Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Hivi karibuni kulifanyika mabadiliko ndani ya Chadema, mabadiliko yaliyoishia kumwondoa Bwana Erasto Tumbo katika nafasi yake ya ukurugenzi wa Habari. Nafasi hii ni nyetisana. Lakini pia Bwana Mwigamba na yeye aliishia kuondolewa katika nafasi yakeya Uhasibu wa Chama.
Wote kwa pamoja wameonekana kutomsaidia vyema Katibu mkuu katika nafasi zao walizopewa na kama ilivyotarajiwa watu hawa wakapandwa najaziba na hasira kali dhidi ya uamuzi huu na pamoja na kuwa uamuzi huu ulikuwa umetolewa kupitia vikao halali, waheshimiwa hawa waliamini kuwa Dr. Slaa ndiyeadui wao na aliyewachomea utambi.
Nianze na Mwigamba.Huyu Bwana amedaiwa kuwa mcheleweshaji mkubwa sana wa ripoti za fedha za chama. Na kila ambapo ripoti hizo zikihitajika, hasa pale ambapo Dr. Slaa akitakiwakuzitolea maelezo/ufafanuzi au kuziwasilisha kwenye vikao halali kwa mujibu wakanuni na taratibu za chama ripoti huja kwa kuchelewa lakini zikiwa nachangamoto kadhaa na wakati mwingine kasoro. Ndipo wazo (ambaloLILIPINGWA VIKALI) la kutafuta accounting package lilipopatikana na Bi Josephine kuombwa kusaidia upatikanaji wa Package hiyo. Ikumbukwe kuwa Bi Josephine nimtu anayeendesha ofisi yake binafsi na yenye wafanyakazi kadhaa. Mbali nakufanya shughuli zingine kwenye ofisi yake, Bi Josephine ni mtaalamu aliyebobeakatika mambo ya programming na system analyst mzuri. Shahada yake ya kwanza yaChuo kikuu alisomea mabo hayo. Kwahiyo kwake yeye ishu hii haikumuumiza kichwa,alifanya kama alivyoombwa.
Katika uchunguzi wangu nilioufanya, HAKUNA MAHALA POPOTE….nasisitiza…HAKUNA MAHALA POPOTE…nasisitizatena HAKUJAONEKANA MAHALA POPOTE ambapo Bi Josephine aliomba, ama alidai aualilazimisha kupewa japo hela ya kupoteza muda wake achilia mbali hizo Mil. 10 zinazodaiwa kulipwa kwa Josephine.Mwana mama huyualijitolea yeye kama yeye na pia aliitoa hiyo package ili ijaribiwe naikionekana itafaa kwa matumizi ya chama ndipo waitumie
Bwana Mwigamba sio tualishindwa kuitumia hiyo package bali pia alijitetea kuikataa kwake kwa kudaiati ile package ya Josephine ni database tu na hivyo isingekuwa na msaada wowote kwa chama. Alipoulizwa Bwana Mwigamba kama anajua tofauti ya Accounting Packagena Database ndugu yetu huyo akabaki kutoa macho na mwishowe akadhihirisha kuwahakuweza kuitumia package hiyo mpya. Baada ya mapungufu na ubovu kadhaa kujionyesha dhahiri ndipo Bwana Mwigamba aliondolewa rasmi kwenye nafasi aliyokuwa nayo. Na yeye imemuumiza na kumkasirisha pamoja na kumfedhehesha sana
Erasto Tumbo. Huyu ndugu kila mwana JF anayejua ukweli wa mambo atakubaliana na mimi kuwa hakuwa akimsaidia Dr. Slaa katika suala zima la uenezi. Zaweza kupita propaganda hata kumi ambazo yeye alitakiwa awe "sharp" kuzipangua lakini utakuta anakaa tu nakungojea posho za vikao au posho binafsi pale ofisini. Huyu nae alipoenguliwa kwenye nafasi yake, alilalamika na kwakweli hakuridhika kabisa na mpango huo nakumwona Dk. Slaa kama adui namba 1
Katika kuthibitish kuwa Erasto Tumbo anahaha kuthibitisha madai yake, hadi sasa yuko bussy akichambua Payment vouchers za Dr. Slaa ili aje nazo hapa JF kama ushahidi kwamadai/utetezi alioutoa Dr. Slaa kuwa wanaomsakama waje na ushahidi hapa jukwaani. Alifika pale Ofisi za chama, akaomba apatiwe payment vouchers, Dr.Slaa alipotakiwa ku-authorise ombi lake alikubali kuwa apatiwe atafute anachokitafuta. Hadi sasa sijajua kama amepata ushahidi au la.
Sitaki niseme kama Tuntemeke na wenzake kuwa ni Mwigamba na Tumbo maana name calling kwa JF ni criminal offence, lakini kila aliye timamu anaweza kuhoji na kufuatilia kuona mtiririko wa mambo unavyokwenda.
