Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,859
Angejiuliza kwanza kwa nini hiyo habari imegonga sana headlines kwenye media nyingi kubwa dunianiDogo hajui hata uchumi hapo unakuta ana education ya kiswahili![]()
Angejiuliza kwanza kwa nini hiyo habari imegonga sana headlines kwenye media nyingi kubwa dunianiDogo hajui hata uchumi hapo unakuta ana education ya kiswahili![]()
Nyie wachumi mnaopanga mipango wa uchumi wa dunia ndiyo mnajua! Mko wengi tunajua na mwingine ni Mwingulu! Ni mtaalam kama wewe.Dogo hajui hata uchumi hapo unakuta ana education ya kiswahili![]()
Tatizo wewe unadandia gari kwa mbele, mind set nyingine ya kibongobongo. Unajua ni kwa nini nimem-challenge hivyo? Issue hapa siyo hiyo habari ila issue ni huyo mjinga analeta ushabiki mbuzi wa kilimbukeni..Angejiiza kwanza kwa nini hiyo habari imegonga sana headlines kwenye media nyingi kubwa duniani
Uchumi wa Europe ukiyumba na US haponi. Degree of economic and financial integration kati ya EU na US ni kubwa sana. Ajiandae na " New Marshall Plan in the 21st century"Du marekani anawatesa wenzake
Sijaona mahala aliposhabikiaWewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
Aisee kupenda ni ugonjwa,penye chongo huita kengeza.Ni kawaida kuwa na recession, na growth, uchumi wa nchi lazima upitie kwenye hivi vipindi
Yes, but causes matter a lot.Ni kawaida kuwa na recession, na growth, uchumi wa nchi lazima upitie kwenye hivi vipindi
Kweli aiseeAisee kupenda ni ugonjwa,penye chongo huita kengeza.
Ingekua Urusi ndio Ina Hali hiyo,mngesema vikwazo vinafanya kazi.
Hali hiyo ingeipata Urusi ,vipi?Una elewa maana ya recession?
Acha kabisa ndugu yangu,Kuna watu wanaiona USA ni safi kwa Kila kitu.Kweli aisee
Wewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
Bora mfe ili kije kizazi kinachojielewa ili kujenga Africa mpyaWewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
Wale ni maadui kila mtu anamuombea mwenzake njaa ili aprove point yake ni kama wewe unavyofurahia uchumi wa ujeruman kuwa katika hali mbaya hio ni nature ya binadamu woteHali hiyo ingeipata Urusi ,vipi?
Wangeimba nyimbo zote kuwa vikwazo vimeua uchumi wa Urusi tayari. Wanheshangilia na kuimba nyimbo na Kila aina ya shagwe nderemonna vifijo.
Hii ndo kupenda inaitwa .
USA akijamba watasema kapumulia nyuma.
Kijikwaa na Akianguka watakumbia anazuga TU ni mtego Kuna mtu kategwa.
Bora mfe ili kije kizazi kinachojielewa ili kujenga Africa mpyaWewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
.Mmarekani amewaangiza chaka wenzake