Kikubwa unachofanya kwenye huu uchunguzi wako ni kumsafisha Josephine, ili la walinzi Slaa mwenye pamoja na Josephine, hawakukanusha kwenye majibu yao.
Sasa wewe unakuja kukanusha uoni huko ni kujipendekeza na uchunguzi wako utaoneka porojo?
Katika huo uchunguzi wako Josephine ana kosa lolote?
Ndio uchunguzi lazima umshafishe mtu au upande fulani...bomba inaonekana rahisi kuelewa mkuu