Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Weakness kubwa ya upinzani wetu ni kutojipanga, kulialia bila vitendo, kupiga kelele tu. Haiwezekani suala zima la Katiba Mpya ambalo ni haki ya kikatiba ya kila mwananchi iwe kama hisani au Willing ya watawala. Hivi mkitoka watu million 6 barabarani ambao ni wanachama wa chama kimoja nchini, nani atawakamata wote na awaweke mahabusu zipi?
Ikumbukwe kua kwenye tukio kama hili hata askari wakiua raia hata mmoja watakuwa katika wakati mgumu.
Upinzani umekwama kwenye plans na techniques,wamekwama kwenye organisation, wamekwama kwenye coordination. Mnashindwa kutawanya viongozi wenu kuanzia ngazi za matawi,msingi,kata hadi kanda na taifa mkafikisha ujumbe wa katiba mpya kwenye mamlaka za nchi na kimataifa?
Eti mnaogopa chama kufutiwa usajili, uoga wa kipumbavu kabisa huu. Kwani mkifutiwa chama si mnajiunga na kiingine au mnaibua kipya? Kufuta chama ni kufuta harakati moyoni? Kufuta chama ni kufuta mageuzi moyoni?
Ninashangaa sana Chama kimoja kikubwa cha upinzani mwenyekiti wa yupo gerezani kwa kesi za kuchonga wapo tu wanaendelea kusugua miguu mahakamani kila siku. Hivi alivyoguswa Zuma wa SA mliona lakini? Alivyoguswa Raila Odinga wa jamuhuri ya Kenya mliona lakini? Nenda kamguse Malema wa SA hivi sasa uone.
Watu million 6, tofauti ya wanachama ni milion 2 na CCM Chama tawala mnalialia kweli?
Udhaifu wenu ni mkubwa sanwa wabishi na hamshauriki. Labda vyama hivi vife vyote tuanze na moja huenda tutapata vyama vyenye dhamira ya kweli na taifa hili.
Ikumbukwe kua kwenye tukio kama hili hata askari wakiua raia hata mmoja watakuwa katika wakati mgumu.
Upinzani umekwama kwenye plans na techniques,wamekwama kwenye organisation, wamekwama kwenye coordination. Mnashindwa kutawanya viongozi wenu kuanzia ngazi za matawi,msingi,kata hadi kanda na taifa mkafikisha ujumbe wa katiba mpya kwenye mamlaka za nchi na kimataifa?
Eti mnaogopa chama kufutiwa usajili, uoga wa kipumbavu kabisa huu. Kwani mkifutiwa chama si mnajiunga na kiingine au mnaibua kipya? Kufuta chama ni kufuta harakati moyoni? Kufuta chama ni kufuta mageuzi moyoni?
Ninashangaa sana Chama kimoja kikubwa cha upinzani mwenyekiti wa yupo gerezani kwa kesi za kuchonga wapo tu wanaendelea kusugua miguu mahakamani kila siku. Hivi alivyoguswa Zuma wa SA mliona lakini? Alivyoguswa Raila Odinga wa jamuhuri ya Kenya mliona lakini? Nenda kamguse Malema wa SA hivi sasa uone.
Watu million 6, tofauti ya wanachama ni milion 2 na CCM Chama tawala mnalialia kweli?
Udhaifu wenu ni mkubwa sanwa wabishi na hamshauriki. Labda vyama hivi vife vyote tuanze na moja huenda tutapata vyama vyenye dhamira ya kweli na taifa hili.