Kutamani, ni yale yalio moyoni. Hana tofauti na Kabila na hata Mnangagwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kejeli hizi alafu bado unamwita mtu dikiteta?Sasa huyu mchunga ng'ombe hata hayo maandamano haruhusu kabisa!! So bora Zim wanaruhusu hata kuandamana!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.
Yes Myopic and Washenzi team
Kwani haujawahi kusikia tetesi kuwa mchonga nae ni dikteta .... kilichokuwa kina mfanya mchonga asionekane ni dikteta ... ni kwa sababu wakati wa utawala wake " alikuwa anaongoza watanzania wengi ambao walikuwa bado wapo kwenye kundi la ujinga ..so kwakuwa ujinga uliwapofusha akili walishindwa kuzitambua haki zao nyingi za msingi hata pale ambapo nyerere alipokuwa anacheza blunder .....Kwa mtaji huo basi hata Nyerere alikuwa dikteta. Siyo?
Kila jambo na wakati wake .Na kutenda ni nini?
Wiki iliyopita serikali mpya ya Zimbabwe iliamua kufunga upatikanaji wa intaneti nchini humo kama malipizo ya maandamano ya watu kupinga upandaji wa bei ya mafuta.
Hapa Tanzania kuwekuwepo na kila aina ya lawama kwa utawala wa Rais Magufuli.
Rais Magufuli keshaitwa kila aina ya majina. Jina ambalo limekuwa likijirudia rudia ni ‘dikteta’.
Nikiri kuwa hata mimi mwanzoni mwanzoni mwa utawala wake kuna mambo sikuyapenda na niliutumia huo utambulisho wa ‘dikteta’ kuelezea kutopendezwa kwangu na baadhi ya mambo .
Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda, yajiriyo hapa nchini na nje ya nchi, yananifanya nianze kujiuliza kama ni jambo sahihi kumwita Rais Magufuli dikteta.
Kuna watu humu mitandaoni wanapenda kulalamika kuwa eti Tanzania sasa hivi hakuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kujieleza.
Mara nyingi watu hawa hutoa malalamiko yao kupitia mitandao ya kijamii.
Sasa kilichotokea huko Zimbabwe wiki iliyopita kimenfanya nijiulize upya kuhusu huu udikteta wa Rais Magufuli.
Hivi ni lini hapa Tanzania tumewahi kufungiwa kabisa huduma ya intaneti kutokana na maandamano au sababu ingine yoyote ile?
Kilicho ironic ni kwamba hao wakosoaji wa Magufuli kuhusu uminywaji wa haki za kidemokrasia za kutoa maoni na kujieleza, hutumia intaneti kutoa maoni yao wakiwa hapa hapa nchini.
Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?
Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Mkuu usiangalie la internet peke yake ndio umuone jiwe sio dikteta. Hivi kwa nini anaruhusu katibu wa uenezi wa ccm anafanya mikutano ya hadhara nchi nzima ila wengine wanakatazwa.Intaneti ishawahi kuzimwa kabisa Tanzania?
Wako wengi tu sana wapi Mawazo, katibu wa Hananasifu, mkiti wa halmashauri kule Kigoma etcMosi, siku za kwanza za utawala wake kwa kinywa chake mbele ya kamera alikili anatamani kuifunga mitandao na kutishia magazeti, pili, nadhani Beni alikuwa rafiki yako online, unajua yuko wapi? Je Gwanda? Na lisasi za Lissu hujawahi kuzisikia
Mkuu una hasira sana!Kwa kejeli hizi alafu bado unamwita mtu dikiteta?
Hakyamungu ningekiwa mm Magufuli watu kama nyie ningehakikisha mnapatikana na kuwafumua ubongo
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa una ujinga mwingi sana kichwani. Ikiwa Baba A anaua watoto wake, hilo linajustify Baba B kushangiliwa kwa kuwa yeye anawakata wakwake mikono?Huyu Magufuli ni dikteta gani anayeruhusu watu wamkosoe, kumpinga, na hata kumtukana huko kwenye mitandao ya kijamii lakini hachukui hatua kali za kuifungilia mbali intaneti kama alivyofanya Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe ambaye kaingia madarakani majuzi tu hapa?
Watanzania wakati mwingine huwa tunabweteka sana na uhuru tulionao!
Mkuu nahisi haupo sawa hivi enzi za Nyerere kulikuwa na media na watu walikuwa na hizo TV majumbani kwao?Kwa mtaji huo basi hata Nyerere alikuwa dikteta. Siyo?
Ila bado unajimwaga JF kama kawaidaOnline Content Regulations 2018 , Miscellaneous amendments 2018 za Statics Act, na usimamizi mkali wa Cyber Crimes Act, ni viashiria toshelevu vya viambata vya udikteta dhidi ya uhuru wa kijieleza kinyume na Katiba!
Na sasa, muswada wa vyama vya siasa!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa huru usingejiita NyaniJadili hoja. Achana na kilichomo tumboni mwangu!
Kwa majina Fake kama wewe unavyojiita Jinga..Ila bado unajimwaga JF kama kawaida
Unauliza majibu? Nyerere alikua dikteta wa kutupa!Kwa mtaji huo basi hata Nyerere alikuwa dikteta. Siyo?