Ukweli ni kuwa Dr. Slaa anapokuwa kwenye case kule Arusha, shughuli za Chama huwa zinafanyika pia. Vipo vikao vya siri vya chama vinafanyika ambavyo Slaa mwenyewe anapaswa kuwepo nakushiriki. Lakini pia kwa status ya Slaa pamoja na umuhimu wa vikao vyake pamoja na watu anaokutana nao, HAIWEZEKANI NA HAITAKUJA KUWEZEKANA akaendelea kukaa kwenye hoteli za Sh 40,000/=. Huu ukweli upo dhahiri na kwa mtu anayefikiria ndani ya box anaweza kuelewa kwa undani nini maana ya kuwa Katibu Mkuu wa chama kinachoongoza upinzani Tanzania tena Mtu wa aina ya Slaa. Uhai wake, na ulinzi wake pamoja na umuhimu wake sio vitu vya kuendelea kuviwekarehani hata kidogo.
Lakini pia kuna suala la mtoto mdogo Junior. Huyu mtoto mbali na usalama wa wazazi wake kuwa kitu muhimu, mtoto huyu kwa umri wake ni lazima na yeye aishi mahali penye usalama kila anapokuwa nje ya makazi ya wazazi wake.Makazi yenye usalama ambayo yako dhahiri kwa mtoto huyo na wazazi wake hayawezi kupatikana kwenye hoteli za kawaida za gharama za chini. Hii ndio siasa, na haya ndio mafuta ya siasa na gharama kama hizi ndizo zinazotokea kwenye siasa.
Nimefuatilia kuhusu madereva wanaompeleka Josephine kanisani, HAKUJAWAHI KUTOKEA HILO JAMBO. Huu niuongo tena umesukwa mahususi na ndugu zetu hao ambao nataka niwahakikishie wanaJF wanaosuka mpango huu HAWANA UHUSIANO NA WALIOSHINDWA BAVICHA. Josephine anadrive gari yake mwenyewe. Na analihudumia gari lake mwenyewe kwa pesa halali ya jasho lake hata pale anapokuwa anafanya baadhi ya kazi za kukisaidia Chama. Kama kuna madereva wanalipwa basi ni kutokana na kazi zao kwa mujibu wa mikataba yao ndani ya chama.
Kifupi tu nimalizie kwakusema kuwa, kama umeshindwa kazi na mamlaka halali zikakutoa kwenye nafasi uliyokuwa nayo, ni vema ukawa na adabu na kutulia ikiwezekana kuomba radhi nahuenda ukapewa onyo ukarudishwa kwenye nafasi yako. Uzushi wa kabila hili kamaulivyotolewa na kina Tuntemeke hauwasaidii wao wala hauna tija kwao.
Kusema ukweli wanaofanya fitna hizi hawana link ya moja kwa moja na waasi wa BAVICHA kwa sasa.
Wote kwa pamoja wameonekana kutomsaidia vyema Katibu mkuu katika nafasi zao walizopewa na kama ilivyotarajiwa watu hawa wakapandwa najaziba na hasira kali dhidi ya uamuzi huu na pamoja na kuwa uamuzi huu ulikuwa umetolewa kupitia vikao halali, waheshimiwa hawa waliamini kuwa Dr. Slaa ndiyeadui wao na aliyewachomea utambi.
Nianze na Mwigamba.Huyu Bwana amedaiwa kuwa mcheleweshaji mkubwa sana wa ripoti za fedha za chama. Na kila ambapo ripoti hizo zikihitajika, hasa pale ambapo Dr. Slaa akitakiwakuzitolea maelezo/ufafanuzi au kuziwasilisha kwenye vikao halali kwa mujibu wakanuni na taratibu za chama ripoti huja kwa kuchelewa lakini zikiwa nachangamoto kadhaa na wakati mwingine kasoro. Ndipo wazo (ambaloLILIPINGWA VIKALI) la kutafuta accounting package lilipopatikana na Bi Josephine kuombwa kusaidia upatikanaji wa Package hiyo. Ikumbukwe kuwa Bi Josephine nimtu anayeendesha ofisi yake binafsi na yenye wafanyakazi kadhaa. Mbali nakufanya shughuli zingine kwenye ofisi yake, Bi Josephine ni mtaalamu aliyebobeakatika mambo ya programming na system analyst mzuri. Shahada yake ya kwanza yaChuo kikuu alisomea mabo hayo. Kwahiyo kwake yeye ishu hii haikumuumiza kichwa,alifanya kama alivyoombwa.
