Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
- Thread starter
- #81
.Hata dollar ni shida kupata bank, kupata dollar 1000 tu ni mtihani kwa sasa. Ngoja tuone hii vita ila tulisema, Russia ni nchi kubwa kuipa vikwazo ni kuhatarisha uchumi wa Dunia. Kuna watu wanakwambia Russia maskini, Russia alikua anashikilia uchumi wa West kwa asilimia kubwa sana.
Inaitwa deal gonbe wrong[emoji1]Lakini tuliweka hivi vikwazo ili Urusi ipitie haya matatizo, imekuwaje tena?
Mkuu unaonge unjinga, unajua kabisa ukikosa mafuta au gesi viwanda unavyo vitegemea kwenye uchumu vina suffer na viki suffer uchumi unakufa alafu unaenda kuharibu bomba kisa huogopi lolote, una akili wewe?Usipgope outcome za maisha utajikuta hakuna jambo lolote lile unafanya kwa kukuogopa kufail
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]Made in Germany. [emoji16][emoji16]
Assembly in America. [emoji44][emoji15]
Destroyed in USSR [emoji3166][emoji3064]
Eu waliingizwa Cha kike[emoji1]Unamwekea vikwazo mtu anayekupa cheap energy na ya uhakika zaidi ya 60% kwnye uchumi wako. Unampa vikwazo unakwenda kununua ya US anayekucharge 4x ya Gas ya Russia bado haifiki ontime. What do you expect?
Eu waliingizwa Cha kike[emoji1]
Bongo mindset! Kwani hata kama mimi siyo mwanaume kuna shida gani? Kunakwamisha bingwa wa uchumi kama wewe kupanga mipango ya nchi yetu? 🤣 🤣 🤣Upinde taarifa za West zinawauma sana. Nilivyoandika thread ya kuanguka kwa uchumi wa Germany wewe imekuuma? Au wewe ni mjeruman mweusi??. Kama wewe ni mwanaume nawasiwasi
Hakujawahi kutokea urafiki kati ya paka na panya au simba na nyumbu. EU wamejichanganya sana kwa USA na kinachowatokea hawana budi kukikabili kwani wamejiingiza kwenye mtego wenyewe.Eu waliingizwa Cha kike[emoji1]
Ni chiziMkuu unaonge unjinga, unajua kabisa ukikosa mafuta au gesi viwanda unavyo vitegemea kwenye uchumu vina suffer na viki suffer uchumi unakufa alafu unaenda kuharibu bomba kisa huogopi lolote, una akili wewe?
Hatutakufa Kama Mungu aishivyo!Wewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
Du marekani anawatesa wenzake
Hali hii ni dunia nzima ,kiufupi tupo kwenye recession ingawa haijatangazwa , wewe hapo na uchumi wa kuunga unga unajiona uko salama sio ? , Na uchumi wa kutegemea mikopo na handsout toka ulaya na Marekani Una guts za kuicheka Germany , kiufupi mlitakiwa kulia na kuomboleza kabisa kwa yanayoendelea , unafikiri hizo nchi zikipata mdororo wa uchumi ni nini kitu cha kwanza watafanya kama sio kukata hizo handsout ,grants na loans kwenda nchi masikini hizi kama Tanzania ambazo nusu na pengine zaidi ya nusu ya bajeti zake ni hiyo mikopo na misaada ?Germany ndiye giant wa Ulaya kiuchumi anatetereka.
Kwa kifupi hali ya uchumi kwa mataifa ya Ulaya ni mbaya sana
Hayo mataifa mengine nayo uchumi wao unakua kwa asilimia 0 point kadhaa
Na bado wanapigwa na high unemployment rate
Uchumi wa Europe ukiyumba na US haponi. Degree of economic and financial integration kati ya EU na US ni kubwa sana. Ajiandae na " New Marshall Plan in the 21st century"
Wengi hawajui economics inavyofanya kazi ndio shida ,ni malaymen tu wapo tu na ushabiki wa vijiweni , uchumi wa dunia kwa sasa ni symbiosis , ikitokea hitilafu mahala ni shida katika mfumo mzimaSiyo kweli, uchumi hauko hivyo. Ndio maana pamoja na China kuwa mshindani mkubwa wa US, lakini US haombei China afilisike. Only in Africa ndo mwenye duka anaweza kumuombea mtumishi apate redundance.