Udikteta wa Mbowe: Msuguano Slaa na Mbowe waitikisa CHADEMA, Mafisadi wamteka Mbowe

Candid Scope, shauri lako na wewe watakuambia hauko Tanzania na utetezi wako wote wa CDM huko Arusha na kwingineko utasahauliwa; utaitwa CCM. Lakini, utaendelea kuwa huru kutoa mawazo yako.


Mzee wangu kwanza naomba radhi kwa kukupinga juzi. Ila mimi ni muumini wa kutaka ccm itoke madarakani kwa gharama yeyote ile hasa kwa ujio wa lowassa. Lakini tunajitia upofu bure ni lini mbowe mwenyewe alikuwa msafi kwani wakina Dr hawakuyajua hayo?? Na mbona yalipowatokea akina zitto mlikuwa kimya hamkutetea kifua mbele kwani mbowe ni Mgeni kwenu yeye ni mfanyabiashara ambae maono yake ni fursa. Kumuona Candid Scope na wewe naanza kufikiri sasa huenda kwa hili mmetanguliza ukatoliki mbele than anything kwani yaliotendeka hayakuanza leo.

Viva mbowe VIVA EL
 
Last edited by a moderator:
Mzee wangu kwanza naomba radhi kwa kukupinga juzi. Ila mimi ni muumini wa kutaka ccm itoke madarakani kwa gharama yeyote ile hasa kwa ujio wa lowassa. Lakini tunajitia upofu bure ni lini mbowe mwenyewe alikuwa msafi kwani wakina Dr hawakuyajua hayo?? Na mbona yalipowatokea akina zitto mlikuwa kimya hamkutetea kifua mbele kwani mbowe ni Mgeni kwenu yeye ni mfanyabiashara ambae maono yake ni fursa. Kumuona Candid Scope na wewe naanza kufikiri sasa huenda kwa hili mmetanguliza ukatoliki mbele than anything kwani yaliotendeka hayakuanza leo.

Viva mbowe VIVA EL
BAFA hii saga ina mitizamo mingi...! Inategemea nani anaamini nini kwenye nini
Muktadha wa post na mada nyingi unajikita kwenye mtazamo wa
-kikanda
-kikabila
-kidini
-kibiashara
-kimaslahi
-kidini nk
Ni mada na post chache sana zina uchambuzi wa kina kitaifa na kizalendo
 
Last edited by a moderator:
Naanza kuamini tena kuwa elimu ni ya muhimu sana katika siasa. Ingawa elimu yangu katika utaalamu wangu ni kubwa sana inayoheshimika katika nyanja yangu, muda wote nilidhani kuwa mtu yeyote anaweza kuwa CHIFU wa kuongoza watu; ila sasa uamuzi wa mMbowe kuhus Lowassa unanifanya niangalie tena elimu yake na uwezo wake wa kuangalia mambo kwa mapana na marefu. Nimeanza kuona tena kuwa Kitila Mkumbo na Zitto weliophoji elimu "magumashi" ya Mbowe, they might have been right. Huwezi kumkaribisha jirani yako mliyekuwa mnapingana harafu ukamruhusi kwenda kulala chumbani kwako (na mke wako) halagfu wewe ukalala seburlni ili mradi tu unaamini kuwa utapata wateja wengi adui wako huyo akionekana nyumbani kwako. Lowasa was a completely loser ambaye alikuwa bitter sana kwa CCM na hivyo CHADEMA hawakuwa na haja ya kum-elevate tena ila yeye alikuwa tayari kulipiza kisasi kwa CCM kwa kuisadia CHADEMA kuiangusha CCM.

Matokeo haya nadhani yanatokana kabisa na tofauti za kielimu baidna ya Lowassa na Mbowe; Lowassa ana digrii ya Masters wakati Mbowe ana cheti cha form six ! The differnce is clear. You don't have to shoot a dying corpse!
 
