Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,609
- Thread starter
- #21
Tunazungumzia tumboni mwako mimi nimetoa ya moyoni mwangu
Ya tumboni mwako ushayatoa?
Tunazungumzia tumboni mwako mimi nimetoa ya moyoni mwangu
Sasa huyu mchunga ng'ombe hata hayo maandamano haruhusu kabisa!! So bora Zim wanaruhusu hata kuandamana!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliza swali lingine hilo limejibiwa tayariYa tumboni mwako ushayatoa?
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.
Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.
Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.
Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .
Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.
Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.
Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.
Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.
Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?
Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.
Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?
Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Mwaka jana Jamiiforums ilizimwa kutokana na vikwazo vikali vya usajili pamoja na kesi zisizokwisha mahakamani dhidi ya Maxence Mello.Intaneti ishawahi kuzimwa kabisa Tanzania?
Uliza swali lingine hilo limejibiwa tayari
Ni wakosoaji gani hao wamefugwa kwenye viloba na walifanya nini ambacho taifa zima linajua kuwa walimkosoa jpm ndio maana walifungwa kwenye viroba?Sisi ni tofauti , hatufungi Internet Bali tunakufunga kwenye "likiloba" na kukutupa huko.
Au unakula shaba zaidi ya 30.
Nyani usijisahaulishe bro !!. Huyu jamaa alishatamani malaika washuke wafungie mitandao ya kijamii. Ni tu labda alishauriwa vinginevyo otherwise........Intaneti ishawahi kuzimwa kabisa Tanzania?
Mwaka jana Jamiiforums ilizimwa kutokana na vikwazo vikali vya usajili.
Na ninashawishika kuamini kuwa mlolongo wa vibali vya usajili ni mbinu ya kimkakati ya kuwafanya watu wakwame kuendesha majukwaa ya mitandaoni kama YouTube Tv's na Blogs.
Hayo yote ni matokeo tu ya fikra za magufuli za kukandamiza maoni , maana mwaka 2017 alinukuliwa kwa kinywa chake akisema anatamani malaika washuke wazime mitandao!!
Kwanza haipendi mitandao, pili anatamani kuizima na hatujui ataizima lini!
Tofauti yake na huyo dikteta wa zimbwambwe ni ndogo sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyani usijisahaulishe bro !!. Huyu jamaa alishatamani malaika washuke wafungie mitandao ya kijamii. Ni tu labda alishauriwa vinginevyo otherwise........
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimamizi Kandamizi wa The Cyber Crimes Act huenda ndio mbadala wa kufungwa kwa mitandao ya kijamii nchini!Huko Zimbabwe hata Facebook, Twitter, Instagram na JF za huko vyote vilikuwa vimefungwa.
Bongo lini vyote hivyo vilifungwa?
Wewe ndieuliyeshiba hayo maharage maana hutaki ukweli bali unatakakusikia kile tu mnachokiamini nyinyi!Naona leo umeshiba maharage ya iringa
Haha kwahiyo NN unasubiri mpaka azime mitandao ndio uone kwamba anastahiki kuitwa diketa ...
Ila alipofanya mipango ya kutoruhusu bunge la wananchi kuonekana live sio udikteta !? .... Alivyo sema kwamba atawavunja shangazi zetu miguu huo sio udikteta !? ....mbona kuna matukio mengi sana aambayo huyo mwenye kiti wenu huwa anayafanya " na huwa yana halalisha haki ya yeye kuonekana na kuitwa dikteta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutamani, ni yale yalio moyoni. Hana tofauti na Kabila na hata MnangagwaKutamani na kutenda ni vitu viwili tofauti kabisa!