Uchumba wangu umevunjwa

Uchumba wangu umevunjwa

Hiyo M hapo kwenye convo ni initial ya jina au?
Nimemsave kama mpuuz nilipokuwa namuangalia whatsap...ndo maana inaonekana M
Screenshot_20190123-081919~01.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, mimi nikikufuma na meseji ya mahaba ndio itakuwa mwisho wetu umesikia babu?

Sent using Jamii Forums mobile app
MIWIVU YA KITOTO
MWANAUME WAKO ANAKAAJE NA SMS YA MAPENZI, HUJIULIZI NA KUTAFUTA SULUHISHO? SI ANASOMA NA KUFUTA KAMA ANA NIA YA KUFICHA UCHAFU WAKE?
NYIE NDO VICHWA MAJI ISHU NDOGO UNANUNA WIKI NZIMA.

MNAHAMA WAPENZI KAMA KUBADILISHA DALADALA MNAISHIA KUTUMIKA KAMA VYOO VYA STENDI
 
MIWIVU YA KITOTO
MWANAUME WAKO ANAKAAJE NA SMS YA MAPENZI, HUJIULIZI NA KUTAFUTA SULUHISHO? SI ANASOMA NA KUFUTA KAMA ANA NIA YA KUFICHA UCHAFU WAKE?
NYIE NDO VICHWA MAJI ISHU NDOGO UNANUNA WIKI NZIMA.

MNAHAMA WAPENZI KAMA KUBADILISHA DALADALA MNAISHIA KUTUMIKA KAMA VYOO VYA STENDI
Mkuu mbona povu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata mm naisi ivyo maana mpenzi wako akute sms kama iyo alafu akimbilie kuondoka tu bila kuupata ukweli kwako na mlikuwa mko kwenye uchumba kwanini asingengoja uyo mwanamke apokee au akuulize kwa kina mm kuna vitu vingine kama sijafanya alafu nakueleza kwa kina huelewi bc sawa fanya lililosahihi kwako maana mtu akupendaye atakasirika lakini hata kuachia kirahisi muachane.

Chukulia kawaida kma uliongea na mpenzi wako na hataki kukuelewa just chill take pose anayekupenda atarudi kwako kutaka kujua ukweli ila unaangaika kumpigia sm kila mda hadi anahisi ulifanya kweli.
Alafu don't be fucken kujiaminisha kuwa mpenzi wako anakupenda semea moyo wako kuwa unampenda sana eti anakupenda ww uko moyoni mwake kama anaigiza kwako sababu anapata kitu kwako fucker

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata mm naisi ivyo maana mpenzi wako akute sms kama iyo alafu akimbilie kuondoka tu bila kuupata ukweli kwako na mlikuwa mko kwenye uchumba kwanini asingengoja uyo mwanamke apokee au akuulize kwa kina mm kuna vitu vingine kama sijafanya alafu nakueleza kwa kina huelewi bc sawa fanya lililosahihi kwako maana mtu akupendaye atakasirika lakini hata kuachia kirahisi muachane.

Chukulia kawaida kma uliongea na mpenzi wako na hataki kukuelewa just chill take pose anayekupenda atarudi kwako kutaka kujua ukweli ila unaangaika kumpigia sm kila mda hadi anahisi ulifanya kweli.
Alafu don't be fucken kujiaminisha kuwa mpenzi wako anakupenda semea moyo wako kuwa unampenda sana eti anakupenda ww uko moyoni mwake kama anaigiza kwako sababu anapata kitu kwako fucker

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kaka...This is strong advice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, mimi nikikufuma na meseji ya mahaba ndio itakuwa mwisho wetu umesikia babu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Anamuachaje wakati kudanganywa mmezoea unapigwa kiswaili hadi unaelewa na unaileta mwenyewe alafu mwanamke akiniacha mm naona ni jambo zuri maana hunililii wala sioni machozi yako kwaiyo nitaishi kwa AMANI kuliko mm nikuache uanze kunililia na kuomba msamaha hadi naona huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza unalalaje na mchumba wako?? This is the mistake you did.

Pili huyo mchumba wako hakutaki na amekufanyia hivyo makusudi akuzunguke ili akuache
 
Umenena vyema Sana Sana, Mungu ajibu haja ya moyo wako pia! Hongera Sana Sana
Nimewaza the same, usijiumize sana inawezekana mtu wako alishapanga kukuacha ila hana ground ya kufanya hivyo akaamua kufanya umafya aidha na rafiki yake wa kike,, au hata mwanaume wake mpya anayependa kuendeleza naye urafiki..

Inauma sana maana lijamaa litakuwa kishaanza kumtafuna...