Last edited by a moderator:
naona umethitishiwa kua mbunge wa ludewa si wewe ulikuja na thread hapa ukisema lipumba atoswe ukawa waungane na lowassa umalaya wa kisiasa kwa kijana mwandishi kama wewe aibu acha kufitinisha waru unaamini kweli Mbowe anaweza fanya kitu bila baraka ya dr Slaa unajua wale wanavyofanya kazi au unasimuliwa na kuwageuka baada ya kuwa na uhakika wa kupitishwa ubunge na pindi chana kuanguka we are watching you dumila kuwili acha uchonganishi wa kimtandao

Muache aendelee kupiga majungu hapa anapoteza muda wake bure!
 
Uchambuzi kama huu ndio unazidi kututoa machozi wengine!!!......reputation ya cdm iliyojengwa kwa miaka si chini ya 10 inaungushwa kwa siku mbili tu....inauma sana.....hakyanani hakuna kauli ya dr slaa no my vote to cdm

Tangu lini CCM na makada wake wakawa na huruma na Chadema kiasi cha kuionea huruma isife!?
 
BAFA hii saga ina mitizamo mingi...! Inategemea nani anaamini nini kwenye nini
Muktadha wa post na mada nyingi unajikita kwenye mtazamo wa
-kikanda
-kikabila
-kidini
-kibiashara
-kimaslahi
-kidini nk
Ni mada na post chache sana zina uchambuzi wa kina kitaifa na kizalendo

Mkuu naomba ufanye na mawasliano na mzimu Wa mwalimu. Lakini kama nilivosema watu wanajitia upofu bure hakuna aisejua wala Mgeni Wa haya.

Viva mbowe VIVA LOWASSA
 
Last edited by a moderator:
Mtaji wa chama chochote cha SIASA ni watu.....LOWASA kaongeza idadi ya watu CDM, LOWASA kapunguza idadi ya watu CCM hilo mtake msitake na tunajua linawauma sana, cha kufanya ni CCM kujipanga kujua wataokoka vp na haya mafuriko, mambo ya kuja na kujadili ishu za CDM hapa ni kumkatisha tamaa Makomeo wa watu, maana tangu juzi ni kama mumemsahau hv......khs kutoelewana kati ya viongozi wa CDM huko ni kuingilia mambo ya nyumba za watu, hembu tuambieni nyie kule lumumba kweli kuna maelewano,au wengine wanafurahia lichama linavyoyumba huku wakitamani litote wagawane mbao?

Sifongo eti wanaihurumia Chadema isife! Wanadai eti Lowassa atawaharibia Chama!
 
LOWASA-2.jpg

Viongozi wakuu wa Chadema hawapo ila Mbowe peke anaonekana kubanana na Lowasa

Wimbi la kuanzishwa chama cha ACT kulikuwa na mengi yaliuyoongelewa kuhusu udikteta ndani ya Chadema unaofanywa na Mbowe, pia kwamba kuna msuguano kati ya Mbowe na Slaa, ingawa ilikanushwa lakini ufa huo unaonekana kujitokeza sasa.

images

Kilichoendelea ni Chadema kuonekana kumwandaa Slaa kuwa mgombea wa Urais. Pia Slaa kuonekana kukubalika kimataifa hata kualikwa na mataifa makubwa au jumuia za kimataifa duniani kama Marekani, Ujerumani na Umoja wa nchi za Ulaya.

images

Ukawa ilionekana NCCR wako radhi Dr Slaa awe mgombea, ila upade wa CUF Lipumba hakuridhika na alitaka yeye agombee. Mbowe alipoonekana kumilikiwa na kisha kummiliki Lowasa kuwa mgombea, Lupumba akapoa kwa vile wote yeye na Slaa wamekosa, huko alikokuwa mafichoni akajifichua na kuanza kuonekana katika vikao vya Ukawa.

images
images

Mgawanyika Kamati Kuu Chadema kutokana na Lowasa
Katibu Mkuu Slaa, makamu wake bara John Mnyika na Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu hawakushiriki mapokezi ya Lowasa wakati walionekana wako na moyo kwa mapokezi ya Lembeli na wengineo. Dalili kwamba Lowasa ni chaguo la mbowe na kushinikiza kamati kuu waridhie matakwa yake.

images

Mbowe amkumbatia Lowasa anayewawakilisha Rostam na Chenge
Chadema ilijipambanua na kueleweka kwa umma kwamba wako kinyume kabisa na ufisadi na katu hawatakaa sahani moja na mafisadi, lakini leo Freeman Mbowe anakula sahani moja na fisadi Lowasa anayewakilisha mafisadi wenzake akina Rostam Aziz na Chenge.

