‘Udikteta’ wa Magufuli na uhuru wa kujieleza

Kwani haujawahi kusikia tetesi kuwa mchonga nae ni dikteta .... kilichokuwa kina mfanya mchonga asionekane ni dikteta ... ni kwa sababu wakati wa utawala wake " alikuwa anaongoza watanzania wengi ambao walikuwa bado wapo kwenye kundi la ujinga ..so kwakuwa ujinga uliwapofusha akili walishindwa kuzitambua haki zao nyingi za msingi hata pale ambapo nyerere alipokuwa anacheza blunder .....

Ndio maana kwakuliona hilo jeshi la wananchi liliwahi kujaribu kumtoa madarakani kwa sababu walikuwa wanauona udikteta wake .. kutokana na elimu waliyonayo " ambayo wananchi wengi waliikosa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa kama Nyerere alikuwa dikteta mbona yuko revered sana, ndani na nje ya Tanzania?

Hata wapinzani wa Tanzania kwa heshima humwita Baba wa Taifa!

Dikteta gani huyo anayeheshimika kihivyo?
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Asilimia 90 ya ukosoaji wa kwenye mitandao hufanywa kwa ID feki au na watu wanaojiona wapo mbali na ule mkono wa wasiojulikana na sheria tulizoletewa siku hizi.

Wanaodhubutu kukosoa kwa uwazi wapo wapi? Huku kwetu, bado ujasiri wa raia ni mdogo sana. Afadhali Zimbabwe hakuna wanaopotezwa kimya kimya.
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
EMPTY SET...BEN,AZORY WAKO WAPI KAMA KUNA UHURU? LISSU KAFANYAJWE?
 
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Kama rais yuko tayari kuua kwenye maandamano ya amani ambayo kikatiba ni haki ya wananchi huoni kama ni afadhali ya udikteta wa huyo rais wa Zimbabwe kuliko udikteta wa magufuli?

Yule ambaye yuko tayari kuumiza na kudhuru mwili kwa raia wake wanaotimiza hitaji la katiba ndio unamuona wa maana kuliko anayeishia kuzima internet tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nsugu
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.

Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.

Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.

Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .

Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.

Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.

Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.

Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.

Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?

Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.

Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?

Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Ndugu usitetee ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia 90 ya ukosoaji wa kwenye mitandao hufanywa kwa ID feki au na watu wanaojiona wapo mbali na ule mkono wa wasiojulikana na sheria tulizoletewa siku hizi.

Wanaodhubutu kukosoa kwa uwazi wapo wapi? Huku kwetu, bado ujasiri wa raia ni mdogo sana. Afadhali Zimbabwe hakuna wanaopotezwa kimya kimya.

Ndo maana wengine wanatungia mazima intaneti.

Tanzania ishatokea hiyo?
 
Kauli na matendo yake jumlisha maagizo yake ,yajulikanayo kama maagizo toka juu ni udikteta tosha kabisa,unataka nini kingine?eg Lowassa waambie wataishia jela,Ndugai wafukuze huko Mimi nipate nafasi ya kuwashughulikia.......... na wengine wataendeleza.
 
Intaneti ishawahi kuzimwa kabisa Tanzania?
kuna stages
acha kuongea mapema
alishaeleza kusudi lake la kuzima intaneti...tusubiri
udikteta sio kutokuruhusu intaneti peke yake,unaweza kuruhusu halafu ukatengenezea sheria kali za kuregulate kama zilizopo sasa
kwa sheria za sasa ni kama technically kazima intaneti sababu unaogopa kutoa mawazo huru kutokana na vifungo vinavyoambatana na hizo sheria
think!!!
 
kuna stages
acha kuongea mapema
alishaeleza kusudi lake la kuzima intaneti...tusubiri
udikteta sio kutokuruhusu intaneti peke yake,unaweza kuruhusu halafu ukatengenezea sheria kali za kuregulate kama zilizopo sasa
kwa sheria za sasa ni kama technically kazima intaneti sababu unaogopa kutoa mawazo huru kutokana na vifungo vinavyoambatana na hizo sheria
think!!!

Watu mbona wanafuguka tu kila siku huko kwenye mitandao...
 
Ndo maana wengine wanatungia mazima intaneti.

Tanzania ishatokea hiyo?
Hata sisi ndiko tunakoelekea. Kongo walizima hata SMS za kwenye simu. Sisi bado kizazi cha watukutu ndio kwanza kinazaliwa. Wengi wetu wa sasa (vijana wa sasa) tumetoka kwenye matumbo yaliyokuwa yameshibishwa ujamaa. Watoto wengi wanaozaliwa sasa wakitoka wanaonyeshwa vidole viwili. Sisi huku tunaenda ki-mafia mafia. Mafia haweki wazi anachofanya.
 
A dictator is someone who has absolute power — or who at least behaves as if they do by bossing others around. In government, a dictator is a ruler who has total control over a country, with no checks or balances to prevent abuse of power. Dictator can also describe someone who acts like that on a smaller scale
 
Back
Top Bottom