FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 947
- 669
Asante Kwa ushauri ndugu.
KUNA KOZI NYINGI PALE,NENDA KAZIANGALIE THEN UTACHAGUA INAYOKUFAA
Asante Kwa ushauri ndugu.
Nashukuru sana.KUNA KOZI NYINGI PALE,NENDA KAZIANGALIE THEN UTACHAGUA INAYOKUFAA
Nashukuru sana.
Ila baada ya miezi mitatu NACTE ndio watatoa awamu nyingine ya kufanya maombi si ndio
Nashukuru sana Kwa ufafanuzi huu.Maombi ni Mwezi May watatoa nafasi za Udahili kupitia NACTE,Wakati huo wewe utakuwa unaendelea na kozi yako na maombi utakuwa umetuma,masomo kupitia NACTE yanaanza mwezi wa KUMI wewe utakuwa umesha maliza kozi pale veta hata 3,kama vile Compyuta mwezi 1,Udereva, nk,ukiwa unaenda vyuoni una vyeti kibao vya Veta.Kumbuka VETA unaenda palepale unajaza fomu na kuendelea na masomo.Zingatia ushauri huu dogo mwenyewe utakuja unitafute.
La msingi nenda moja moja Chuo cha VETA kilicho karibu nawe,kisha chagua kozi fupi fupi,kisha chagua unazotaka.
Let's waitOoh! Nimepata tetesi kutoka sehemu nyeti kuwa udahili utaanza tarehe 20, mwezi huu!