Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Hii ni sawa na kumpa kipofu drivers licence class C wakati hatoitumia
yepi hayo??Si aandike thesis ya aliyoyafanya?
Katika kuadhimisha miaka 50 Ya Uhuru wa Tanganyika , utawala na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam umepanga kumtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, mzaliwa wa Msoga Mkoa wa Pwani Shahada ya Uzamivu/PHD ya Heshima.
Sasa katika hali isiyotabilrika wasomi wa chuo hicho kupitia UDASA wamekua wakigomea kutunukiwa kwa huyu bwana kwa madai kuwa hastahili kupewa Heshima hiyo kwakua hakuna la maana alilolifanya kustahili Tuzo na hakika wametoa wito kwa Utawala wa chuo kujitenga na propaganda za ajabu ili tu kuupumbaza Umma kuwa anakubalika na kuheshimika sana miongoni mwa wasomi katika Tanzania hii.
(.Note..................................habari hii nimeipata pale ofisi za UDASA kwa Mkufunzi aliegoma kunitajia jina.)
hahahahaaa!! excellent comparison!!Wmampe na Zembwela phd basi tujue moja
Na ww njoo kwangu usiku ntakutunuku PHD pia km ndio shida yako
Matakoo yako, naona ushoga wako unakupeleka pabaya. PANYA MKUBWA WEWE!
Mods anaumwa kalazwa tangu asubuhi watoto wanagombana kwa matusi hana habari.....tunaomba kama uko mahututi kaimisha u-mods. kanuni zinavunjwa kwa matusi ikiwezekana tukupeleke nje kwa matibabu uje kufanya kazi yako hapa.
Mods anaumwa kalazwa tangu asubuhi watoto wanagombana kwa matusi hana habari.....tunaomba kama uko mahututi kaimisha u-mods. kanuni zinavunjwa kwa matusi ikiwezekana tukupeleke nje kwa matibabu uje kufanya kazi yako hapa.
katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa tanganyika , utawala na uongozi wa chuo kikuu cha dar es salaam umepanga kumtunuku rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh. Jakaya mrisho kikwete, mzaliwa wa msoga mkoa wa pwani shahada ya uzamivu/phd ya heshima.
Sasa katika hali isiyotabilrika wasomi wa chuo hicho kupitia udasa wamekua wakigomea kutunukiwa kwa huyu bwana kwa madai kuwa hastahili kupewa heshima hiyo kwakua hakuna la maana alilolifanya kustahili tuzo na hakika wametoa wito kwa utawala wa chuo kujitenga na propaganda za ajabu ili tu kuupumbaza umma kuwa anakubalika na kuheshimika sana miongoni mwa wasomi katika tanzania hii.
(.note..................................habari hii nimeipata pale ofisi za udasa kwa mkufunzi aliegoma kunitajia jina.)
Utaona meno yote therasini na nje mbili.Mjinga MPE CHEO