Uchumi wa Canada una nini cha ziada?

Uchumi wa Canada una nini cha ziada?

Enzi hizo nadhani Std. V or VI somo la jiografia - kilimo cha ngano Canada huko katika mbuga za Saskatchewan. Nadhani ngano iliwainua sana hawa jamaa.

Kubwa kuliko yote, kilichowainua zaidi ni kuwekeza sana katika brains za watu wao na kutumia brains hizo kubadili mazingira na maliasili zao kwenda katika tafsiri halisi na sahihi ya UCHUMI.
 
Enzi hizo nadhani Std. V or VI somo la jiografia - kilimo cha ngano Canada huko katika mbuga za Saskatchewan. Nadhani ngano iliwainua sana hawa jamaa.
Unakumbukumbu..tulikuwa tunakaa nyuma then vimaswali
Kilimo cha ngano? Canada
Kilimo cha ndizi? Jamaica
Ufugaji wa ng'ombe? Denmark
Ufugaji wa samaki? Norway
Kilimo cha mpira? Malaysia
Kilimo cha mahindi? Marekani

Nilikuwa makini sana..maana mhindi alikuwa anachukua karanga au kababu
 
Hata Sweden wana utawala bora
but huioni top ten
Canada wana produce nini zaidi?

Haya mambo ya uchumi huwa yako changamani.

Hivyo kuwa kwenye 10 bora ya uchumi mkubwa haimaanishi moja kwa moja huo uchumi ni bora.

China ina uchumi mkubwa kuliko Sweden lakini ubora wa maisha ya Sweden unaweza kuulinganisha na ubora wa maisha ya China?

Canada wana viwanda vingi tu. Kuna makampuni kibao ya Kimarekani na mataifa mengine yaliyowekeza huko.

Kuna uvuvi, migodi ya madini, mafuta, kampuni ya Bombardier ni ya Canada, na mengineyo mengi tu.
 
Hata Sweden wana utawala bora
but huioni top ten
Canada wana produce nini zaidi?
Unakumbukumbu..tulikuwa tunakaa nyuma then vimaswali
Kilimo cha ngano? Canada
Kilimo cha ndizi? Jamaica
Ufugaji wa ng'ombe? Denmark
Ufugaji wa samaki? Norway
Kilimo cha mpira? Siri lank
Kilimo cha mahindi? Marekani

Nilikuwa makini sana..maana mhindi alikuwa anachukua karanga au kababu
Ha ha ha! Sri Lanka ilikuwa chai Mkuu; mpira ilikuwa Malaya (Malaysia). Kuna sufi Australia; buni (kahawa) - Brazil; n.k. Leo mambo hayo yamepitwa na wakati, vijana wanazungumzia hi-tech tu siku hizi.
 
Haya mambo ya uchumi huwa yako changamani.

Hivyo kuwa kwenye 10 bora ya uchumi mkubwa haimaanishi moja kwa moja huo uchumi ni bora.

China ina uchumi mkubwa kuliko Sweden lakini ubora wa maisha ya Sweden unaweza kuulinganisha na ubora wa maisha ya China?

Canada wana viwanda vingi tu. Kuna makampuni kibao ya Kimarekani na mataifa mengine yaliyowekeza huko.

Kuna uvuvi, migodi ya madini, mafuta, kampuni ya Bombardier ni ya Canada, na mengineyo mengi tu.

Scandinavia naona ndo wanaongoza duniani kwa ubora wa misha
kinchi kama Finland tu hatukiwezi
 
Ha ha ha! Sri Lanka ilikuwa chai Mkuu; mpira ilikuwa Malaya (Malaysia). Kuna sufi Australia; buni (kahawa) - Brazil; n.k. Leo mambo hayo yamepitwa na wakati, vijana wanazungumzia hi-tech tu siku hizi.
Kumradhi mkuu...limenitoka yeah for real ilikuwa Malaysia...
 
Kila mara huwa naona Canada inatajwa kwenye top ten
ya nchi zilizo na uchumi bora duniani
juu ya South Korea na nchi nyingi tu

kuna mtu anaweza niambia hasa Canada wanafanya nini special
kiwafanye wawe juu kiuchumi?


Mkuu kwa usahihi wako kwenye G8 na members kamili ni kama ifuatavyo

USA
UK
JAPAN
GERMANY
CANADA
ITALY
FRANCE
RUSSIA

Hawa ndio wababe kiviwanda duniani. Ila sijui kwa nini CHINA haimo.
 
Scandinavia naona ndo wanaongoza duniani kwa ubora wa misha
kinchi kama Finland tu hatukiwezi

Halafu Bossman unajua kuwa na uchumi mkubwa si sawa na kuwa na uchumi ulioendelea?

Kwa mfano, kwa miaka kama 3 hivi Nigeria iliipiku Afrika Kusini kwa kuwa na uchumi mkubwa Afrika.

Lakini Afrika Kusini bado ilikuwa na more developed economy kuliko Nigeria.

China ina uchumi mkubwa kuliko Ujerumani na Uingereza lakini uchumi wake haujaendelea kama wa hizo nchi.
 
Si
Umekosea China ipo now Italia iliondolewa


Sikujua. Italy waliondolewa lini mkuu?

Screenshot_2016-09-06-18-36-01-1.png
 
Halafu Bossman unajua kuwa na uchumi mkubwa si sawa na kuwa na uchumi ulioendelea?

Kwa mfano, kwa miaka kama 3 hivi Nigeria iliipiku Afrika Kusini kwa kuwa na uchumi mkubwa Afrika.

Lakini Afrika Kusini bado ilikuwa na more developed economy kuliko Nigeria.

China ina uchumi mkubwa kuliko Ujerumani na Uingereza lakini uchumi wake haujaendelea kama wa hizo nchi.

Yes nafahamu hilo
Hata sisi Tanzania tuna uchumi mkubwa kuliko Uganda
but Waganda by average wananchi wao wao wanakula na kushiba kuliko sisi
Hata South Africa na Nigeria zote haziifikii Mauritius kwa kuondoa umasikini
 
Si



Sikujua. Italy waliondolewa lini mkuu?

View attachment 394965


Zamani nchi saba zilizoendelea zilikuwa USA,Canada,Japan,UK,GermanyFrance na Italy...
original G7 baadae zikawa G8 wakaiongeza Russia...

Sasa kadri tunavyokwenda list inabadilika
now G8 iko China na Italy iliondolewa but sometimes zinaitwa G10 na Italy
inaitwa na China pia...list inaenda ikibadilika
 
Zamani nchi saba zilizoendelea zilikuwa USA,Canada,Japan,UK,GermanyFrance na Italy...
original G7 baadae zikawa G8 wakaiongeza Russia...

Sasa kadri tunavyokwenda list inabadilika
now G8 iko China na Italy iliondolewa but sometimes zinaitwa G10 na Italy
inaitwa na China pia...list inaenda ikibadilika
China ipo G20 haipo G8

Group of Eight - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Back
Top Bottom