Uchunguzi wangu kuhusu kifo

Uchunguzi wangu kuhusu kifo

Sasa ndio uthibitishe huo mwanzo wa ambao unaujua.

Thibitisha sasa huo mwanzo wa binadamu biologically ni nini?

Na huo mwanzo wa binadamu biologically, Mwanzo wake ni nini?

Ok fine.

Mwanzo wa reproduction process ya binadamu ni nini?

Sawa.

Sasa naomba uthibitisho na uelezee huo mwanzo wa binadamu biologically ni nini?

Na huo mwanzo wa binadamu biologically ulitoka wapi?

Huko ulipotoka, kulitoka wapi?

Usianze kuleta hadithi za kwenye Quran au Biblia au andiko lolote la kidini.
Usijali hapa natumia akili tu kukuelewesha haina haja ya kutumia andiko lolote,................ ipo hivi ungeamua kusoma kwa kuzingatia basi tokea jana ungejua kwanini nakuambia Binadamu ana mwanzo,..sasa ili ujue Binadamu ana mwanzo tuangalie taratibu kabisa mechanism ya Binadamu jinsi wanavyozaliana:-
  • Mchakato wa reproduction unategemea ushirikiano wa mbegu za kiume (sperm) na yai la mwanamke (yaani Ovum) ili kutengeneza kiumbe kipya............Hii inamaanisha: Ili binadamu apatikane, lazima kuwe na kiumbe kingine cha kiume na kiumbe cha kike vilivyokuwepo awali yaani "MWANZO" ili kukutanisha mbegu za kiume na yai la kike ambapo baada ya kukutana zinapelekea kitendo kinachoitwa "uchavushaji" kwa kiswahili au wenzetu wanaita "Fertilization" ... Sasa Tuliza akili uendelee kufuatilia hapa chini ujue na fertilization inavyofanya kazi:-

  1. Combination of Genetic Material: Fertilization occurs in the moment when two sets of genetic material from the mother and father combine. Each sperm and egg carries half of the genetic information (23 chromosomes each). When they unite, they form a complete set of 46 chromosomes, creating a unique genetic blueprint for a new individual. This combination is fundamental because it defines the characteristics, traits, and potential development of the human embryo.
2. Biological Dependency: The egg and sperm on their own cannot develop into a human being. An unfertilized egg cannot divide or develop because it lacks the necessary instructions from the sperm's genetic material. Therefore, fertilization is the biological catalyst that starts the entire process of human development. It’s like turning on a machine—without pressing the start button, nothing else happens.

Nadhani umeona hapo kwamba fertilization inafanyika kwa kutegemea taarifa za vinasaba yaani "GENES" kutoka Mwanamke na Mwanaume hivyo BILA KUWEPO TAARIFA ZA KINASABA ZA MWANAMKE NA MWANAUME( Ambazo zipo carried kwenye Sperm na Ovum) FERTILIZATION NA REPRODUCTION KWA UJUMLA HAIWEZEKANI KABISA KUFANYIKA...................................................
HIVYO KWA MANTIKI HIYO NI SAHIHI KUHITIMISHA KWAMBA LAZIMA KUWE NA MALE & FEMALE ILI KUANZISHA MCHAKATO WA KUZALIANA KWA BINADAMU,...Nadhani umepata uthibitisho na umeelewa sasa kwamba kwa nini baiolojia inakataa hoja ya binadamu kutokua na mwanzo,si ndiyo?!
 
Usijali hapa natumia akili tu kukuelewesha haina haja ya kutumia andiko lolote,................ ipo hivi ungeamua kusoma kwa kuzingatia basi tokea jana ungejua kwanini nakuambia Binadamu ana mwanzo,..sasa ili ujue Binadamu ana mwanzo tuangalie taratibu kabisa mechanism ya Binadamu jinsi wanavyozaliana:-
  • Mchakato wa reproduction unategemea ushirikiano wa mbegu za kiume (sperm) na yai la mwanamke (yaani Ovum) ili kutengeneza kiumbe kipya............Hii inamaanisha: Ili binadamu apatikane, lazima kuwe na kiumbe kingine cha kiume na kiumbe cha kike vilivyokuwepo awali yaani "MWANZO" ili kukutanisha mbegu za kiume na yai la kike ambapo baada ya kukutana zinapelekea kitendo kinachoitwa "uchavushaji" kwa kiswahili au wenzetu wanaita "Fertilization" ... Sasa Tuliza akili uendelee kufuatilia hapa chini ujue na fertilization inavyofanya kazi:-

