.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo tuanze kuomboleza?
.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo tuanze kuomboleza?
Anajua basi hayoWewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
Siyo kweli, uchumi hauko hivyo. Ndio maana pamoja na China kuwa mshindani mkubwa wa US, lakini US haombei China afilisike. Only in Africa ndo mwenye duka anaweza kumuombea mtumishi apate redundance.Wale ni maadui kila mtu anamuombea mwenzake njaa
.Mdororo wa uchumi ni jambo la kawaida duniani na hiyo sio mara ya kwanza kwa Ujerumani kupitia hiyo hali na haitakuwa ya mwisho vilevile.
Sisi hapa Tanzania tumekuwa na mdororo wa uchumi toka tulivyotoka kwenye vita na Uganda mwaka 1979 hadi leo lkn wengi humu hawazungumzii hilo kwa sababu hawajui kitu ni ushabiki tu.
Kuna kampuni ya Ufaransa inaitwa Amundi inadeal na asset management iliyowekeza Marekani baada ya kuona hata uchumi wa Marekani haueleweki leo wameamua kuhamia China kwa sababu kuna ukuaji wa uchumi
View attachment 2634682
Tatizo wewe unadandia gari kwa mbele, mind set nyingine ya kibongobongo. Unajua ni kwa nini nimem-challenge hivyo? Issue hapa siyo hiyo habari ila issue ni huyo mjinga analeta ushabiki mbuzi wa kilimbukeni..
Russia - Ukriane war the main cause..!! No more Russian Gas into Germany, Russia walikata kabisa supply to Germany, hali mbayaa
.Uchumi wa Russia mwaka huu mpaka sasa umesinyaa kwa 1.9% , mapato yake ya nishati ya gesi na mafuta yameanguka kwa 50% na pengo la bajeti yake limeongezeka kwa 17%.
Uchumi wa Europe ukiyumba na US haponi. Degree of economic and financial integration kati ya EU na US ni kubwa sana. Ajiandae na " New Marshall Plan in the 21st century"
kuna natariView attachment 2634738
Si kuwa anawapotosha, bali anajiandalia soko la uhakika kwa bidhaa zake huku akiisumbua Urusi.Putin anawaangalia tu! Hayo ndio madhara ya kuiweke vikwazo Urusi na kulipua bomba la gesi. USA anawapotosha wenzake.View attachment 2634609
Ulete na data kutoka kwenye vyanzo vinavyo tambulika kimataifa na sio kutoka kichwani mwako.Uchumi wa Russia mwaka huu mpaka sasa umesinyaa kwa 1.9% , mapato yake ya nishati ya gesi na mafuta yameanguka kwa 50% na pengo la bajeti yake limeongezeka kwa 17%.
.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2634741
Mdororo wa uchumi ni jambo la kawaida duniani na hiyo sio mara ya kwanza kwa Ujerumani kupitia hiyo hali na haitakuwa ya mwisho vilevile.
Sisi hapa Tanzania tumekuwa na mdororo wa uchumi toka tulivyotoka kwenye vita na Uganda mwaka 1979 hadi leo lkn wengi humu hawazungumzii hilo kwa sababu hawajui kitu ni ushabiki tu.
Uchumi wa Russia mwaka huu mpaka sasa umesinyaa kwa 1.9% , mapato yake ya nishati ya gesi na mafuta yameanguka kwa 50% na pengo la bajeti yake limeongezeka kwa 17%.
Si kuwa anawapotosha, bali anajiandalia soko la uhakika kwa bidhaa zake huku akiisumbua Urusi.
[emoji1787]Atavuna anachopanda, Biden huko aliko anachekelea