BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,616
- 2,983
Hata hivyo huwa wanaangalia mtu na mtu. Kwanza mimi huwa siongei nao hata wakinisemesha.
Ukiwa na akili timamu huwez kusumbuliwa na wapiga debe...wewe ndio akili huna.kwahio watuwote wanaosumbuliwa palé mbezi hawana akili?
tangu ilipokuwa ubungo na sasa hapo Magufuli terminal, sijawah kusumbuliwa na wapiga debe...nenda stend ya Magufuri , tujifunze kufanya tafiti kabla ya kuhukumu mtu
Watu wanatafuta mkate ukikaa kizembe unapigwa mchana kweupeee
Kweli kabisaWanawake ndo hukutana na ushenzi wa hali ya juu. Kina mama ni wahanga wa hawa viumbe.