Uchumi wa Germany hali ni mbaya

Uchumi wa Germany hali ni mbaya

Marekani anaua ndege wawili kwa jiwe moja, anamnyoosha Mrusi na anambana EU aliyekuwa anaanza kuinua kiburi dhidi yake ,hasa kwenye tarrifs za kibiashara , usicheze na Uncle Sam , Uncle Sam plays a long game .Ni master wa hizi kazi .

Marekani ambaye anafilisika kila siku, wanapambana na debt ceiling sahivi, demand ya dollar inashuka kwa kasi ya 4G, bank zake zinafilisika. Kadri anavyokaza fuvu ndo anazidi kuwa na hali mbaya kiuchumi.
 
Hali hii ni dunia nzima ,kiufupi tupo kwenye recession ingawa haijatangazwa , wewe hapo na uchumi wa kuunga unga unajiona uko salama sio ? , Na uchumi wa kutegemea mikopo na handsout toka ulaya na Marekani Una guts za kuicheka Germany , kiufupi mlitakiwa kulia na kuomboleza kabisa kwa yanayoendelea , unafikiri hizo nchi zikipata mdororo wa uchumi ni nini kitu cha kwanza watafanya kama sio kukata hizo handsout ,grants na loans kwenda nchi masikini hizi kama Tanzania ambazo nusu na pengine zaidi ya nusu ya bajeti zake ni hiyo mikopo na misaada ?

Kwa Taifa lenye Natural resources kama TZ hatuna haja ya Misaada ni vile tunakosa viongozi wa kusimamia maliasili zetu. Angalia Asia wanalia na misaada?? Wanamafuta tu ila uchumi wao uko juu. Africa tulilaaniwa kama ndo watu kama wewe mnaopenda misaada kazi ipo.
 
Wengi hawajui dunia tunaelekea pabaya sana kiufupi mimi sipendi kabisa hii vita ,uchumi wa dunia uko linked Kwa nyanja nyingi sana ,ukiona mmoja anatetereka hiyo ni harufu ya hatari na itaathiri wengine pia ,mfano hizi recession zikiwa severe Europe na USA hata hizo nchi za asia mfano china ,india nk hazitabaki salama ,watasuffer vibaya ukizingatia kwanza ,raia wao wengi bado ni poor na wanazalisha kuuza kwa wingi nchi za ulaya na Marekani sasa hilo soko liliteteleka watamuuzia nani mwenye purchasing power hiyo , huoni kwamba wao uchumi wao pia utadorora na kuathirika pakubwa pia ? ,Afrika ndio hiyo ,poor old continent linalotegemea mikopo na misaada toka Europe na North America ,
Hiyo ni feedback loop moja hatari sana

Si mlisema Russia hana msaada duniani? Hayo yote sababu ya vikwazo kwa Russia. Wanaolalamika ni hao West na huku Africa tuliozoea vya kupewa.
 
Du marekani anawatesa wenzake
Na amefanya hiyo makusudi kama vita ya pili ya dunia.

Hii humsaidia yeye kubaki super power.

Kwa marekani ana akiba ya kutosha ya nishati na hamtegemei yeyote directly kupata nishati.

Anajua anachofanya.

Ujerumani ni kubwa jinga.
 
Na amefanya hiyo makusudi kama vita ya pili ya dunia.

Hii humsaidia yeye kubaki super power.

Kwa marekani ana akiba ya kutosha ya nishati na hamtegemei yeyote directly kupata nishati.

Anajua anachofanya.

Ujerumani ni kubwa jinga.
Hata Tanzania ina rasilimali za kutosha lakini ni moja ya nchi zinazotia aibu kwa kuomba omba ulimwenguni.
 
Hali hii ni dunia nzima ,kiufupi tupo kwenye recession ingawa haijatangazwa , wewe hapo na uchumi wa kuunga unga unajiona uko salama sio ? , Na uchumi wa kutegemea mikopo na handsout toka ulaya na Marekani Una guts za kuicheka Germany , kiufupi mlitakiwa kulia na kuomboleza kabisa kwa yanayoendelea , unafikiri hizo nchi zikipata mdororo wa uchumi ni nini kitu cha kwanza watafanya kama sio kukata hizo handsout ,grants na loans kwenda nchi masikini hizi kama Tanzania ambazo nusu na pengine zaidi ya nusu ya bajeti zake ni hiyo mikopo na misaada ?
Hakuna anayewacheka ila walifanya maamuzi ya kijinga
 
Marekani ambaye anafilisika kila siku, wanapambana na debt ceiling sahivi, demand ya dollar inashuka kwa kasi ya 4G, bank zake zinafilisika. Kadri anavyokaza fuvu ndo anazidi kuwa na hali mbaya kiuchumi.
Marekani ambaye anafilisika kila siku, wanapambana na debt ceiling sahivi, demand ya dollar inashuka kwa kasi ya 4G, bank zake zinafilisika. Kadri anavyokaza fuvu ndo anazidi kuwa na hali mbaya kiuchumi.
Hujui unaloongea wewe , nionyeshe ni sarafu ipi imepanda thamani dhidi ya dollar ,tangia vita ianze , halafu kuna kitu wengi mnachanganya kuna deflation na inflation , US federal reserve wamepandisha interest rates ,hiyo ya kujidanganya dollar itashuka thamani ni ndoto za akina cha za watu wasiojua economics ,
Kama unataka kujua tuko kwenye deflation au kuhadimika kwa US dollar nenda benki katafute USd kesho au waulize wafanya biashara wanaofanya biashara ya kuimport bidhaa nchi za nje wakupe habari ya maumivu wanayoyapata kwa sasa kwenye upatikanaji wa dollar na kushuka kwa thamani ya pesa dhidi ya dollar kwemye kuagiza mizigo nje ya nchi .