  1. Combination of Genetic Material: Fertilization occurs in the moment when two sets of genetic material from the mother and father combine. Each sperm and egg carries half of the genetic information (23 chromosomes each). When they unite, they form a complete set of 46 chromosomes, creating a unique genetic blueprint for a new individual. This combination is fundamental because it defines the characteristics, traits, and potential development of the human embryo.
2. Biological Dependency: The egg and sperm on their own cannot develop into a human being. An unfertilized egg cannot divide or develop because it lacks the necessary instructions from the sperm's genetic material. Therefore, fertilization is the biological catalyst that starts the entire process of human development. It’s like turning on a machine—without pressing the start button, nothing else happens.

Nadhani umeona hapo kwamba fertilization inafanyika kwa kutegemea taarifa za vinasaba yaani "GENES" kutoka Mwanamke na Mwanaume hivyo BILA KUWEPO TAARIFA ZA KINASABA ZA MWANAMKE NA MWANAUME( Ambazo zipo carried kwenye Sperm na Ovum) FERTILIZATION NA REPRODUCTION KWA UJUMLA HAIWEZEKANI KABISA KUFANYIKA...................................................
HIVYO KWA MANTIKI HIYO NI SAHIHI KUHITIMISHA KWAMBA LAZIMA KUWE NA MALE & FEMALE ILI KUANZISHA MCHAKATO WA KUZALIANA KWA BINADAMU,...Nadhani umepata uthibitisho na umeelewa sasa kwamba kwa nini baiolojia inakataa hoja ya binadamu kutokua na mwanzo,si ndiyo?!
Hao Male and Female wa mwanzoni, wao mwanzo wao ni nini?
 
Huko ulipotoka, kulitoka wapi?
Kazi yangu ilikua ni kukuelewesha kwamba kwanini Binadamu kibaiolojia ana mwanzo,...kazi nimeimaliza.

Kuhusu kujua hao wazazi wa mwanzo walitoka wapi jitahidi kutafuta maarifa tena kwa kuwa humble huenda ukajua....shida iliyopo kwako ni egoism ambayo unalazimisha kuamini unajua kumbe hujui...........kwa mfano kuongea confidently kwamba Binadamu hana mwanzo kumbe hujui kuhusu hilo inaonyesha kwamba upo tayari kuwa proud of your ignorance as long as hujui ukweli wa jambo husika,...relax kuwa humble maisha yanakua easy mno.
 
Kazi yangu ilikua ni kukuelewesha kwamba kwanini Binadamu kibaiolojia ana mwanzo,...kazi nimeimaliza.

Kuhusu kujua hao wazazi wa mwanzo walitoka wapi jitahidi kutafuta maarifa tena kwa kuwa humble huenda ukajua....shida iliyopo kwako ni egoism ambayo unalazimisha kuamini unajua kumbe hujui...........kwa mfano kuongea confidently kwamba Binadamu hana mwanzo kumbe hujui kuhusu hilo inaonyesha kwamba upo tayari kuwa proud of your ignorance as long as hujui ukweli wa jambo husika,...relax kuwa humble maisha yanakua easy mno.
Na wewe shida yako nikulazimisha kwamba binadamu ana mwanzo.

Halafu ukiulizwa huo mwanzo wa binadamu, Mwanzo wake ni nini?

Hujui.
 
Na wewe shida yako nikulazimisha kwamba binadamu ana mwanzo.

Halafu ukiulizwa huo mwanzo wa binadamu, Mwanzo wake ni nini?

Hujui.
Hahh eti sijui,..si nimekupa mpaka maelezo ya kibaiolojia hapo au huyaamini pia??

unaonekana upo addicted na kubishana kuwa humble ujifunze kaka..
 
Hahh eti sijui,..si nimekupa mpaka maelezo ya kibaiolojia hapo au huyaamini pia??

unaonekana upo addicted na kubishana kuwa humble ujifunze kaka..
Maelezo hayo ya kibaiolojia hajajitoshelezi.

Unasema mwanzo wa binadamu ni male and female.

Nimekuuliza mwanzo wa hao "Male and Female" ni nini, Hujajibu.