Kama kweli angekuwa anakupenda kutoka moyoni hawezi kukuacha kirahisi hivyo lazima angekuhoji, angechukua namba ya huyo mdada amtafute ajue ukweli,, asingekurupuka na kuondoka.

Hilo dili mwana acha kuumiza sana akili. Najua inauma ukiachwa bila kutarajia,, kisaikolojia inaumiza sana,,

Fanya yafuatayo

1. Kwanza jiulize kabla yake mbona ulikuwa unaishi vizuri tu,, hata sasa utaishi vizuri tu kwanza kakuondolea mikosi

2. Piga maombi kwa sana,, mshukuru Mungu kakuondolea huyo yumkini huko mbele angekuja kukuletea madhara.

3. Kama unamtafuta na haangaiki na wewe mwandikie mesage ya kumuaga kabisa ajue umetoa moyoni mwako maana hakuwa na mapenzi ya dhati kwako..

4. Mwana tafuta hela..., piga maombi kwa sana

5. Tafuta hela mwana..., usimwache Mungu piga maombi,

6. Nasema hivii piga hela ndefu....usisahau sala

7. Tafuta hela..., ibada kwa sana

8. Achana na mademu uchwara tafuta hela, maombi kwa sana

9. Tafuta helaaaa, mtafute Mungu

10.Utaishi kwa raha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaza the same, usijiumize sana inawezekana mtu wako alishapanga kukuacha ila hana ground ya kufanya hivyo akaamua kufanya umafya aidha na rafiki yake wa kike,, au hata mwanaume wake mpya anayependa kuendeleza naye urafiki..

Inauma sana maana lijamaa litakuwa kishaanza kumtafuna...

Kama kweli angekuwa anakupenda kutoka moyoni hawezi kukuacha kirahisi hivyo lazima angekuhoji, angechukua namba ya huyo mdada amtafute ajue ukweli,, asingekurupuka na kuondoka.

Hilo dili mwana acha kuumiza sana akili. Najua inauma ukiachwa bila kutarajia,, kisaikolojia inaumiza sana,,

Fanya yafuatayo

1. Kwanza jiulize kabla yake mbona ulikuwa unaishi vizuri tu,, hata sasa utaishi vizuri tu kwanza kakuondolea mikosi

2. Piga maombi kwa sana,, mshukuru Mungu kakuondolea huyo yumkini huko mbele angekuja kukuletea madhara.

3. Kama unamtafuta na haangaiki na wewe mwandikie mesage ya kumuaga kabisa ajue umetoa moyoni mwako maana hakuwa na mapenzi ya dhati kwako..

4. Mwana tafuta hela..., piga maombi kwa sana

5. Tafuta hela mwana..., usimwache Mungu piga maombi,

6. Nasema hivii piga hela ndefu....usisahau sala

7. Tafuta hela..., ibada kwa sana

8. Achana na mademu uchwara tafuta hela, maombi kwa sana

9. Tafuta helaaaa, mtafute Mungu

10.Utaishi kwa raha sana.
Barikiwa Sana Kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hivyo atakusamehe mkuu ni reaction ya kawaida, ulitegemea aendelee kukukumbatia baada ya kitu kama hicho?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa baadhi ya watu, walitegemea mdada aendelee kumkumbatia hapo akisubiri utetezi wake. Me mwenyewe ningeondoka kwanza, angekuja kunitafuta siku nyingine akili zangu zikiwa zimeshatulia. Watu wanachukulia "trust" kama kitu kidogo, while ni kitu cha msingi sana. Kukiwa na dalili za kuvunjika kwa trust mtu hawezi kukuchekea tena

Mtoa mada nenda kwa baby wako physically kaongee naye vizuri, mtaelewana tu. Usianze kumhukumu tu kuwa labda anahusika na huo mchezo. Muwe na chance ya kuongea, mtapata muafaka.
 
Asante kwa kuchangia. Inawezekana, lakini huyo mwanamke ananipenda sana...na ananihitaji sana katika maisha yake,ila kibinadamu ameshindwa kuhimili.

Sent using Jamii Forums mobile app
In a psychological point of view.. Hapa umeongea kinyume hasa.. Wewr ndiye. unampenda hoi hoi ila yeye moyo wake huujui (kichaka).. I know how you feel yalishawahi kunikuta kwenye mapito ya ujana.. Kila atakayekushauri usivyotaka/kuachana utamuona katili, adui na mtu mbaya..
TEMA MZIGO HUO, ENDURE EMOTIONAL PAIN FOR A LITTLE BIT , THEN UTAKUWA NA STRESS FREE LIFE, kuna mtoto mkali Mungu amekuandalia mbeleni huko just let it go..otherwise akikubali muendelee atakufanya mtumwa sana na hiyo incident ndio itakuwa her bargaining chip/jokeli la kukulambisha tano kila akitaka...

Hahahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom