SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Canada wana mafuta mengi sana Na vile vile mining and manufacturing sectors ziko vizuri sana
It's a diversified economy
It's a diversified economy
Canada wana mafuta mengi sana Na vile vile mining and manufacturing sectors ziko vizuri sana
It's a diversified economy
Natural resources unawez kuwa nazo nyingi kupindukia lakini ukashindwa namna ya kuzitumia kukunifaisha.
Case in point, Nigeria.
Msingi wa uchumi mzuri ni utawala bora na utawala wa kisheria.
Kuna nchi wala hazina rasilimali asili nyingi lakini zina uchumi mzuri, mkubwa, na ulioendelea.
Natural resources unawez kuwa nazo nyingi kupindukia lakini ukashindwa namna ya kuzitumia kukunifaisha.
Case in point, Nigeria.
Msingi wa uchumi mzuri ni utawala bora na utawala wa kisheria.
Kuna nchi wala hazina rasilimali asili nyingi lakini zina uchumi mzuri, mkubwa, na ulioendelea.
Burma ndiyo ilikua na kilimo pendwa...Kilimo cha mpunga Burma.Unakumbukumbu..tulikuwa tunakaa nyuma then vimaswali
Kilimo cha ngano? Canada
Kilimo cha ndizi? Jamaica
Ufugaji wa ng'ombe? Denmark
Ufugaji wa samaki? Norway
Kilimo cha mpira? Malaysia
Kilimo cha mahindi? Marekani
Nilikuwa makini sana..maana mhindi alikuwa anachukua karanga au kababu
Nadhani watakua wameondolewa kwa kuwa wanatia kichefuchefu wenzao kwa tabia zao za kula minyoo, konokono, mende, funza, nzi, mbu na wengineo.Mkuu kwa usahihi wako kwenye G8 na members kamili ni kama ifuatavyo
Hawa ndio wababe kiviwanda duniani. Ila sijui kwa nini CHINA haimo.
Hata Sweden wana utawala bora
but huioni top ten
Canada wana produce nini zaidi?
Inaelekea unahitaji kujifunza abc za kiuchumi, utashangaaje kutokuiona nchi ya Sweden kwenye hizo hulizoziita Top ten wakati Sweden ina chini ya watu milioni 10 tu? Kanada inaonekana ina Uchumi mkubwa klk Sweden kwa sababu Kanada ina watu wengi mara tatu ya Sweden, hivyo logically Kanada itakuwa na uchumi mkubwa lkn haimaanishi kwamba ina higher standard of living klk Sweden kuwa mwangalifu hapo, ukubwa wa uchumi usikufumbe macho kwani unategemeana sana pmj na mambo mengine pia idadi ya watu ya nchi husika!
Kiuhalisia Kanada haizidi Sweden kwenye standard of leaving ni kwamba tu Kanada ina watu wengi zaidi lkn kama unaongelea higher living standards Sweden wako juu ya Kanada!
Acha kukariri na kujitoa ufahamu
Tanzania ina watu wengi kuliko hiyo Canada
Nigeria ina watu wngi na ina mafuta kuliko hiyo Canada
Soma vizuri nilichoandika, nimesema pamoja na mambo mengine idadi ya watu inasababisha ukubwa wa uchumi na ndiyo maana ukubwa wa uchumi pekee siyo kigezo ya utajiri wa nchi kuna vigezo vingine kama per capital income au Human develepment index n.k. kwa mfanio Uchina ni nchi ya pili wa kama siyo ya kwanza kwa uchumi mkubwa Duniani, lkn uchina bado ni developing country au India ina uchumi mkubwa klk Uswisi au Kanada lkn India bado ni developing country, sasa utaona sababu ya India au Uchina kuwa na uchumi mkubwa ni kwa sababu wana over 1 bilion people lkn ukija kwenye per capital income bado ni relativela poor countries!
Wewe hujaelewa
hayo yoote yanafahamika
na hapa swali wala halikuwa why Canada ina uchumi mzuri
Swali hapa ni why iwe top ten?
kama ni population zipo nchi zina population kubwa tu
Jiulize why Canada imeizidi South Korea?
mbona South Korea wana population kubwa?
na kamppuni kubwa na wana brand za kimataifa tele?
Samsung peke yake ni kubwa kuliko uchumi wa South Africa
lakini bado Canada uchumi wake ni juu kuliko South Korea..
Kila mara huwa naona Canada inatajwa kwenye top ten
ya nchi zilizo na uchumi bora duniani
juu ya South Korea na nchi nyingi tu
kuna mtu anaweza niambia hasa Canada wanafanya nini special
kiwafanye wawe juu kiuchumi?
Assnte kwa darasa mkuuWewe hujaelewa
hayo yoote yanafahamika
na hapa swali wala halikuwa why Canada ina uchumi mzuri
Swali hapa ni why iwe top ten?
kama ni population zipo nchi zina population kubwa tu
Jiulize why Canada imeizidi South Korea?
mbona South Korea wana population kubwa?
na kamppuni kubwa na wana brand za kimataifa tele?
Samsung peke yake ni kubwa kuliko uchumi wa South Africa
lakini bado Canada uchumi wake ni juu kuliko South Korea..