Udhaifu wa Tulia Ackson katika suala la kuchana hotuba ya upinzani - Two Wrongs Don't Make it Right!

Kuna mzee alinisimulia jinsi Tanganyika ilivyopata Uhuru na kuanisha kuwa Uingereza waliamua kutoa Uhuru mezani baada ya kuona Mtiti uliotokea Kenya.Wazungu waliuawa sana na Mau mau.
Wakaona bora watoe tu bure mana wakiacha Tanganyika nayo ikaanza vita watakosa pa kukimbiia .

Kwatika mazungumzo yake yule Mzee aliweka bayana kuwa kwenye Tawala za kuwatawala watu kuna makundi Matano :-

1.Watawala wanakua ndio kundi lililojiweka Juu kabisa Wakifuatiwa na
2. Wakuu wa majeshi
3.Viongozi wa dini wapo katikakati.
4. Wafanyakazi wanafuata .
5. Wakulima ndilo kundi la mwisho kabisa.

Viongozi wa dini wanawekwa katikati ili kusaidia haya makundi mawawili ya chini yaani ya 4 na 5 yapate faraja kwa kupewa maneno mazuri na ya kuwafanya wawe watiifu na kujipa moyo wa imani .
Majeshi kazi yake ni kuyazuia makundi kuanzia la tatu ,la NNE na la Tano wasilifikie kundi la Kwanza.

Kwa ushawishi wa makundi ya viongozi wa dini ni muhimu sana.
Na pia kuhusu kufanya maovu kwao sio sababu ya kuwatenga na harakati za kuleta haki kwenye jamii.
Ikumbukwe kuwa wengi wa watawala na viongozi wa dini ni wamoja na ndio maana hata Chama tawala kinajitahidi kwa namna yoyote kuwa karibu nao.
Migogoro kwenye makundi ya dini Mara nyingi kuna wanasiasa nyuma mana kama nchi iko stable kwenye Katiba na sheria haliwezekani migogoro ikaibuka kwenye miangoni mwa wananchi.

Mfano Migogoro mingi ya KKKT na Bakwata ni kwa sababu ya Ujanja walioutumia mwanzoni wanasiasa na Watawala wa kuwezesha dini hizo kujitoa kwenye Jumuiya pana za kimataifa na kuanzisha taasisi za ndani ambazo zinakua na migogoro ya madaraka madarakani.
Yote ni kuyafanya makundi ya dini yagawanyike ili wasije wakamulika wanasiasa na kuziona dhambi zao.

Dini ni pamoja na dini za asili ndio maana mpaka leo CCM na serikali yake wanaabudu Mwenge kwa maelekezo ya wazee wa mila na mizimu yao.
Na mwenye umekua na mvuto mkubwa sana kwenye jamii kuliko kitu chochote.
Hebu fikiri kama Mwalimu angedharau Maelekezo ya viongozi wa dini za jadi kule Bagamoyo leo hii wengi wangekua wanakosa dili za kukimbiza mwengi na kupiga hela.
Hapana! Mwanzo wa maeelezo yako ni mbaya! Kenya ilikuwa koloni, Tanganyika haikuwa koloni la waingereza. Hizo ndo hadithi mbaya zisizo na uhalisia. Tanganyika ingewezake kuwa kama Kenya wakati haikuwa koloni?
 
It is by the goodness of God that in our country we have those three unspeakably precious things: freedom of speech, freedom of conscience, and the prudence never to practice either of them
Hahahah! That is a good one. For a moment I thought you were living in utopia, then you hit me with the last part of your text! Only that it cant be such a precious thing compared to the other two. Thanks for that philosophical piece.
Please, recognize the author of the statement. That was Mark Twain. And you copied without appreciation!
 
Kengele ya hatari kwa Mh Ndugai, upo uwezekano mkubwa hana chake 2020. Kila dalili itakuwa zamu ya mwanamke.
 
Hapana! Mwanzo wa maeelezo yako ni mbaya! Kenya ilikuwa koloni, Tanganyika haikuwa koloni la waingereza. Hizo ndo hadithi mbaya zisizo na uhalisia. Tanganyika ingewezake kuwa kama Kenya wakati haikuwa koloni?
Wangeweza kuuchelewesha tu Uhuru au wakavuruga uchaguzi kama wakoloni wa leo wanavyofanya wakishirikiana na makada wanaoitwa Wakurugenzi na vurugu zikatokea.

