Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!

Magufuli is clueless on economics. Jana nimemsikia akisema kwamba wafanyakazi wanaolalamika kwamba maisha ni magumu wakati mishahara yao bado wanapata ile ile. Akasema hao wote wanaolalamika walikuwa wapiga dili! Nikabaki mdomo wazi.

Naona he has no idea kwamba kuna mambo mengi yanasababisha ugumu wa maisha hata kama mshahara ni ule ule. Hajui hata concept ya purchasing power? Vitu vikipanda bei kutokana na uzalisha kupungua, mtu si atalazima kutumia pesa zaidi?! Watu wanakosa kazi kutokana na kampuni na biashara kufa. Hawa wanaongeza utegemezi kwa ndugu zao ambao baadhi ni wafanyakazi wa serikali wanaopata mishahara ile ile, lakini wategemezi wanaongezeka. Serikali inavyoshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi, anategemea nini kama siyo kuongeza mzigo kwa wazazi, ndungu, jamaa na marafiki ambao baadhi yao ni wafanyakazi wa serikali wanaopata mishahara ile ile!!

Kweli tuna Rais!
 
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
Mkuu wakati shares za precision air zinakuwa under subscribed Mh. Rais Magufuli alikuwepo? Wakati Kioko anaifilisi Precision Air Mh. Magufuli ndio alikuwepo. Kufahamu kweli kwamba matatizo ya Precision Air yaliletwa na ule ubia na wenzetu?
 
Nd
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
Ndio muda wa serikali kuleta zile ndege zake walizosema zinakuja.Walete mapema maana viwanda vinaongezeka na uchumi unakua haraka kama wa India.
 
Hakuna jipya.

ATCL ilifirisika kipindi cha Magufuli?

Community Air nayo ilipotea kipindi cha Magufuli?.

Kupunguza wafanyakazi ama kampuni kufirisika hakujaanza Leo nchi hii.
 
Nakumbuka obama alivyoingia madarakani alikuta ulimwengu umetoka kwenye "economic depression"...au "money crunch"...aliita key "economic players" ili kuangalia ni wapi panahitaji marekebisho na nini kifanyike koz alielewa kwa uchumi ulivyo hawa wafanyabiashara ndio wanajua zaidi kuliko yeye ingawaje ana wizara maalum ya kushughulikia uchumi na biashara,tukaona "bail out" kwa kampuni kubwa za wazawa ili kuupa uchumi pumzi mpya...huu ndio uongoz tunaoutarajia,koz kama watu wanalia biashara zimeyumba,biashara zinafungwa,wawekezaji wanaondoka,ajira zinasumbua,tunahitaji mijadala,sio vijembe na maneno ya kashfa "wapiga deal"...binafsi naumizwa sana na approach ya uongoz wa sasa..hatuna mijadala kama taifa,tumekuwa wa baridi ghafla,hatuna wa kutusemea,ni matamko tu,sio saaaaawa!
Hilo la Obama hata mimi nilifurahia ile approach. Obama ni moja ya viongozi wa Marekani ukiacha J. Carter ambao waliabudu demokrasia ya kweli.
 
Paskali, najua concern yako!

But kweli unaamini Precision inaweza kuwa wafanyakazi 136!?

Kwa ndege zipi ilizonazo, au ofisi ngapi ilizonazo kuajiri wafanyakazi wengi hivyo..!

Kweli hali ni ngumu sana, but precision haina idadi hiyo ya wafanyakazi. I stand to corrected, firm and bold!
 
Leo pascal kaongea kweli na dhati ya moyo wake na Kama taaluma inavyotaka aseme.
Hongera sana kwa u turn uliyofanya .kumbe watu wana akili na wakati fulani wanajitoa.....Asante kwa kubadilika.unahitaji akili ya kwenda wazimu ku mu support the big man
 
...and keep on check makampuni yote ya wakala wa meli yanakata roho eti nasaco inarudi tena,time will tell huku tunakoelekea
 
Paskali wewe si ndie ulietoa suggestion magufuli apite 2020 bila uchaguzi na aongezewe muda? Mbona kama leo naona unatoa malalamiko na kuadmit kuwa hali ni ngumu kweli.
 
Back
Top Bottom