadili zaidi ya udini?kwanini tusi shugulikie hao mafisadi tuna poteza muda wakubwa wanakula nchi kama yao peke yao
katika ufisadi mbona hamja kurupuka na kusema katika listi wengi ni mafisa wangapi wakristo na wangapi waislam na wangapi hawana dini? kwa hiyo kabala ya kwenda huko kwanza tuhisabu kila wizara na kila balozi na kabila pia ninafikiri tuanzie kwako mwana kijiji tukisha kuparaganyanya humo halafu ndio tutakaa kujadili maendeleo ya nchi yetu
wakati huo tutakuwa tayari tumesha wapangia vyama idadi ya wanachama wa kislam na wakristo tuwatakao katika vyama
ama kweli muungwana mmoja anamsemo wake anasema NDIVYO TULIVYO
Watu wengine tunaheshimu mchangowenu hapa jf lakini kwanini muna jishushia hadhi zenu baadae inaonyesha mutaulizia hata hapa jf ni wapagani wangapi waliopo na yehova wangapi mchaga mzaramo mmatumbi na wengineo, mh tufika kweli?
Haya Mkuu wewe 2 mimi 0
ok
tukubalie kama utakavyo
CCM wakati wa Mkampa viongozi wengi wa chama walikua wakristu ,sasa uongozi wa JK viongozi wengi wa chama ni waislamu kumbe CCM inatamaduni ya kupeana madaraka .
CHADEMA tangu imeanza population ni KILI mbona hamwapi hata Wanyarukora nafasi ,Huyu Mra tena mmoja naye mmetimua kazi kwelikweli
Do you care if CUF has more muslims than christians? Do you care if UDP has more sukumas than other tribes? Do you care if CHADEMA has more chagga MPs than other tribes?
If you do, then I do care about 30 muslims out of 38 ccm leaders.
Waaungwana inaonyesha hakuna cha kuandika au tumeishiwa kwa siku hizi za karibuni
hakunacha kujadili zaidi ya udini?kwanini tusi shugulikie hao mafisadi tuna poteza muda wakubwa wanakula nchi kama yao peke yao
katika ufisadi mbona hamja kurupuka na kusema katika listi wengi ni mafisa wangapi wakristo na wangapi waislam na wangapi hawana dini? kwa hiyo kabala ya kwenda huko kwanza tuhisabu kila wizara na kila balozi na kabila pia ninafikiri tuanzie kwako mwana kijiji tukisha kuparaganyanya humo halafu ndio tutakaa kujadili maendeleo ya nchi yetu
wakati huo tutakuwa tayari tumesha wapangia vyama idadi ya wanachama wa kislam na wakristo tuwatakao katika vyama
ama kweli muungwana mmoja anamsemo wake anasema NDIVYO TULIVYO
Watu wengine tunaheshimu mchangowenu hapa jf lakini kwanini muna jishushia hadhi zenu baadae inaonyesha mutaulizia hata hapa jf ni wapagani wangapi waliopo na yehova wangapi mchaga mzaramo mmatumbi na wengineo, mh tufika kweli?
Mkuu, haya umeyaona leo? wana ccm kwa muda mrefu wamekuwa wanasema hapa kuwa CUF ni chama cha waislam na wapemba, na walianza kusema kuwa UDP ni chama cha wasukuma, juzi baada ya kubanwa mbavu na chadema kwenye ufisadi, wameanza kumtumia Wangwe (ambaye alikaa vikao na Rostam Aziz kwa masaa manne kupanga mikakati) kukiita chadema kama cha kikabila huku wakijua kuwa si kweli.
Hapa ni ccm wanakumbushwa kuwa formula yao wanayotumia inaweza pia kutumika na kukiita chama chao kama chama cha kiislam.
CCM kama chama kinachotawala nchi kwa sasa inabidi kionyeshe mfano kwa kuondoa mambo ya udini kwenye uongozi na utendaji. Suala la kuwa na 75% ya viongozi wa juu wa ccm kuwa waislam kunaweka picha mbaya kwa nchi yetu ambayo haipendi mambo ya udini.
Sidhani kama hii topic inahusiana na chama changu, kwa sasa ni suala la CCM na ni ushauri tu kwa uongozi wa juu wa ccm kuondoa udini na kutoa nafasi sawa kwa dini zote nchini.
Naona sasa Mada zimeisha, Jamani tunaacha kuhoji UFISADI tunaanza kwenda pembeni sasa. Mgaya kuna mtu anakufadhili nini kuhamisha hisia za watu juu ya serikali?
Plz, heshima zenu wakuu, MASLAHI YA TAIFA KWANZA, Huo Uislamu wao baadae mambo yakishaenda sawa pale tutakapoona EPA, MEREMETA, DEMISE OF UFISADISM, NA MENGINEYO labda ndio tutaanza kuyafikiria hayo.
Hivi kwanza naomba kuhoji, kwa jinsi ninavyojua na kujiamini 100% na JF yangu; Ni asilimia ngapi ya watanzania wanaoishi vijijini wananufaika na haya tunayoyaandika kama habari na kuijua nchi yetu inavyokwenda ukiachilia wale wasio jua kusoma wala kuandika? na JE KAMA TUNAANZA KUANGALIA MAMBO YA DINI KWENYE CCM ITAKUWAJE WAKINA MAMA NAO WATAKAPO KUJA JUU KUHUSU IDADI SAWA? JE UKABILA? Mimi nafikiri jibu la Mwl Nyerere lilikuwa zuri sana kwa jamaa aliyeuliza swala la udini kipindi cha harakati za uhuru.
JF DONT LOSE FOCUS, Kuna wengine humu wanatumwa kupotosha maana kama Mbunge fulani aliyeweza kutetea ujinga huku akisahau kwamba watu wanahoji hata Elimu yake.(Mtanisamehe lakini ila inaudhi)
MUNGU IBARIKI JF
MUNGU IBARIKI TANZANIA
wewe mwafrika wa kikeko kweli yani umekimbilia kwingine duu kazi kweli kweli
mwafrika.. hilo somo watu wakilielewa watajua kwamba sumu ya ubaguzi huwa haikomi. Ukishawabagua watu kwa kuangalia ukabila, utataka kuangalia kanda,ukitoka kanda utaangalia nasaba zao, utaangalia dini zao, utaangalia kama wanakwenda msikiti/kanisa lile lile.
Mtu mwingine si anaweza kudai katika kuthibitisha madai ya udinni kuwa katika vyama vyote ni CCM peke yake (kwa kadiri ninavyojua) iliyoahidi kwenye Ilani yake kuanzisha mahakama ya kidini kwa ajili ya kundi moja, kundi ambalo wao ndio wengi kwenye uongozi wa chama hicho.
Hivi wapigania uhuru majority walikuwa dini gani vile?
Wengi wao hawakuwa na dini za kigeni mama, machifu waliopigania uhuru hasa wale waliopambana na wajerumani walikuwa na dini za asili.
Hivi wapigania uhuru majority walikuwa dini gani vile?
Mama sidhani kama hii ni factor, unless kama tunataka kuleta yale ya Kenya ambako wakikuyu wanadai haki ya kutawala Kenya kwa vile maumau mengi walikuwa wakikuyu.