Arabi Nanjewa
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 325
- 410
Mkuu mbona unarudia makosa ya kiufundi, haukutakiwa kufanya uchunguzi wa aina hio mkuu, kwanza itabidi ufaham huyo demu anafaham kuwa anafatilia umjue, hivyo yuko makini sana na mawasiliano yake, mbinu za kufanikisha kumjua muhusika na mpango uliaanzaje its very simple, find originAsante...shida ni kwamba nmetumia watu kama wa4,nmewapa no ili wamfuatilie lakin hajibu sms wala calls....na mara nyingi hapatikani
Sent using Jamii Forums mobile app