Hivi Damu zinazomwagika kule Zanzibar wakati wa uchaguzi kutokana na kuwanyima wapinzani au kuchelewesha au kupindua matokeo ni kwa sababu ni koloni la Tanganyika au?
Hizi historia za vitabu zinaandaliwa kuwatukuza watu fulani tu na kuficha ukweli zinasababisha hatuendelei mana watu hawajifunzi na kuelimika badala yake wanashikiwa akili.

Huyo Mzee aliyenisimulia alimshuhudia Sir Edward Fransis Twining mara tu alipofika Tanganyika na kutembelea Kenya alipofika na kujionea hali ya kisiasa, alikaa naye kikao kifupi kujua mtizamo wake kama Governor mpya.
Na hayo maneno aliyesema Mwenyewe Sir Edward Twining na yule Mzee alimsikia.
Yule Mzee hakua mtu wa hovyo hovyo au wa vijiwe vya kahawa alikua ni kati ya wasisi Wa TANU mwenye Elimu ya kutosha sana.

Sir .Edward Fransis Twaning aliikua ni mwanadiplomasia mahiri sana kuliko hata Wakoloni weusi wa kiafrika wa leo ambao wanaendendesha nchi zao hovyo hovyo na kusababisha vurugu na vita vya wenyewe kwa wenyewe kugombenia madaraka..
 
Nimeushangaa sana uamuzi wa Dr, Tulia Ackson kuhusu Mbunge wa CCM kuchana hotuba ya upinzani. Tulia, ambaye ni mwanasheria wa kiwango cha PhD, bila aibu ametetea uamuzi wake kwa kutoa kauli kwamba "Vuma hawezi kupelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya Bunge kwa kuwa kipindi cha nyuma mbunge wa Bunda (Chadema) Ester Bulaya aliwahi kurusha vitabu bungeni na kuvichana lakini hakupelekwa katika kamati hiyo"

Hivi kweli, Dr wa sheria, anawezaje kutoa kauli kama hii? Kama uongozi wa Bunge la Tanzania umewahi kutuhumiwa kuwa dhaifu, basi kwa kauli hii ya Tulia nasema Bunge linaongozwa na maspika ambao si tu ni dhaifu, bali pia ni wameamua kwa makusudi kujifanya vipofu na mbumbumbu wa uongozi, ili kulinda maslahi ya chama chao CCM.

Kwa kiingereza ninasema kwamba "Tanzania parliament leaders are excessively biased against the opposition, to the extent that most of the time they forget to be clever or intentionally choose to be stupid". Hii ya Tulia ni typical case. Za Ndugai zipo nyingi sihitaji hata kuzitaja. Za wenyeviti wengine wa vikao vya Bunge kama kina Chenge, Zungu nk zinatia hata aibu kuzitaja.

Tulia anachodai hapa ni kwamba, Bunge linaendeshwa kwa mantiki ya jino kwa jino. Ni sawa na refa wa mpira wa miguu ambaye anainyima penati ya wazi timu moja, na ili kusawazisha kosa lake, anainyima timu pinzani penati ya wazi pia.

Well Dr. Tulia, kauli ya kwamba "two wrongs don't make it right" sio ya kitoto. Wahenga waliiweka ili kuwaelimisha watu kama wewe ambao mnasahau kutumia akili na usomi wenu kwa manufaa yenu binafsi au ya chama chenu. Kama Ester Bulaya wa Chadema alifanya kosa na hakuchukuliwa hatua, hilo lilikuwa ni kosa na udhaifu wa uongozi wa Bunge. Lakini sasa udhaifu huo unazidi kuzidishwa pale ambapo Vuma wa CCM anafanya kosa kama la Ester na unaamua kwamba basi na yeye asichukuliwe hatua kama ilivyokuwa kwa Ester Bulaya.

Huo ni udhaifu mkubwa wa uongozi wa Bunge.
Amenifaghaisha sana...Kuna utoto mwingi
 
This is Tanzania, they don't stop doing something because it is wrong. They keep doing it until its right.
I'm surprised non of them have thought about conducting a psych evaluation before taking an oath to serve us. Insanity is no longer a mental problem to our leaders, rather a personality trait
I know who they should start with - those who abuse their own family members! If you cant take care of your own family unit, how do you capably head of the whole nation?
 
