Uchumi wa Germany hali ni mbaya

Uchumi wa Germany hali ni mbaya

Uchumi wa Germany ulikua na spidi ya 5G walikurupuka kutoa sanctions zinazowaumiza
Germany ndiye giant wa Ulaya kiuchumi anatetereka.

Kwa kifupi hali ya uchumi kwa mataifa ya Ulaya ni mbaya sana

Hayo mataifa mengine nayo uchumi wao unakua kwa asilimia 0 point kadhaa

Na bado wanapigwa na high unemployment rate
 
Nenda kamsaidie scholz kupandisha uchumi sio kulialia humu ndani unakuta hata uchumi hujui.
Wewe ni m'bongo halisi. Typical Bongo mindset. Kushabikia vitu ambavyo hata huna ufahamu navyo ili tu uonekane eti mjanja. Subiri basi Mjerumani aanguke! 🤣 🤣 🤣
 
Lakini tuliweka hivi vikwazo ili Urusi ipitie haya matatizo, imekuwaje tena?

Unamwekea vikwazo mtu anayekupa cheap energy na ya uhakika zaidi ya 60% kwnye uchumi wako. Unampa vikwazo unakwenda kununua ya US anayekucharge 4x ya Gas ya Russia bado haifiki ontime. What do you expect?
 
Hali ni mbaya sana kwa west.
Kuna kampuni ya Ufaransa inaitwa Amundi inadeal na asset management iliyowekeza Marekani baada ya kuona hata uchumi wa Marekani haueleweki leo wameamua kuhamia China kwa sababu kuna ukuaji wa uchumi

20230525_204504.jpg


Kizzy Wizzy
 
Wewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
Heli yako umeona mbali .

yaani babaake anayumbu huyo nyumbu anashangilia hakika hazimtoshi
 
Back
Top Bottom