Sasa jibu hao "Male and Female" wa mwanzo walitoka wapi?
 
Maelezo hayo ya kibaiolojia hajajitoshelezi.

Unasema mwanzo wa binadamu ni male and female.

Nimekuuliza mwanzo wa hao "Male and Female" ni nini, Hujajibu.

Sasa jibu hao "Male and Female" wa mwanzo walitoka wapi?
Well, maelezo niliyokupa yalilenga kukuonyesha kwamba Binadamu ana mwanzo,.. na tumefikia hatua nzuri umeanza kuelewa na ndiyo maana sasa hivi unauliza mwanzo wa hao Male & Female.

Kuhusu mwanzo wa hao Male and Female miongoni mwa hoja yenye nguvu kabisa ni hoja ya UUMBAJI (ambayo kwa upande wangu naungana nayo),..yaani kwamba hao viumbe wa mwanzo waliumbwa kisha wakawekewa system na mechanism ya ku reproduce ndiyo maana unaona wanaendelea kuzaliana.

So,. majibu kwa ufupi ni hayo unaweza kuyakubali au kuyakataa logically.
 
Well, maelezo niliyokupa yalilenga kukuonyesha kwamba Binadamu ana mwanzo,.. na tumefikia hatua nzuri umeanza kuelewa na ndiyo maana sasa hivi unauliza mwanzo wa hao Male & Female.

Kuhusu mwanzo wa hao Male and Female miongoni mwa hoja yenye nguvu kabisa ni hoja ya UUMBAJI (ambayo kwa upande wangu naungana nayo),..yaani kwamba hao viumbe wa mwanzo waliumbwa kisha wakawekewa system na mechanism ya ku reproduce ndiyo maana unaona wanaendelea kuzaliana.

So,. majibu kwa ufupi ni hayo unaweza kuyakubali au kuyakataa logically.
Huyo aliyewaumba, Yeye aliumbwa na nani?

Kabla hajawaumba, alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi, Na kuliumbwa na nani?
 
Huyo aliyewaumba, Yeye aliumbwa na nani?

Kabla hajawaumba, alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi, Na kuliumbwa na nani?
1. Yeye ndiyo Muumbaji wa kila kitu,.so Hajaumbwa
2. Kabla hajawaumba, sijui alikua wapi.
3. Hakukuwepo kuwepo kokote penye kuwepo bila yeye kufanya kwenye kuwepo kuwepo.....

So, nadhani nimejaribu kujibu maswali yako.......kwa kuongezea ni kwamba hatuwezi kujua every detail juu ya MUUMBAJI maswali yako yanaonyesha unataka umjue zaidi upo sahihi lakini je una nyenzo gani ya kumjua kama utakavyo? Kama hata wewe tu kiumbe simple hujui every detail zinazokuhusu utaweza kujua kila detail kuhusu MUUMBAJI au UUMBAJI kirahisi hivyo ambao ni complex zaidi?
 
1. Yeye ndiyo Muumbaji wa kila kitu,.so Hajaumbwa
Yeye nani?.

Maana hao "Male and female" ni viumbe, Binadamu, wanyama n.k

Ambao ndio ulisema mwanzoni kibaiolojia ndio starting point.

Sasa yeye ni nini?
2. Kabla hajawaumba, sijui alikua wapi.
Kama hujui alikuwa wapi, Utasemaje alikuwepo?

Kama alikuwepo na yupo kweli, alitoka wapi?
3. Hakukuwepo kuwepo kokote penye kuwepo bila yeye kufanya kwenye kuwepo kuwepo.....
Kama hakukuwepo kuwepo kokote penye kuwepo, Huyo "yeye" alikuwepo wapi?

Maana si hakukuwepo, kuwepo kokote kule.

So, nadhani nimejaribu kujibu maswali yako.......kwa kuongezea ni kwamba hatuwezi kujua every detail juu ya MUUMBAJI maswali yako yanaonyesha unataka umjue zaidi upo sahihi lakini je una nyenzo gani ya kumjua kama utakavyo? Kama hata wewe tu kiumbe simple hujui every detail zinazokuhusu utaweza kujua kila detail kuhusu MUUMBAJI au UUMBAJI kirahisi hivyo ambao ni complex zaidi?
Huyo muumbaji ni nini?
 