This is Tanzania, they don't stop doing something because it is wrong. They keep doing it until its right.
I'm surprised non of them have thought about conducting a psych evaluation before taking an oath to serve us. Insanity is no longer a mental problem to our leaders, rather a personality trait
I know who they should start with - those who abuse their own family members! If you cant take care of your own family unit, how do you capably head of the whole nation?
 
Nimeushangaa sana uamuzi wa Dr, Tulia Ackson kuhusu Mbunge wa CCM kuchana hotuba ya upinzani. Tulia, ambaye ni mwanasheria wa kiwango cha PhD, bila aibu ametetea uamuzi wake kwa kutoa kauli kwamba "Vuma hawezi kupelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya Bunge kwa kuwa kipindi cha nyuma mbunge wa Bunda (Chadema) Ester Bulaya aliwahi kurusha vitabu bungeni na kuvichana lakini hakupelekwa katika kamati hiyo"

Hivi kweli, Dr wa sheria, anawezaje kutoa kauli kama hii? Kama uongozi wa Bunge la Tanzania umewahi kutuhumiwa kuwa dhaifu, basi kwa kauli hii ya Tulia nasema Bunge linaongozwa na maspika ambao si tu ni dhaifu, bali pia ni wameamua kwa makusudi kujifanya vipofu na mbumbumbu wa uongozi, ili kulinda maslahi ya chama chao CCM.

Kwa kiingereza ninasema kwamba "Tanzania parliament leaders are excessively biased against the opposition, to the extent that most of the time they forget to be clever or intentionally choose to be stupid". Hii ya Tulia ni typical case. Za Ndugai zipo nyingi sihitaji hata kuzitaja. Za wenyeviti wengine wa vikao vya Bunge kama kina Chenge, Zungu nk zinatia hata aibu kuzitaja.

Tulia anachodai hapa ni kwamba, Bunge linaendeshwa kwa mantiki ya jino kwa jino. Ni sawa na refa wa mpira wa miguu ambaye anainyima penati ya wazi timu moja, na ili kusawazisha kosa lake, anainyima timu pinzani penati ya wazi pia.

Well Dr. Tulia, kauli ya kwamba "two wrongs don't make it right" sio ya kitoto. Wahenga waliiweka ili kuwaelimisha watu kama wewe ambao mnasahau kutumia akili na usomi wenu kwa manufaa yenu binafsi au ya chama chenu. Kama Ester Bulaya wa Chadema alifanya kosa na hakuchukuliwa hatua, hilo lilikuwa ni kosa na udhaifu wa uongozi wa Bunge. Lakini sasa udhaifu huo unazidi kuzidishwa pale ambapo Vuma wa CCM anafanya kosa kama la Ester na unaamua kwamba basi na yeye asichukuliwe hatua kama ilivyokuwa kwa Ester Bulaya.

Huo ni udhaifu mkubwa wa uongozi wa Bunge.

1. Nimejaribu tu kufikiria hili, kuwa:

Suppose mbunge mmoja wa chama shindani na CCM mfano John Heche, naye kama kulipiza kisasi angeamua kuchana hotuba ya serikali (waziri wa fedha) hadharani ndani ya bunge huku akiisemea maneno ya hovyo kama, this is rubbish nk nk ingekuwaje eti?

2. Scenario ya Esta Bulaya (MB) na Vuma is quite different....

Tunaweza kusema la Esta Bulaya lilitokea nyuma ya pazia (behind scene)

Furher more ni kuwa, yeye Esta Bulaya alidondosha kitabu cha hotuba ya serikali and in the process ya kudondoka/kuanguka chini kikachanika...

Na siyo kuwa "alikitupa" kitabu cha hotuba na "kukichana" kama ulivyo present

Huyu Vuma, yeye officially kabisa na bunge likiwa kwenye session yake likiendelea huku akiwa amesimama akichangia hoja ya waziri was fedha, alikamata kitabu na kukichana mbele ya kiongozi wa kikao cha bunge siku hiyo (Naibu Spika, Dr Tulia) na mbele ya camera za TV while the whole world watching!!
 
Back
Top Bottom