Kudharau PhD za heshima ni ulimbukeni, ujivuni, dharau, kebehi na manyanyaso kwa waliopewa

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,226
5,948
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu. Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
 
Kwakuwa wanakijani mnapenda dezo na kujimwambafai basi kwa wengi wenu ni halali🏃🏃
 
😂😂Mambo ya kujadili  "uganga "
wa heshima(PhD za heshima ) ulianzia hapa👇👇👇
 
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Kinachokatazwa ni degree za kununua kama za babu Tale, Musukuma,Abood nk.
 
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Zungunzia ya Babu tale achana na mengine.
 
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Fanya hima tukanunue PhD za USD 1,500
 
Ni ujinga tu hizo za kusoma na kuandika hadi leo maandiko yao hayajaleta badiliko la maisha kwa jamii. Ni hovyo kabisa. Tuna ma PhD holder wengi lkn ni empty set.

Bora hata wanaopewa kwa kutambulia mchango wao kwa jamii
 
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Si kweli. Shahada zenyewe kama ni za heshima na kununua kama ya Msukuma na babu tale. Ni mbaya kuliko hata ushuzi mwanangu. Ni ukilaza wa aina yake
 
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Kitendo Cha kusema' kunyenyekea wahadhiri' inaonyesha uozo uliyopo kwenye kichwa chako. Sijui ni wapi huko unaponyenyekea. Hilo huwezi hata kutamka ukiwa kwenye corridors za vyuo vinavyoeleweka.

Ni kazi gani hizo nzuri vyuo vyetu vikuu havizioni, lakini ka collage flani huko Marekani ambako hakana 'accreditation' yoyote kanaziona zikifanyika huku kwetu Bongo? Si UDSM Wala Dodoma, Wala Boston Wala Havard wanaoziona kazi za kina Tale, lakini kachuo hakajulikani huko kanaziona!!!! Vichekesho hivi!

Na degree yoyote ya heshima hutakiwi kutumia 'Dr' kabla ya jina lako, Hilo nalo hulioni? Au ni kuto kujua? Hii tabia ya kudogosha Elimu imekuwa sana miaka ya karibuni! Ikomeshwe na tunampongeza Mh. Spika, Dr Tulia.
 
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
RUSHWA ni upendeleo,

RUSHWA imekupofusha ufahamu,

Kusoma ni sawa na kutosoma kwako.

ELIMU ni mzigo kwako,

Ingekuwa kheri kwako utumie AKILI ulizotoka nazo tumboni mwa mamako.
 
RUSHWA ni upendeleo,

RUSHWA imekupofusha ufahamu,

Kusoma ni sawa na kutosoma kwako.

ELIMU ni mzigo kwako,

Ingekuwa kheri kwako utumie AKILI ulizotoka nazo tumboni mwa mamako.
Mkuu tumepata nini kutoka kwenye hizo PhD za hao waliosoma zaidi ya majisufu na ujivuni usio na tija?
 
Kitendo Cha kusema' kunyenyekea wahadhiri' inaonyesha uozo uliyopo kwenye kichwa chako. Sijui ni wapi huko unaponyenyekea. Hilo huwezi hata kutamka ukiwa kwenye corridors za vyuo vinavyoeleweka.

Ni kazi gani hizo nzuri vyuo vyetu vikuu havizioni, lakini ka collage flani huko Marekani ambako hakana 'accreditation' yoyote kanaziona zikifanyika huku kwetu Bongo? Si UDSM Wala Dodoma, Wala Boston Wala Havard wanaoziona kazi za kina Tale, lakini kachuo hakajulikani huko kanaziona!!!! Vichekesho hivi!

Na degree yoyote ya heshima hutakiwi kutumia 'Dr' kabla ya jina lako, Hilo nalo hulioni? Au ni kuto kujua? Hii tabia ya kudogosha Elimu imekuwa sana miaka ya karibuni! Ikomeshwe na tunampongeza Mh. Spika, Dr Tulia.
Sijui unaishi dunia ipi maana uko mbali sana na uhalisia
 
PhD iwe ya kuingia darasani na kutoa andiko, kutoa andiko, au ya heshima zote zina sifa moja inayofanana. Sifa hiyo ni kutunukiwa na chuo husika baada ya kutimiza vigezo na masharti yao.

Walio na PhD baada ya kuingia darasani na kutoa andiko au kutoa andiko huenda mbele ya chuo husika na kusema tazama kama nimefikia vigezo. Kwa maneno mazuri hawa wanatimiza msemo wa kiswahili kibaya kinajitembeza au ukitaka cha uvunguni sharti uiname.

Kusema ukweli walionazo hizo PhD wanajitembeza na wanajitembeza kweli kwa unyenyekevu mkubwa mbele ya wahadhiri na wasimamaizi wao. Kwa upande mwingine wanaopewa PhD za heshima hutambuliwa na kuitwa na vyuo husika na kuambiwa tumeona unachofanya, umekidhi vigezo vyetu kwa hilo tunakuheshimu hivyo juu tukupe PhD ya heshima. Kwangu mimi hawa ndio wasomi wa kweli na wasomi bila sababu na wanatimiza msemo wa kizuri chajiuza chenyewe.

Zimetolewa lugha za kebehi ikiwemo kuwa wenye PhD za heshima wamezinunua kana kwamba wao waliosoma darasani hawakulipa ada ambayo ni sawa na kununua tu.
Hii tabia ya kujigawa katika makundi ya wao na sisi imetamalaki sana.

Mfano wa Dar es Salaam wanawaita wengine wa mikoani kama kwamba Dar es Salaam siyo mkoa; waliosoma nje wanajiona bora kuliko waliosoma hapa ndani kama kwamba what is biology inajibiwa tofauti kati ya nje na ndani ya Tanzania. Kwa hapa Tanzania waliosoma UDSM wanajiona bora kulimo waliosoma vyuo vingine vya ndani; na wabunge wa majimbo wanajiona bora kulilo wabunge wa vitu maalumu.

Sasa huu ujivuni na kebehi umehamia kwenye PhD- kwangu ni kheri kuwa na PhD ya heshima kwa kununua kuliko PhD ya kunyenyekea wahadhiri wakutoe tena wakati mwingine kwa kutoa rushwa.
Nenda na we kajaribu km kweli zinatolewa bure
 
Back
Top Bottom