Na hili actually anayeumia na kuwa looser ni nchi masikini hizi ombaomba zisizo na mbele wala nyuma kama Tanzania hii ,wala msijidanganye .
Kwa sasa currency nyingi zimeshuka na zinazidi kushika thamani dhidi ya US dollar , na hiyo inapelekea hata imports kuwa gharama kubwa ,vitu kama madawa , fuel , mitambo , Electronics , nk ,hizo bidhaa nyingi hazizalishwi third world countries kama hizi za Africa ,sasa unafikiri ni nani anaumia hapo , Marekani yeye atabenefit kwenye global trade maana ataweza kuendelea kutumia pesa kidogo na kubuy bulk quantities ya bidhaa maana thamani ya pesa yake ni kubwa ,

Na mnapoongelea debt ceiling wengi hawaelewi hata ni nini , ile ni limit iliyowekwa au ukomo wa serikali ya Marekani kukopa , na debt ceiling imeshakuwa raised mara sabini na zaidi tangia hiyo policy ya ukomo WA kukopa /debt ceiling ianzishwe hapo Marekani , kinachotokea saa hivi ni mgongano wa kisiasa kati ya Republicans na democrats kutokana na uadui wao na ugomvi wao wa kisiasa .
 
Wewe kaa kinanga-nanga ukishabikia mambo yasiyokuhusu ukidhani wenzako wataanguka kumbe wewe ndiyo utakiona cha moto. Tanzania tunaendesha serikali yetu kwa kutumia hawa, hivyo wakitetereka sisi tunakufa..
Mbona umeumia kuliko wa Germany wenyewe.
 
Hujui unaloongea wewe , nionyeshe ni sarafu ipi imepanda thamani dhidi ya dollar ,tangia vita ianze , halafu kuna kitu wengi mnachanganya kuna deflation na inflation , US federal reserve wamepandisha interest rates ,hiyo ya kujidanganya dollar itashuka thamani ni ndoto za akina cha za watu wasiojua economics ,
Kama unataka kujua tuko kwenye deflation au kuhadimika kwa US dollar nenda benki katafute USd kesho au waulize wafanya biashara wanaofanya biashara ya kuimport bidhaa nchi za nje wakupe habari ya maumivu wanayoyapata kwa sasa kwenye upatikanaji wa dollar na kushuka kwa thamani ya pesa dhidi ya dollar kwemye kuagiza mizigo nje ya nchi .

Na hili actually anayeumia na kuwa looser ni nchi masikini hizi ombaomba zisizo na mbele wala nyuma kama Tanzania hii ,wala msijidanganye .
Kwa sasa currency nyingi zimeshuka na zinazidi kushika thamani dhidi ya US dollar , na hiyo inapelekea hata imports kuwa gharama kubwa ,vitu kama madawa , fuel , mitambo , Electronics , nk ,hizo bidhaa nyingi hazizalishwi third world countries kama hizi za Africa ,sasa unafikiri ni nani anaumia hapo , Marekani yeye atabenefit kwenye global trade maana ataweza kuendelea kutumia pesa kidogo na kubuy bulk quantities ya bidhaa maana thamani ya pesa yake ni kubwa ,

Na mnapoongelea debt ceiling wengi hawaelewi hata ni nini , ile ni limit iliyowekwa au ukomo wa serikali ya Marekani kukopa , na debt ceiling imeshakuwa raised mara sabini na zaidi tangia hiyo policy ya ukomo WA kukopa /debt ceiling ianzishwe hapo Marekani , kinachotokea saa hivi ni mgongano wa kisiasa kati ya Republicans na democrats kutokana na uadui wao na ugomvi wao wa kisiasa .

Wewe ndo hujui economics wenyewe wanakiri hali ni mbaya kwa sasa bank zao zilizokufa kama SVB unazungumziaje hili?? US kwa sasa haprint karatas zake zile. Demand ya dollar inazidi kushusha siku hadi siku, ni nini impact yake? Mataifa yameanza punguza utegemezi kwenye dollar tumebaki Africa tu ambao hatujitambui ndomana kelele ni nyingi.

Si umeona leo Makamba amesema mradi mpya wa umeme ulipwe kwa Tshs na sio dollar kwanini?. Dollar inavyozidi kuwa shida hapo ndo tunaona nchi nyingi zimeamua kutrade kwa currency zao. Hizi kelele huwezi kuzisikia Asia ila Africa

Na wewe unajua impact ya kupandisha interest rates ni zipi kwenye uchumi, kumbuka dollar inatumika kwenye international Transactions. Hali ikizid kuwa mbaya alternative itapatikana tu ni suala la muda, kumbuka dollar ni Fiat money.
 
Back
Top Bottom