Yeye nani?.
Yeye ni MUUMBAJI...
Kama hujui alikuwa wapi, Utasemaje alikuwepo?
Hata wewe sijui upo wapi Wala ulikua wapi,..lakini siwezi kuwa sahihi nikisema HAUPO kisa tu sijui upo wapi wala ulikua wapi before...... your ignorance about something doesn't make it absent...
Kama hakukuwepo kuwepo kokote penye kuwepo, Huyo "yeye" alikuwepo wapi?

Maana si hakukuwepo, kuwepo kokote kule.
Yeye hategemei uwepo wa mahali popote ili awepo,.. Miongoni mwa sifa yake kubwa
ni "Transcendence" yaani Above & Independent of Space and time.
Huyo muumbaji ni nini?
Siwezi kusema MUUMBAJI ni nini,.. kwasababu inaelezwa kwamba YEYE HAFANANI NA KITU CHOCHOTE AMBACHO USHAWAHI KUONA AU KUSIKIA WALA AKILI YAKO HAIJAWAHI KUWAZA......

NB: Mtu rahisi kujifunza ni yule ambaye atakua humble na kukubali kwamba hawezi kujua Kila kitu,..na baadhi ya vitu vipo beyond ya uwezo wake kuvijua unless apate elimu kutoka vyanzo sahihi vyenye ujuzi juu ya vitu hivyo....
 
Yeye ni MUUMBAJI...
Muumbaji ni nini?
Hata wewe sijui upo wapi Wala ulikua wapi,..lakini siwezi kuwa sahihi nikisema HAUPO kisa tu sijui upo wapi wala ulikua wapi before...... your ignorance about something doesn't make it absent...
Mimi nipo duniani, Na wazazi wangu walikuwepo duniani kabla yangu, wakanileta duniani.

Hivyo hivyo kwa kila kiumbe.

Hakuna Muumbaji wa chochote kile. Maana tayari dunia ilikuwepo na haina chanzo wala muumbaji.
Yeye hategemei uwepo wa mahali popote ili awepo,.. Miongoni mwa sifa yake kubwa
ni "Transcendence" yaani Above & Independent of Space and time.
Hata Dunia haijategemea muumbaji yeyote yule.
Siwezi kusema MUUMBAJI ni nini,.. kwasababu inaelezwa kwamba YEYE HAFANANI NA KITU CHOCHOTE AMBACHO USHAWAHI KUONA AU KUSIKIA WALA AKILI YAKO HAIJAWAHI KUWAZA......
Ina elezwa na nini?
NB: Mtu rahisi kujifunza ni yule ambaye atakua humble na kukubali kwamba hawezi kujua Kila kitu,..na baadhi ya vitu vipo beyond ya uwezo wake kuvijua unless apate elimu kutoka vyanzo sahihi vyenye ujuzi juu ya vitu hivyo....
Kwa nini ukubali kujua kwamba hujui kila kitu?

Aliyeweka huu utaratibu ni nani?
 
Kwahiyo wewe unajua Kila kitu,..si ndiyo?

Basi vizuri umeshinda,..let's agree kwamba upo sahihi.
Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua. Kwa kufanya udadisi, utafiti, uchunguzi na majaribio zaidi.

Huwezi kukubali kwamba hujui kila kitu, wakati uwezekano wa kujua upo kwa kadiri tafiti, udadisi, uchunguzi na majaribio yanavyo endelea kufanyika.
 
Hatuwezi kujua tusivyo vijua ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua. Kwa kufanya udadisi, utafiti, uchunguzi na majaribio zaidi.

Huwezi kukubali kwamba hujui kila kitu, wakati uwezekano wa kujua upo kwa kadiri tafiti, udadisi, uchunguzi na majaribio yanavyo endelea kufanyika.
Lazima kwanza ukubali kwamba kuna vitu hujui,...ukishakubali ndiyo utafanya tafiti na kutafuta ukweli wa mambo ulivyo.....

Ni mjivuni pekee ataamua kujiaminisha kwamba anajua Kila kitu,.... Kwa mfano hata wewe hujitambui 100% lakini unapinga kuhusu ishu ya Uumbaji ambayo kimsingi inahitaji elimu ya juu zaidi kujua Uumbaji ulikuaje na ilikuaje mpaka vyote tunavyoviona vikaja into existence,......
 
Lazima kwanza ukubali kwamba kuna vitu hujui,...ukishakubali ndiyo utafanya tafiti na kutafuta ukweli wa mambo ulivyo.....

