tracy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2010
- 784
- 268
Umeona eeeh.... dah kuna wanaume wazuri jaman khaaaaa!!!!!!!
Acha kabisa..
Hapo ongezea na smile na sauti ya milard ayo ..kida!
Umeona eeeh.... dah kuna wanaume wazuri jaman khaaaaa!!!!!!!
Lakini kasuka inaonyesha kab....
Mie hiyo mipingili pingili ya tumboni afu kifua kilichojaa na kiwe na vinyweleo... Awe mrefu na maji ya kunde... yeleuwiiiiii .... Nafwa mie!!!!!
![]()
Hahahaaaaa ndo mimi uyo tuko mapacha 3
Yeleuwiiiiiii...... Hebu nambie uko wapi??? Mbona ntakuja kwa gharama. zangu!!!!
Mie hiyo mipingili pingili ya tumboni afu kifua kilichojaa na kiwe na vinyweleo... Awe mrefu na maji ya kunde... yeleuwiiiiii .... Nafwa mie!!!!!
![]()
Yeleuwiiiiiii...... Hebu nambie uko wapi??? Mbona ntakuja kwa gharama. zangu!!!!
wanakuaga mashoga hawa.....
Awe mgomvi mgomviii kama Mange Kimambi
Hakuna haja ya kuunda... Mbona wapo, my x alikuwa km huyu aiseeee..... Mpk kesho nampenda tu!!!
Ukiona dume linasuka jua tayari kuna wanaomfaidijamani hawezi kuwa perfecto,afu huyo ni model wengi wanasuka
ceteris paribus;he is just yummmy
Pamoja na kutotaka kuingilia utani wenu, lakini bidada una point hapo kwani sie wanadamu huchagua mwonekano wa mwenzi kwa wakati huo bila kukumbuka kuwa mwonekano hubadilika haraka sana. Mfano hizo pingili za tumbo ni kwa vile ni kijana na anafanya mazoezi, akiongeza umri kitambi kinaondoa hizo pingili. Mama akizaa kiuno cha nyigu kinatokea kitambi na kama ulitamani kiuno cha nyigu ndo hivyo utatoka nje kuwatafuta. Hivyo ni vyema ukaunda wa kwako ambaye hawezi kubadilika.ndo maana nikakuambia uunde wa kwako. Manake hatothubutu kukiuka masharti yako usije ukamtoa betrii
Mi udhaifu wangu nachukua muda mrefu sana like 55 minutes na baada ya hapo siwezi tena kuendelea....Udhaifu wako ni upi katika mapenzi ambao utakufanya mwanamke/mwanaume ku win your heart.
Be honest!!! Please
hahaha are you crazy charminglady....nikukukamata...
Pamoja na kutotaka kuingilia utani wenu, lakini bidada una point hapo kwani sie wanadamu huchagua mwonekano wa mwenzi kwa wakati huo bila kukumbuka kuwa mwonekano hubadilika haraka sana. Mfano hizo pingili za tumbo ni kwa vile ni kijana na anafanya mazoezi, akiongeza umri kitambi kinaondoa hizo pingili. Mama akizaa kiuno cha nyigu kinatokea kitambi na kama ulitamani kiuno cha nyigu ndo hivyo utatoka nje kuwatafuta. Hivyo ni vyema ukaunda wa kwako ambaye hawezi kubadilika.
lol, wapatikana wapi weye mie nikuje? wanaume warefu tumekuwa dili sana eeh?[/QUOTE
tehe teheh thehe wahi chemba kwanza tuzoze kabla hujanishika mkono.
Hahahahahahaaaa!!!! Tetra sasa kama kalifunikiza gubi gubi utalionea wapi ili uweze kumonda?