Hiyo ni video inayoonyesha askari akimsurubu konda kwa kile kinachohisiwa konda kutaka kukata nauli yake halali. Matendo haya ya unyanyasaji wa raia yamekua yakiongezeka siku hadi siku kwa sababu zisizo na msingi na baadhi ya watu wakionekana kuyafurahia badala ya kukemea kwa nguvu zote. Utasikia mtu kapigwa kisa kavaa nguo zinazofanana na nguo za jeshi!! Nguo za jeshi ni zipi?
Niikumbushe serikali, vitendo hivi vya askari hutafsiriwa ni vitendo vya serikali na vimekua vikizua ghadhabu kwenye mataifa mengi mfano Nigeria na Marekani.
Niikumbushe serikali, vitendo hivi vya askari hutafsiriwa ni vitendo vya serikali na vimekua vikizua ghadhabu kwenye mataifa mengi mfano Nigeria na Marekani.