mapacha-watatu-560x248.jpg

LOWASA AKWEPA MASWALI YA WAANDISHI KUHUSU KUWAKUMBATIA MAFISADI WENZAKE
Katika tukio la kukabidhiwa kadi za Chadema, Lowasa alipoulizwa na waandishi kuhusu yasemwayo na watu kwamba akiwa Rais atawakaribisha mafisadi wenzake Chenge na Rostam, hakujibu akakwepa na kusema tu anachukia ufukara na anataka watanzania wengi wawe matajiri. Hapo kuna jambo ambalo dhahiri analikwepa kuliweka wazi kuhusu uhusika wake kugombea urais nyuma yake wakiwamo mafisadi Chenge na Rostam. Akishakalia kiti cha magogoni ni mfalme nani wa kumnyoshea kidole?

images
images


Lowasa kukaribishwa Chadema na Ukawa badala ya uongozi Chadema
Lowasa akaribishwa na kukabidhiwa kadi ya Chadema na UKAWA badala ya safu ya uongozi wa Chadema. Jambo la kufikirisha na kuonyesha dhahiri kuna msuguano fulani na kwa vyo vyote jibu litapasuka maana uvundo huu hauwezi kuendelea muda mrefu.

Zengwe la kuteua mgombea urais Chadema
Imedhihirika Mbowe ana kauli ya mwisho nani achukue fomu ya kugombea urais na bila yeye kuidhinisha haitafanyika na ndivyo ilivyotukia, wakati huo huo yeye Mbowe alishakuwa na mgombea wake fisadi Lowasa.

Wakati watanzania wakiwa na kiu ya kutangaziwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema mazingira tatanishi yameendelea kwa kuchelewesha kwa makusudi hadi Lowasa alipokatwa CCM Mbowe akamkumbatia.

CHADEMA IMEPASUA UFA MKUBWA MUHIMU KUZIBA HARAKA
Siyo siri na wengi wamebaki kunyamaza kuangalia movie inayoendelea huku Mbowe akijipongeza kumpata fisadi Lowasa huku wengi wa wanakamati kuonekana kutomwunga mkono na mgomo baridi ni pale waliposusia tukio la kumsafisha Lowasa Buguruni ofisi za CUF kisha kufuatiwa na tukio la Lowasa kukabidhiwa kadi za Chadema Bahari Beach Hotel. Huko kote aliyekuwa kifua mbele toka Chadema alikuwa Mbowe wakati watendaji wakuu wengine wa chama wakisusia.

Mbowe na Lowasa watafanya nini mkutano mkuu wa Chadema ukimkata Lowasa?
Mkutano Mkuu wa Chadema una nafasi ya kumchagua mgombea kiti cha Urais kwa kura na si kwa shinikizo la mwenyekiti. Iwapo Dr Slaa ataamua kuchukua form za Kugombea Urais kadiri ya msukumo wa wanachama wengi wa Chadema na watanzania, kisha mkutano mkuu ikatokea kumkata Lowasa chaguo la Mbowe nini hatima ya Lowasa na Mbowe atajisikiaje ndani ya Chama?

MBOWE KAIDHALILISHA CHADEMA/TANZANIA NA KUKIPASUA VIPANDE VIWILI

Mbowe amekidhalilisha chama chake kwa kumkumbatia Lowasa kinyume cha maadili ya chama chake na bila ridhaa ya chama chake chenye haiba ya kupinga kwa nguvu zote ufisadi nchini. Asipokatwa Lowasa mpasuko huu umeshajidhihirisha kutoka ndani ya Kamati kuu, hakuna hasara ya kumtosa Lowasa kwa vile Chama kilikuwa na mshikamano kabla ya Lowasa. Kimsingi ujio wa Lowasa umesababisha mpasuko mkubwa wa wanachadema na watanzania wapenda mageuzi nchini.