Ni mjivuni pekee ataamua kujiaminisha kwamba anajua Kila kitu,.... Kwa mfano hata wewe hujitambui 100% lakini unapinga kuhusu ishu ya Uumbaji ambayo kimsingi inahitaji elimu ya juu zaidi kujua Uumbaji ulikuaje na ilikuaje mpaka vyote tunavyoviona vikaja into existence,......
Wewe ulijuaje kuna Muumbaji?

Ulifanya Utafiti na uchunguzi gani ukagundua kwamba kuna Muumbaji?

Ulifikaje hitimisho la kusema kwamba kuna Muumbaji?

Je kama hakuna Muumbaji?

Unaweza kuthibitisha kwamba kuna muumbaji, Uni prove wrong mimi ninayesema hakuna muumbaji?

Thibitisha uwepo wa huyo Muumbaji.

Sio kufosi fosi tu kwamba kuna Muumbaji, ilhali hata hujathibitisha uwepo wa huyo Muumbaji unayedai yupo.
 
Wewe ulijuaje kuna Muumbaji?

Ulifanya Utafiti na uchunguzi gani ukagundua kwamba kuna Muumbaji?

Ulifikaje hitimisho la kusema kwamba kuna Muumbaji?

Je kama hakuna Muumbaji?

Unaweza kuthibitisha kwamba kuna muumbaji, Uni prove wrong mimi ninayesema hakuna muumbaji?

Thibitisha uwepo wa huyo Muumbaji.

Sio kufosi fosi tu kwamba kuna Muumbaji, ilhali hata hujathibitisha uwepo wa huyo Muumbaji unayedai yupo.
Bila shaka unaona Viumbe vyenye maumbile mbalimbali, si ndiyo? Kama unaona vitu vimeumbika kwenye muundo mzuri akili yako inashindwa nini kufikiria kama kuna Muundaji,? Waswahili wana kauli yao kwamba "Usione vitu vinaelea tu, VIMEUNDWA!,........naamini unakiri moyoni mwako kwamba wapo sahihi.



FIKIRIA: Kwani ukiona nyumba iliyojengwa vizuri na kuvutia wenye kuiona,..kipi kinakujia akilini mwako kama sio ubora wa Designer wa hiyo Nyumba?
 
Bila shaka unaona Viumbe vyenye maumbile mbalimbali, si ndiyo? Kama unaona vitu vimeumbika kwenye muundo mzuri akili yako inashindwa nini kufikiria kama kuna Muundaji,? Waswahili wana kauli yao kwamba "Usione vitu vinaelea tu, VIMEUNDWA!,........naamini unakiri moyoni mwako kwamba wapo sahihi.
Kuona viumbe vipo haimaanishi kwamba ndio viliumbwa.

Kwa nini unalazimisha kwamba viumbe vimeumbika?

Kama ulazima huo upo, Kwa nini huanzi kuweka ulazima huo, Kwa kuanzia kwa huyo muundaji?

Kwa nini una mu exclude huyo muundaji kwenye kuumbwa, Halafu unataka viumbe viwe vimeumbwa?

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na muundaji, Hata muundaji wa kila kitu lazima awe na muundaji wake mwingine.

Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo muundaji, Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist tu chenyewe pasipo muundaji.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina muundaji, Hata Viumbe, Binadamu na ulimwengu kwa ujumla, Hatuna na Hatuhitaji tuwe na muundaji.
FIKIRIA: Kwani ukiona nyumba iliyojengwa vizuri na kuvutia wenye kuiona,..kipi kinakujia akilini mwako kama sio ubora wa Designer wa hiyo Nyumba?
Sasa hapo si una uthibitisho na uhakika wa uwepo wa huyo Designer, ambao ni mafundi sanifu na mafundi ujenzi wa nyumba hiyo.

Wala si imani. Maana tayari utakuwa unajua kwa uhakika na uthibitisho kabisa kwamba nyumba hiyo nzuri ilijengwa na mafundi sanifu ambao wana thibitishika wapo.

Hakuna mwenye uthibitisho kwamba, Ulimwengu na binadamu tuliumbwa.

Ni imani tu mlizo aminishwa na imani zilizowekwa ambazo hazina uhakiki, ushahidi wala uthibitisho.
 
Back
Top Bottom