aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,227
Nenda google unajaza server bure
Ndio nchi namba 1 yenye population kubwa africaNigeria hata milioni 200 hawajafika..ndo wanakaribia
Kila mara huwa naona Canada inatajwa kwenye top ten ya nchi zilizo na uchumi bora duniani juu ya Korea Kusini na nchi nyingi tu.
Kuna mtu anaweza niambia hasa Canada wanafanya nini special kiwafanye wawe juu kiuchumi?
Unakumbukumbu..tulikuwa tunakaa nyuma then vimaswali
Kilimo cha ngano? Canada
Kilimo cha ndizi? Jamaica
Ufugaji wa ng'ombe? Denmark
Ufugaji wa samaki? Norway
Kilimo cha mpira? Malaysia
Kilimo cha mahindi? Marekani
Nilikuwa makini sana..maana mhindi alikuwa anachukua karanga au kababu
Viwanda huoni hata ndege tumeenda kununua kwao??Hata Sweden wana utawala bora
but huioni top ten
Canada wana produce nini zaidi?
Kila mara huwa naona Canada inatajwa kwenye top ten ya nchi zilizo na uchumi bora duniani juu ya Korea Kusini na nchi nyingi tu.
Kuna mtu anaweza niambia hasa Canada wanafanya nini special kiwafanye wawe juu kiuchumi?
Oil and gasKila mara huwa naona Canada inatajwa kwenye top ten ya nchi zilizo na uchumi bora duniani juu ya Korea Kusini na nchi nyingi tu.
Kuna mtu anaweza niambia hasa Canada wanafanya nini special kiwafanye wawe juu kiuchumi?
Na wanazisimamia wao wenyewe hawana wawwkezaji wengi toka nje but wafanyakazi wengi toka nje ktk mafuta na miningCanada wana mafuta mengi sana Na vile vile mining and manufacturing sectors ziko vizuri sana
It's a diversified economy
Unakumbukumbu..tulikuwa tunakaa nyuma then vimaswali
Kilimo cha ngano? Canada
Kilimo cha ndizi? Jamaica
Ufugaji wa ng'ombe? Denmark
Ufugaji wa samaki? Norway
Kilimo cha mpira? Malaysia
Kilimo cha mahindi? Marekani
Nilikuwa makini sana..maana mhindi alikuwa anachukua karanga au kababu
Umenikumbusha mbali sn kipindi hicho mtu unaimba kabla ya kuingia class mwalimu akiingia class ana anza kumwaga fimbo mbele ya darasa kabla hajaanza kuuliza maswali unakuta vyote ulivyokuwa unakalili vinayeyuka amakweli cha kale dhahabu sasa hiv watoto ukiwauliza mkoa gani unaongoza kwa ulimaji wa pamba au mkoa gani unaongoza kwa ulimaj wa karafuu utasikia haipo kwenye mitaala yetu.Unakumbukumbu..tulikuwa tunakaa nyuma then vimaswali
Kilimo cha ngano? Canada
Kilimo cha ndizi? Jamaica
Ufugaji wa ng'ombe? Denmark
Ufugaji wa samaki? Norway
Kilimo cha mpira? Malaysia
Kilimo cha mahindi? Marekani
Nilikuwa makini sana..maana mhindi alikuwa anachukua karanga au kababu
Wakati Dogo Kim jong a.k.a kidugu alipo fanya jaribio la kombora LA nyuklia, huko China si kulikuwa na mkutano G8 na mwenyeji si ndio huyo Mchina.Mkuu kwa usahihi wako kwenye G8 na members kamili ni kama ifuatavyo
USA
UK
JAPAN
GERMANY
CANADA
ITALY
FRANCE
RUSSIA
Hawa ndio wababe kiviwanda duniani. Ila sijui kwa nini CHINA haimo.