CCM IMEWEZA KUWADHIBITI MAFISADI HAWA CHADEMA IMETEKWA NA MAFISADI

CCM waliweza kulithibiti hili kundi la mafisadi wanaotaka kumpitisha mmoja wao kuwa Rais wa nchi, lakini Mbowe kaingia kichawakichwa na hatimaye umakini usipokuwepo kumkata Lowasa utawala wake utakuwa wa maumivu kuliko tunachoshuhudia sasa hivi utawala wa Kikwete.
Lowasa ni mfalme si mtu wa kukaa kujadili na watu nini kifanyike ila anaonekana ni wa mfumo wa kifalme kutoa amri.

Akiwa rais atawaingiza na kuwapatia nafasi nyeti mafisadi wenzake, nani wa kumnyoshea kidole wakati katiba inamlinda?

huelewekii unaaandikanini
 
Kwanza kitu walichokifanya leo viongozi wa Chadema kumpokea Lowassa viongozi wote wakubwa na kumpa fomu huku tundu lissu akisema kabisa ukiunda serikali yako(yaani anamwambia lowassa) inamaanisha kuwa uongozi wa Chadema umeshampa nafasi lowassa ya kuwa mgombea wa uraisi kwa iyo zoezi la kuchukua fomu limetangazwa kama geresha tu.
CCM wagombea wote walienda kuchukua fomu na wakifika ofisini wanamkuta mohamed seif khatibu tu anawapa fomu wao ndo wanaenda kujielezea huko. Hamna hata mgombea aliyesindikizwa na mwenyekiti au aliyeanza kama kutangazwa kuwa ndo mshindi.

Hizi ndo mistakes ambazo Chadema mnazifanya na kwa watu wenye akili wanajua kumbe nyie mmeshanunuliwa tayari na vitu vyote mnafanya kama maigizo tu.

Kusema kweli hata mie sijaamini maneno ya tundu lissu na mbowe wakati lowassa anachukua fomu, at least you werte supposed to show that kuna fair ground/play kwenye michakato yenu.

CHADEMA/UKAWA MMETIA AIBU NA SITASHANGAA DR. SLAA AKIAMA KWA SABABU MMEONYESHA NI WANAFIKI WA HALI YA JUU NA KIBAYA ZAIDI HAMUWAFANYII UNAFIKI WATANZANIA TU, HADI NYIE WENYEWE MNAFANYIANA UNAFIKI.

KWELI FEDHA MWANAHARAMU.
nyie nani wa kihurumia chadema?
 
Bado nipo njiapanda Kura yangu hii moja nimpigie nani advise me to vote wisely for CDM UKAWA Yes ?then CCM Yes?then my Vision for 2040
 
Uchambuzi kama huu ndio unazidi kututoa machozi wengine!!!......reputation ya cdm iliyojengwa kwa miaka si chini ya 10 inaungushwa kwa siku mbili tu....inauma sana.....hakyanani hakuna kauli ya dr slaa no my vote to cdm

100% it's painful, chama changu chadema. Tunampoteza Dr. Slaa Na misingi yetu imevunjika, tuwe wakweli kabisa kwa hili la EL tumepotea, sina imani tena na chama hiki.
 
  • Thanks
Reactions: nao
huelewekii unaaandikanini

Watu kama nyie mnaudhi sana humu Jf, unaquote post mzima alafu unareply kwa maneno mawili tena upu uzi, ukitaka kureply nenda chini kweny replying box uandike utaonekana umechangia tu siyo lazima uquote post yote.
 
Candid Scope

Kweli ccm making wa wa propaganda mpaka wewe wamekukamata? Unaweza kuamini eti kina pro Baregu, Safari, Lissu na wengine wanaburuzwa na Mbowe kweli kamanda???? Yaani cc ya CHADEMA inaweza kweli kuburuzwa na mtu 1 Umeidharau sana kamati Kuu ndugu yangu au ndio kusema umekula propaganda za Mwanakijiji and the like? Unapaswa kutambua ujio wa Lowasa umetikisa sana ccm na serikali hivyo wanafanya kila namna kukatisha umma tamaa na wewe umeshaingia kingi. Unapomsema Mbowe utambue uongozi wa Mbowe ndio umekibrand chama mpaka umma ukakikubali na wewe ukiwepo.
 