Katika uchunguzi wangu nilioufanya, HAKUNA MAHALA POPOTE….nasisitiza…HAKUNA MAHALA POPOTE…nasisitizatena HAKUJAONEKANA MAHALA POPOTE ambapo Bi Josephine aliomba, ama alidai aualilazimisha kupewa japo hela ya kupoteza muda wake achilia mbali hizo Mil. 10 zinazodaiwa kulipwa kwa Josephine.Mwana mama huyualijitolea yeye kama yeye na pia aliitoa hiyo package ili ijaribiwe naikionekana itafaa kwa matumizi ya chama ndipo waitumie
Bwana Mwigamba sio tualishindwa kuitumia hiyo package bali pia alijitetea kuikataa kwake kwa kudaiati ile package ya Josephine ni database tu na hivyo isingekuwa na msaada wowote kwa chama. Alipoulizwa Bwana Mwigamba kama anajua tofauti ya Accounting Packagena Database ndugu yetu huyo akabaki kutoa macho na mwishowe akadhihirisha kuwahakuweza kuitumia package hiyo mpya. Baada ya mapungufu na ubovu kadhaa kujionyesha dhahiri ndipo Bwana Mwigamba aliondolewa rasmi kwenye nafasi aliyokuwa nayo. Na yeye imemuumiza na kumkasirisha pamoja na kumfedhehesha sana
Erasto Tumbo. Huyu ndugu kila mwana JF anayejua ukweli wa mambo atakubaliana na mimi kuwa hakuwa akimsaidia Dr. Slaa katika suala zima la uenezi. Zaweza kupita propaganda hata kumi ambazo yeye alitakiwa awe "sharp" kuzipangua lakini utakuta anakaa tu nakungojea posho za vikao au posho binafsi pale ofisini. Huyu nae alipoenguliwa kwenye nafasi yake, alilalamika na kwakweli hakuridhika kabisa na mpango huo nakumwona Dk. Slaa kama adui namba 1
Katika kuthibitish kuwa Erasto Tumbo anahaha kuthibitisha madai yake, hadi sasa yuko bussy akichambua Payment vouchers za Dr. Slaa ili aje nazo hapa JF kama ushahidi kwamadai/utetezi alioutoa Dr. Slaa kuwa wanaomsakama waje na ushahidi hapa jukwaani. Alifika pale Ofisi za chama, akaomba apatiwe payment vouchers, Dr.Slaa alipotakiwa ku-authorise ombi lake alikubali kuwa apatiwe atafute anachokitafuta. Hadi sasa sijajua kama amepata ushahidi au la.
Sitaki niseme kama Tuntemeke na wenzake kuwa ni Mwigamba na Tumbo maana name calling kwa JF ni criminal offence, lakini kila aliye timamu anaweza kuhoji na kufuatilia kuona mtiririko wa mambo unavyokwenda.
Ukweli ni kuwa Dr. Slaa anapokuwa kwenye case kule Arusha, shughuli za Chama huwa zinafanyika pia. Vipo vikao vya siri vya chama vinafanyika ambavyo Slaa mwenyewe anapaswa kuwepo nakushiriki. Lakini pia kwa status ya Slaa pamoja na umuhimu wa vikao vyake pamoja na watu anaokutana nao, HAIWEZEKANI NA HAITAKUJA KUWEZEKANA akaendelea kukaa kwenye hoteli za Sh 40,000/=. Huu ukweli upo dhahiri na kwa mtu anayefikiria ndani ya box anaweza kuelewa kwa undani nini maana ya kuwa Katibu Mkuu wa chama kinachoongoza upinzani Tanzania tena Mtu wa aina ya Slaa. Uhai wake, na ulinzi wake pamoja na umuhimu wake sio vitu vya kuendelea kuviwekarehani hata kidogo.
Lakini pia kuna suala la mtoto mdogo Junior. Huyu mtoto mbali na usalama wa wazazi wake kuwa kitu muhimu, mtoto huyu kwa umri wake ni lazima na yeye aishi mahali penye usalama kila anapokuwa nje ya makazi ya wazazi wake.Makazi yenye usalama ambayo yako dhahiri kwa mtoto huyo na wazazi wake hayawezi kupatikana kwenye hoteli za kawaida za gharama za chini. Hii ndio siasa, na haya ndio mafuta ya siasa na gharama kama hizi ndizo zinazotokea kwenye siasa.
Nimefuatilia kuhusu madereva wanaompeleka Josephine kanisani, HAKUJAWAHI KUTOKEA HILO JAMBO. Huu niuongo tena umesukwa mahususi na ndugu zetu hao ambao nataka niwahakikishie wanaJF wanaosuka mpango huu HAWANA UHUSIANO NA WALIOSHINDWA BAVICHA. Josephine anadrive gari yake mwenyewe. Na analihudumia gari lake mwenyewe kwa pesa halali ya jasho lake hata pale anapokuwa anafanya baadhi ya kazi za kukisaidia Chama. Kama kuna madereva wanalipwa basi ni kutokana na kazi zao kwa mujibu wa mikataba yao ndani ya chama.
Kifupi tu nimalizie kwakusema kuwa, kama umeshindwa kazi na mamlaka halali zikakutoa kwenye nafasi uliyokuwa nayo, ni vema ukawa na adabu na kutulia ikiwezekana kuomba radhi nahuenda ukapewa onyo ukarudishwa kwenye nafasi yako. Uzushi wa kabila hili kamaulivyotolewa na kina Tuntemeke hauwasaidii wao wala hauna tija kwao.
Kusema ukweli wanaofanya fitna hizi hawana link ya moja kwa moja na waasi wa BAVICHA kwa sasa.