Last edited by a moderator:
Candid Scope, shauri lako na wewe watakuambia hauko Tanzania na utetezi wako wote wa CDM huko Arusha na kwingineko utasahauliwa; utaitwa CCM. Lakini, utaendelea kuwa huru kutoa mawazo yako.

Wewe siku hizi sikusomi kabisa I think you have your motive behind your comments brother. Nchi nzima imetikisika kwa Lowasa kuingia CHADEMA na watu wanapongeza mpaka senior ministers halafu wewe unakaa nyuma ya keyboard huko Marekani unasema Mbowe dictator? Mbowe amekijenga hiki chama tangia kikiwa na wabunge 5 leo kina wabunge 49 na chama kimesambaa nchi nzima. Je wewe umeifanyia nini CHADEMA ili hata upate legitimacy ya kuhoji? Utakuwa unatumika wewe kwa mission maalum tu.

Kamati Kuu ilishafanya maamuzi yake na kuona maslahi mapana ya taifa na chama.
 
Ni upuuzi kuamini kuwa wanaopinga ujio wa Lowassa ndani ya Chadema wote ni wana ccm .

Ukweli utabaki palepale, Chadema hasa Mbowe ameteleza .
 
Vigumu kuwaelewa wanasiasa watanzania na wanachoongelea majukwaani, ingawa wapo wenye uchungu kwa nchi yetu lakini si wote, baadhi siasa ni biashara.

Leo tunaposhuhudia kinachoendelea huku huyo fisadi anayewakilisha mafisadi wenzake mkumbatiwa na Mbowe apeperushe bendera ya Chadema wanaolalamikia nchi kutekwa na mafisadi inatia huruma na ni vigumu kujua kinachoendelea nyuma ya pazia.

Tunaambiwa Tundu Lissu kasema hivi, Slaa kasema hivi lakini hawajitokezi hadharani kutueleza ya moyoni mwao kwa vinywa vyao, labda ni kitu cha kuchanganya kisichotegemewa.

Wewe upo nchi gani? hujamuona Tundu Lissu wakati wa taarifa ya Habari star TV juzi akiwa makao makuu ya Chama na akasema maamuzi ya kamati Kuu ni ya kwake pia? Hujasoma bandiko Lake fb? Hujapata maelezo yake mwenyewe jana kwanini hakuwepo juzi na jana si ulimuona? Wewe kuna taarifa hauna kuhusu chama halafu gafla unakimbilia Jf
 
Nadhani maamuzi ya Mbowe yana hasara lakini yana faida nyingi zaidi. Hapa faida naongelea kuimarishwa kwa CHADEMA na upinzani nchini

1. Hatua ya kuundwa UKAWA na kuextend maudhui yake hadi uchaguzi mkuu ililenga kuongeza kura za jumla za upinzania

2. CHADEMA walishajitathmini na kugundua kuwa pamoja na kukua bado kulikuwa na maeneo walikuwa hawakubaliki kabisa. Hata hivyo mengi kati ya maeneo hayo CUF walikuwa wanakubalika

3. Naamini UKAWA iliundwa kwa ushawishi wa CHADEMA, ili ijiongezee kukubalika kwenye maeneo hayo

4. Hata hivyo hakukuwa na namna ya kuwa absorb wapiga kura wa CUF wawe wa CHADEMA. Ukweli ni kwamba nearest second option ya wapiga kura wa CUF ni CCM

5. Kwa namna hiyo ujanja ilikuwa ni CHADEMA kuwa frog-jump CCM nao kufaidika na hizo kura za CUF ilihali zikiwa bado ni za CUF.

6. Hii iliwezeshwa na uhalisia kuwa CUF na CHADEMA wana only one thing in common.. ni wapinzani wa CCM

7. So, ukaundwa UKAWA kwa makubaliano ya ku share uongozi na faida zitakazotokana na uongozi/kura zao

8. On the other hand sababu zilizoifanya CHADEMA isikubaliwe baadhi ya maeneo ni kutokubaliwa kwa icon wa CHAMA, Dr. Slaa. Na sababu zenyewe ni za "asili"

9. CHADEMA walishasema "potelea mbali", wanakubalika maeneo mengine ambako wakijizatiti hata kupata 75% ya kura zao watapeta, moja wapo ni kanda ya ziwa. Wakaamua hata kama UKAWA haitawasadia kupata kura za hayo maeneo "korofi", basi wana mtaji wao wenyewe wa kutosha. Kwa hiyo hadi hapo CUF hawakuwa na nguvu sana ku influence maamuzi ya CDM.

10. Kuteuliwa kwa Dr Magufuli kukabadilisha upepo. Kanda iliyotegemewa na CHADEMA ikapokonywa. Kiukweli CCM walikuwa na uhakika kuwa bado watabeba yale maeneo ambako CDM ilikuwa dhaifu, pamoja na kuteuliwa Magufuli. Athari za ukanda kwa kuteuliwa Magufuli unaweza kuziona kwenye response ya viongozi wa CDM wakijitahidi kuzima "ukanda" bila mafanikio

11. So, CDM ikaona hakuna namna zaidi ya kuongeza kipaumbele kwenye kunasa kura kura za maeneo "korofi"... then njia namba moja ni kukubaliana na CUF...

12. Dr Slaa hakubaliki na wapiga kura kwenye maeneo "korofi", hivyo msimamo wa CUF kumkataa Slaa kiukweli nao wameona hilo.

13. Ikumbukwe kuwa CUF walishawishika kiurahisi kuisapoti CHADEMA kutokana na CHADEMA kuonekana kuwa na kura za kutosha "bara", hususani kanda ya ziwa ambayo ilionekana kuwa decider

14. Kitendo cha CCM kuitosa kanda ya Pwani ikawaamsha CUF, ili wachukue advantage. Hivyo CUF "wakapanda bei"...

15. Hali halisi ikawa Dr Slaa anakubalika kanda ya ziwa, lakini sasa kura zake zimeshamegwa. CUF wanakubalika kanda ya Pwani, lakini huko :hawamtaki Dr Slaa

16. Kutokana na ukweli huo hapo juu, CUF walikuwa sahihi kusema kama ni Slaa, bora tuondoke (tukachukue kura zetu za Pwani kuliko ziende CCM)

17. Then njia pekee kwa CHADEMA kufaidi kura za UKAWA ni kumuondoa Slaa kwenye ugombea... huo ni uamuzi mgumu kweli kweli... na Mbowe "akathubtu"...

18. Lakini sasa apewe nani... Lissu? contoversial... Msigwa?... hatoshi. Mbowe mwenyewe?... same to Slaa...

19. Wakiwa wanaendelea kuumiza kichwa... dhahama ikatokea Dodoma... hakukuwa na namna zaidi ya kuichukua hiyo advantage

20. Ilijulikana kweli kuwa watapoteza watu... lakini naamini walishika calculator ya kisiasa... watakaoondoka hawatazidi watakaoongezeka kutoka CCM, pamoja na zitakazopatikana kwa kukubaliwa na CUF...

Conclusion: Uamuzi wa kumchukua Lowassa ni sahihi...
 
Tukatae tukubali Chadema kuna msuguano kati ya Mbowe na Dr. Slaa... Huo ndio ukweli ambao inabidi tuupokee..

Ingawaje bado viongozi wana nafasi ya kuongea na kusawazisha hii sintofahamu.. Kuna uwezekano mkubwa kesho DR. Slaa akamwanga manyanga.. Hii ndio hali halisi. Tumaini Makene ongea na viongozi wako kwani palipo na wazee hapaharibiki neno.

Bila Dr. Slaa hakuna Chadema imara.. Tunaweza tusione madhara sasa kwa vile Chadema hiko ndani ya Ukawa lakini baada ya uchaguzi hali itakuwa mbaya sana.

Mbowe na Dr Slaa hawana ugomvi hiyo ni propaganda iliyoanza kutengenezwa long time na Maccm baada ya kuona CHADEMA kimekuwa tishio kwao. Yeyote anayesema Dr Slaa hajaonekana kwasababu ya EL atakuwa anamtukana bila kujua au kwa kujua maana yule ni mtu makini sana na mwadilifu. Hawezi kuwa wa visasi, chuki, uroho na mbinafsi kama mnavyotaka tuweze kuamini no and big no.
 
Back
Top Bottom